Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ndiyo ajifunze kukubalana kutokukubaliana hata kama ni uzeeni.Mrema ndiye alisimamia uchaguzi wa kanda ya nyasa ambao ndiyo Msigwa aliangukia pua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ajifunze kukubalana kutokukubaliana hata kama ni uzeeni.Mrema ndiye alisimamia uchaguzi wa kanda ya nyasa ambao ndiyo Msigwa aliangukia pua.
😃😃😃 Acha dharau zako kwa Mtumishi wa Mungu.Lazima ajibiwe,aliingia Chadema akiwa na utapiamlo,ajifunze kwa lowassa
Aliyesimamia kanda ya Nyasa ni Benson Kigaila.Mrema ndiye alisimamia uchaguzi wa kanda ya nyasa ambao ndiyo Msigwa aliangukia pua.
Aliyesimamia uchaguzi kanda ya Nyasa ni Benson KigailaNdiyo ajifunze kukubalana kutokukubaliana hata kama ni uzeeni.
Yan machawa ya ccm ndo yanaona pale wamelamba Dume, pale mmepoteza mdaKaa kwa kutulia na siyo kupata presha kabla hata hajaanza kuzunguka Nchi nzima
Naona mioyo yenu inabubujikwa na machozi ya huzuni kwa kuendelea kukimbiwa na watu wote wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.Yan machawa ya ccm ndo yanaona pale wamelamba Dume, pale mmepoteza mda
Anatudhalilisha waheheMsigwa hatukuwahi kuwaza kuwa wewe ni mtu wa hovyo hivi!
Inaonyesha kuwa hata ndani ya CDM aaàqqwewe ulikuwa ni mzigo, mtu wa majungu, umbea na unafiki!
Bora CDM mmeachana na huyu mtu
Rushwa ni Adui wa Haki Abdul anaimaliza nchi kama Tanzania ingekuwa kama Zambia basi Mama Samiah anastahili kifungo baada ya kumaliza awamu yake.Naona mioyo yenu inabubujikwa na machozi ya huzuni kwa kuendelea kukimbiwa na watu wote wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.
We jamaa hukijui unachokiongea, akili yako ni fupi kama mkojo wa sisimiziUpinzani ni wasaka Tonge tu na wachumia tumbo.
AcheniRushwa ni Adui wa Haki Abdul anaimaliza nchi kama Tanzania ingekuwa kama Zambia basi Mama Samiah anastahili kifungo baada ya kumaliza awamu yake.
Sawa nashukuruWe jamaa hukijui unachokiongea, akili yako ni fupi kama mkojo wa sisimizi
Ccm hata leo mkisajili top 12 ya viongozi 2025 uchaguzi ukifanyika kaeni mguu sawa,aya ni maono ya mbali sana chawa yeyote hawezi elewa hiiNaona mioyo yenu inabubujikwa na machozi ya huzuni kwa kuendelea kukimbiwa na watu wote wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.
Mashabiki wapi hao unaowazungumzia.Kweli mpumbavu mpe tu kamba ndefu, mwisho atajinyonga nayo. Huyu ndio Msigwa, tangu ahamie CCM hata mashabiki wake wamemdharau mnooo.
Yote anayazungumza.Si angelisema kwenye vikao vya Chama chake alichokuwepo.
Ni vizuri akawa anaeleza nini ataifanyia CCM,hayo mengine ni majungu.