Hii habari umeiokota wapi, nasi tukachimbue zaidi huko kwenye chanzo?Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Ukweli upo 100% muone alivyopiga kimya haongei na haonekani.Sidhani kama kuna ukweli hapa.
Sio Afrika hii achilia mbali Tanganyika.... imeisha hiyooooo!!Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Hata ya mungu wako KAYAFA ilikua feki.Watu tumejawa chuki aisee!
The Inter-University Council for East Africa (IUCEA) .Hii habari umeiokota wapi, nasi tukachimbue zaidi huko kwenye chanzo?
Shukrani kwa taarifa hii mkuu 'peno'.The Inter-University Council for East Africa (IUCEA) .
IUCEA is a strategic institution of the East African
Community (EAC) responsible for coordinating the development of higher education and
research in the region.
Ya huyo ingehojiwa huko angetishia kuiondoa Tanzania katika umoja huo.Hata ya mungu wako KAYAFA ilikua feki.
Kwahiyo unamaanisha viongozi wasisome au??
Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.
Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?
Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Kwahiyo unamaanisha viongozi wasisome au??
Jaribu kuficha upumbavuKwahiyo unamaanisha viongozi wasisome au??
Mkuu unapoleta thread usiwe na majibu yako mfukoni.Ndio maana huko shuleni mnapata masifuri, hata kusoma kitu na kukielewa tu ni kazi.
Ndio maana huko shuleni mnapata masifuri, hata kusoma kitu na kukielewa tu ni kazi.
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Kuuliza sio ujinga kiongoziJaribu kuficha upumbavu
Mkuu unapoleta thread usiwe na majibu yako mfukoni.
Wewe jibu swali accordingly, mi nimekuuliza maana inaonekana kama kuna hujuma ya baadhi ya viongozi walishapata vyeo na madaraka na hatimae kupata bumbaring PhDs
Sasa nimeuliza hii inamaanisha wakiwa viongozi wasidahiriwe kusoma hizo PhD?? Ndio msingi wa swali langu
Sasa wewe unakuja ety masifuri kwani nani amekwambia kuwa wewe umefaulu si wale wale waliotuambia sisi umepata masifuri ma ndio wanawaaward hawa viongozi PhD?
Mkuu acha kiburi hivyo vihela vyako vitaisha waulize MAKARANI wa sensa