Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

"Aisha said: During the time of the Prophet (s) two hundred verses of
the chapter l-Ahzab were recited but when compiling the Quran `Uthman was only able to
collect what now exists."
 
Usitafute kichaka

Kwani ile screenshot uliyokuja nayo ikionesha hiyo nukuu haipo uliitoa kwenye chanzo kipi mpaka ukaanza kudai kua nukuu nayo i refer mimi haipo kwa lengo la kunionesha kua nimepotosha?
 
Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.

Ubaya upo kwanini ufanye jambo liwe uongo ?
Tatizo lipo kwako

Pale kuna mtiririko na classification

Hiyo nukuu haipo katika category hiyo ya verse zilizofutwa, hilo linabaki kuwa tatizo lako binafsi la kushindwa ku decode habari
 
Bado umekazana na hoja ya kufutwa wakati hapa tunajadili verse iliyoliwa na mbuzi?

Kwahiyo ni uthibitisho wako kua aya iliyoliwa na mbuzi iko organized na zile zilizo futwa?
 
Sawa acha twende hivyo
 
Kama hujakubaliana tuonyeshe katika kitabu cha asili yako wapi. Kingine hata kusoma Kiarabu hujui unaokoteza okoteza unashindwa kujengea hoja unachokiweka.
Nakuonaga unakosoa biblia mara kibao humu, lakini ni lini hiyo ambayo hoja zako zili base kwenye lugha ya asili ya biblia?

Nikisema zile critics zako zoote kwa ukristo dhidi ya biblia hazijaweza kuwa na mashiko kwasababu hukutumia lugha ya asili ya biblia, nitakuwa sahihi?
 
Kutokuwepo hutanguliwa na kuwepo.
nipe tafsiri ya haya maneno fictitious, imaginary, fantasy, fairy tale, mythological halafu unaimbie yanatumikaje kwenye habari
 
Kwani hayo makundi mpaka yakaweka madai kua Mungu yupo walitumia uthibitisho kujua au walitumia namna gani?
Walitumia imani kuamini kuwepo huyo anayeitwa Mungu kwa kutumia sababu na dalili mbalimbali.
 
Kunionesha kua yapo kipengele fulani na wewe kutoa tafsiri tofauti ya nukuu hiyo, ni vitu viwili tofauti

Kumakinika kwa kuangalia na kumakinika kwa kuelewa ni vitu tofauti

Hiyo hiyo Quote mpaka saizi umeshindwa kui distinguish na hoja ya deleted verse, bado unazidi kukomalia kua nukuu imesema kuhusu verse kufutwa
 
Nishakujibu maana ya hayo maneno

Nimekupa task uniambie kupitia ile Quote unaweza kuhusianisha hayo maneno kwa namna gani yakaleta tafsiri kuwa ile Quote iluzungumzia verse zilizofutwa?
Jibu swali nililo kuuliza kwanini hayo maneno yapo kwenye mlango wa "Nasikh na al Mansukh".

Uhusiano wa hiyo nukuu imewekwa katika mlango husika unao elezea "Nasikh na Mansukh".
 
Kukuonyesha kuwa yapo kwenye kipengele husika ni kuonyesha ya kuwa huo mlango unahusua mapokezi hayo tu, ndiyo maana hizi nukuu zako huzikuti katika vitabu vya asili na nyingine ni dhaifu kwa maana za uongo, sababu zinapingana na uhalisia.

Huwezi kuelewa bila kuangalia na kusoma, tena kurudi kwenye asili.
 
Nitajie hizo sababu maana mimi sijaziona.
 
Jibu swali nililo kuuliza kwanini hayo maneno yapo kwenye mlango wa "Nasikh na al Mansukh".

Uhusiano wa hiyo nukuu imewekwa katika mlango husika unao elezea "Nasikh na Mansukh".
Ndo maana nilikuuliza kwani kuna milango mingapi?

Nikikuambia hiyo part iko section under Miscellanea utasemaje?

Nimekupa kazi unipe relation ya Quote na hayo maneno na maana ya "Nasikh na Mansukh" unioneshe kuna uhusiano gani unaoleta tafsiri kwenye Quote kuonesha Quote ilizungumzia deleted verse, umeshindwa.
 
What if I say you're complete wrong by referring Miscellanea as the chapter where those words were taken?
 
Naanzia hapa.

Tuonyeshe hizo tamaduni hata mbili tu, kingine umesoma wapi hiyo historia wakati nukuu zako haziko mashiko na hujui unachokirejea.

Nukta ya pili :

Hiyo Quran ya Uthamn collection nikikuambia ni lini ilianza kuwa recognized as official codex sidhani kama utakuwa unajuam, kwasababu vyanzo vyako ni madrasa

Hili najua huna uwezo nalo sababu utarudi kule kule kama uliko fanya hapa, yaani husomi vitu kwa ukamilifu wake. Wewe sema kisha uone habari yake itakuwaje. Kila kitu kimedhibitiwa.

Nukta ya tatu :

Muhammad kafarikia mwaka 632 C.E lakini material ya awali kabisa ambayo tuna posses muda huu yaliandikwa na mtu aliyeitwa Ibn Ishaq mwaka 750 C.E yani kwa tafsiri fupi ni kwamba ni baada ya miaka 120 na upuuzi tangu muhammad afariki.

Nakupa kazi naomba uniambie Ibn Is'haaq hizo habari alizipata wapi ? Jina lake haliandikwi "Ibn Ishaq" hapa hata nikikwambia utamke linavyotamkwa huwezi. Hili ni tatizo lingine linalo onyesha wewe si msomaji bali ni muokotezi okotezi.

Nukta ya nne :

Mashaka kuhusu authenticity yanazidi kuwa critical zaidi kwasababu historical evidence inaonesha original form aliyoandika Ibn Ishaq ilipotea na vinavyoweza kupatikana ni vipisi tu ambavyo navyo vikaja kuwa revised na mtu aliyeitwa Ibn Hisham baada ya miaka 200 kupita tangu muhammad afe

Ibn Is'haaq yeye ameandika Historia ya Mtume. Sasa naomba uniwekee ushahidi au utoe kwenye kitabu cha Ibn Is'haaq historia ya ukusanywaji wa Qur'aan.
 
Nitajie hizo sababu maana mimi sijaziona.
Acha ukengeukaji kila kitu nimejibu hapo paragraph ya mwisho

Tafuta namna nyingine ya kukimbia, hii haifai
 
Miscellanea hii siyo chapter kijana na hii imewekwa na mtarujumi. Chapter ni hiyo "nasikh na mansukh". Nimecheka sana.

Uhusiano nimeshakupa na ndiyo maana hizo sura zilizo tajwa huko chini zote zinarudi katika chapter hiyo. Kijana soma kitabu cha asili ili usiendelee kuonekana kituko.
 
Unakataza kulazimishana halafu hapo hapo unalazimisha nisome kiarabu ambacho mimi sikiwezi unataka nikueleweje?
Nakushauri usome kitabu cha asili ili usiandike uongo ambao haupo katika kitabu cha asili.

Sasa kama unataka kuwa mtafiti ni lazima usome na si hiari, hili weka akilini.
Acha ukengeukaji kila kitu nimejibu hapo paragraph ya mwisho

Tafuta namna nyingine ya kukimbia, hii haifai
Hakuna sehemu uliyo weka sababu, hapana hakuna anaye kimbia na kwenye aya ya unayodai hujaweka sababu.
 
nipe tafsiri ya haya maneno fictitious, imaginary, fantasy, fairy tale, mythological halafu unaimbie yanatumikaje kwenye habari
Maliza kwanza la neno "nothing".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…