Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Nataka uniwekee hiyo nukuu inayo taja aya 200.

Hili jambo liko wazi sana na Imamu Suyuto ameliezea pia. Kama ushawahi kusikia ishu ya Msahafu wa Swahaba Ubay Ibn Ka'ab, huo ulikuwa na sura mbili moja iliitwa Khal na Hafd, wengine wanasema hizo hazikuwa sura bali zilikuwa dua ambazo zilikuwa zinasomwa kwenye Qunut na mtume alizifuta kipindi cha uhai wake. Rejea kitabu Al-Itiqaan cha Imamu Suyuti katika mlango wa Nasikh wa al-Mansukh.
"Aisha said: During the time of the Prophet (s) two hundred verses of
the chapter l-Ahzab were recited but when compiling the Quran `Uthman was only able to
collect what now exists."
 
Huu ndiyo ujinga wa kuto kusoma. Hicho ni kitabu cha hadithi, ambacho kimekusanya Matni za hadithi, ndiyo katika kuhakiki hizo hadithi utakuta sahihi, hassan na dhaifu.

Katika maelezo ya sherehe za hizo hadithi kulingana na fani ndiyo zinaingizwa katika milango ya nasikh na mansukh kama alivyo fanya Imam Suyuti na wanachuoni wa Qur'aan ndiyo maana hata kwenye ile post yako ya 141 nilikwambia hiyo nukuu haipo kwenye kitabu cha Imamu Suyuti wala kwenye chanzo chochote cha Uislamu.

Kadhalika hili limeongelewa katika vitabu vingine vya hadithi. Rejea katika kitabu hichi an-Nasaa’i in al-Kubra (4/271, 272).
Usitafute kichaka

Kwani ile screenshot uliyokuja nayo ikionesha hiyo nukuu haipo uliitoa kwenye chanzo kipi mpaka ukaanza kudai kua nukuu nayo i refer mimi haipo kwa lengo la kunionesha kua nimepotosha?
 
Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.

Ubaya upo kwanini ufanye jambo liwe uongo ?
Tatizo lipo kwako

Pale kuna mtiririko na classification

Hiyo nukuu haipo katika category hiyo ya verse zilizofutwa, hilo linabaki kuwa tatizo lako binafsi la kushindwa ku decode habari
 
Nimecheka sana wenzako walikuwa wanaandika kwa muda wao ndiyo maana ukisoma hicho hicho kitabu utasikia kuna msahafu wa Ubay Ibn Ka'ab, wapo maswahaba ambao walibaki nazo aya zilizo futwa lakini walikuwa wana zijua kwamba hizi zimefuta mfano ukisia sikia kuna sura mbili kwenye msahafu wa Ubay Ibn Ka'ab ambazo ni al-khal na al-Hafd, hizi zilikuwepo zama za mtume ila zilifutwa na mtume na hazifanyi na wao wanalijua hilo na ndiyo maana walipo kuwa wanauliza na wanafunzi wao walikuwa wanawajibu bioa wasi wasi.
Bado umekazana na hoja ya kufutwa wakati hapa tunajadili verse iliyoliwa na mbuzi?

Kwahiyo ni uthibitisho wako kua aya iliyoliwa na mbuzi iko organized na zile zilizo futwa?
 
Kawaida simba huwa hajibizani na mbwa. Wewe tukana utakavyo weza hapa sikutukani bali nakupa haki yako, ndiyo maana hukuti wala hutanikuta nikimtukana mtu matusi tuliyo yazoea na hizi ni lugha za kielimu mtu kuambiwa mjinga na kweli mjinga hili siyo tusi kijana. Unachotakiwa uangalie namna ya kuuondoa huo ujinga wako.
Sawa acha twende hivyo
 
Kama hujakubaliana tuonyeshe katika kitabu cha asili yako wapi. Kingine hata kusoma Kiarabu hujui unaokoteza okoteza unashindwa kujengea hoja unachokiweka.
Nakuonaga unakosoa biblia mara kibao humu, lakini ni lini hiyo ambayo hoja zako zili base kwenye lugha ya asili ya biblia?

Nikisema zile critics zako zoote kwa ukristo dhidi ya biblia hazijaweza kuwa na mashiko kwasababu hukutumia lugha ya asili ya biblia, nitakuwa sahihi?
 
Kutokuwepo hutanguliwa na kuwepo.
nipe tafsiri ya haya maneno fictitious, imaginary, fantasy, fairy tale, mythological halafu unaimbie yanatumikaje kwenye habari
 
Kwani hayo makundi mpaka yakaweka madai kua Mungu yupo walitumia uthibitisho kujua au walitumia namna gani?
Walitumia imani kuamini kuwepo huyo anayeitwa Mungu kwa kutumia sababu na dalili mbalimbali.
 
Sasa wewe sikukuelezea kwamba hayo yapo kwenye kipengele cha nasikh na mansukh kabla ? Na kitabu nikakuwekea ? Sasa kama husomi sisi tunasoma na hili lilikuwa limeisha mapema sana.

Sasa kijana tenga muda wako usome teba usome hasa na jitahidi kama unataka kuwa mtafiti uwe na vitabu vya asili.
Kunionesha kua yapo kipengele fulani na wewe kutoa tafsiri tofauti ya nukuu hiyo, ni vitu viwili tofauti

Kumakinika kwa kuangalia na kumakinika kwa kuelewa ni vitu tofauti

Hiyo hiyo Quote mpaka saizi umeshindwa kui distinguish na hoja ya deleted verse, bado unazidi kukomalia kua nukuu imesema kuhusu verse kufutwa
 
Nishakujibu maana ya hayo maneno

Nimekupa task uniambie kupitia ile Quote unaweza kuhusianisha hayo maneno kwa namna gani yakaleta tafsiri kuwa ile Quote iluzungumzia verse zilizofutwa?
Jibu swali nililo kuuliza kwanini hayo maneno yapo kwenye mlango wa "Nasikh na al Mansukh".

Uhusiano wa hiyo nukuu imewekwa katika mlango husika unao elezea "Nasikh na Mansukh".
 
Kunionesha kua yapo kipengele fulani na wewe kutoa tafsiri tofauti ya nukuu hiyo, ni vitu viwili tofauti

Kumakinika kwa kuangalia na kumakinika kwa kuelewa ni vitu tofauti

Hiyo hiyo Quote mpaka saizi umeshindwa kui distinguish na hoja ya deleted verse, bado unazidi kukomalia kua nukuu imesema kuhusu verse kufutwa
Kukuonyesha kuwa yapo kwenye kipengele husika ni kuonyesha ya kuwa huo mlango unahusua mapokezi hayo tu, ndiyo maana hizi nukuu zako huzikuti katika vitabu vya asili na nyingine ni dhaifu kwa maana za uongo, sababu zinapingana na uhalisia.

Huwezi kuelewa bila kuangalia na kusoma, tena kurudi kwenye asili.
 
Nilikuambia unaimbie uhusiano wa ile Quote na yale maneno kama yana relate yeyote na madai yako kua Quote inazungumzia verse zilizofutwa lakini mpaka sasa hujajibu.

Naachana na hilo na consider kama ni swali lililokuzidi na kuendelea kulisisitiza ni kuzidi kupoteza muda

Narudi kwenye swali lako

Swali la kuuliza hayo maneno yaliandikwa au kufanyika katka kipindi cha mtume yuko au akiwa amefariki linazidi kuoniongezea mashaka juu ya umakini wako wa ile nukuu

Huyu nukuu inazungumzia after collection under Uthman halafu we unakuja kuuliza kama wakati huo Muhammad alikuwepo au lah, huoni kama una expose your laziness?

Swali lako lingine hili hapa chini ni very laughable
"Naomba unionyeshe hiyo nukuu wapi inaonyesha upotevu?"

Nakujibu kwa reference kupitia nukuu hiyo chini yake zilipo orodheshwa sababu ya kuifanya Quran iwe incomplete kwa verse nyingi kushindwa kupatatikana mpaka akawasahihisha kuwa wasiseme wanaijua Quran kwasababu huyo collector vitu vingi hakuweza kuvi retrieve na badala yake alitakiwa kusema nimekusanya kile ambacho kiliweza kupatikana
Nitajie hizo sababu maana mimi sijaziona.
 
Jibu swali nililo kuuliza kwanini hayo maneno yapo kwenye mlango wa "Nasikh na al Mansukh".

Uhusiano wa hiyo nukuu imewekwa katika mlango husika unao elezea "Nasikh na Mansukh".
Ndo maana nilikuuliza kwani kuna milango mingapi?

Nikikuambia hiyo part iko section under Miscellanea utasemaje?

Nimekupa kazi unipe relation ya Quote na hayo maneno na maana ya "Nasikh na Mansukh" unioneshe kuna uhusiano gani unaoleta tafsiri kwenye Quote kuonesha Quote ilizungumzia deleted verse, umeshindwa.
 
Kukuonyesha kuwa yapo kwenye kipengele husika ni kuonyesha ya kuwa huo mlango unahusua mapokezi hayo tu, ndiyo maana hizi nukuu zako huzikuti katika vitabu vya asili na nyingine ni dhaifu kwa maana za uongo, sababu zinapingana na uhalisia.

Huwezi kuelewa bila kuangalia na kusoma, tena kurudi kwenye asili.
What if I say you're complete wrong by referring Miscellanea as the chapter where those words were taken?
 
Huo ushauri umeambiwa na watu ambao ana lengo la kuficha ukweli

Nimesoma origin of Quran na historical evidence ya namna uchakachuzi ulivyokuwa unafanyika, na tamaduni nyingi za kiarabu zenye mitazamo tofauti juu ya hizi habari

Hiyo Quran ya Uthamn collection nikikuambia ni lini ilianza kuwa recognized as official codex sidhani kama utakuwa unajuam, kwasababu vyanzo vyako ni madrasa

Muhammad kafarikia mwaka 632 C.E lakini material ya awali kabisa ambayo tuna posses muda huu yaliandikwa na mtu aliyeitwa Ibn Ishaq mwaka 750 C.E yani kwa tafsiri fupi ni kwamba ni baada ya miaka 120 na upuuzi tangu muhammad afariki.

Mashaka kuhusu authenticity yanazidi kuwa critical zaidi kwasababu historical evidence inaonesha original form aliyoandika Ibn Ishaq ilipotea na vinavyoweza kupatikana ni vipisi tu ambavyo navyo vikaja kuwa revised na mtu aliyeitwa Ibn Hisham baada ya miaka 200 kupita tangu muhammad afe

Haya huwezi kuyakuta madrasa
Naanzia hapa.

Tuonyeshe hizo tamaduni hata mbili tu, kingine umesoma wapi hiyo historia wakati nukuu zako haziko mashiko na hujui unachokirejea.

Nukta ya pili :

Hiyo Quran ya Uthamn collection nikikuambia ni lini ilianza kuwa recognized as official codex sidhani kama utakuwa unajuam, kwasababu vyanzo vyako ni madrasa

Hili najua huna uwezo nalo sababu utarudi kule kule kama uliko fanya hapa, yaani husomi vitu kwa ukamilifu wake. Wewe sema kisha uone habari yake itakuwaje. Kila kitu kimedhibitiwa.

Nukta ya tatu :

Muhammad kafarikia mwaka 632 C.E lakini material ya awali kabisa ambayo tuna posses muda huu yaliandikwa na mtu aliyeitwa Ibn Ishaq mwaka 750 C.E yani kwa tafsiri fupi ni kwamba ni baada ya miaka 120 na upuuzi tangu muhammad afariki.

Nakupa kazi naomba uniambie Ibn Is'haaq hizo habari alizipata wapi ? Jina lake haliandikwi "Ibn Ishaq" hapa hata nikikwambia utamke linavyotamkwa huwezi. Hili ni tatizo lingine linalo onyesha wewe si msomaji bali ni muokotezi okotezi.

Nukta ya nne :

Mashaka kuhusu authenticity yanazidi kuwa critical zaidi kwasababu historical evidence inaonesha original form aliyoandika Ibn Ishaq ilipotea na vinavyoweza kupatikana ni vipisi tu ambavyo navyo vikaja kuwa revised na mtu aliyeitwa Ibn Hisham baada ya miaka 200 kupita tangu muhammad afe

Ibn Is'haaq yeye ameandika Historia ya Mtume. Sasa naomba uniwekee ushahidi au utoe kwenye kitabu cha Ibn Is'haaq historia ya ukusanywaji wa Qur'aan.
 
Nitajie hizo sababu maana mimi sijaziona.
Acha ukengeukaji kila kitu nimejibu hapo paragraph ya mwisho

Tafuta namna nyingine ya kukimbia, hii haifai
 
Ndo maana nilikuuliza kwani kuna milango mingapi?

Nikikuambia hiyo part iko section under Miscellanea utasemaje?

Nimekupa kazi unipe relation ya Quote na hayo maneno na maana ya "Nasikh na Mansukh" unioneshe kuna uhusiano gani unaoleta tafsiri kwenye Quote kuonesha Quote ilizungumzia deleted verse, umeshindwa.
Miscellanea hii siyo chapter kijana na hii imewekwa na mtarujumi. Chapter ni hiyo "nasikh na mansukh". Nimecheka sana.

Uhusiano nimeshakupa na ndiyo maana hizo sura zilizo tajwa huko chini zote zinarudi katika chapter hiyo. Kijana soma kitabu cha asili ili usiendelee kuonekana kituko.
 
Unakataza kulazimishana halafu hapo hapo unalazimisha nisome kiarabu ambacho mimi sikiwezi unataka nikueleweje?
Nakushauri usome kitabu cha asili ili usiandike uongo ambao haupo katika kitabu cha asili.

Sasa kama unataka kuwa mtafiti ni lazima usome na si hiari, hili weka akilini.
Acha ukengeukaji kila kitu nimejibu hapo paragraph ya mwisho

Tafuta namna nyingine ya kukimbia, hii haifai
Hakuna sehemu uliyo weka sababu, hapana hakuna anaye kimbia na kwenye aya ya unayodai hujaweka sababu.
 
Back
Top Bottom