Huo mwaka ndio mwaka gani mbona uko paradox ebu nifafanulie vizuri?Ibn Is'haaq alizaliwa mwaka 80H vitabu alivyo andika ni maarufu ni viwili, cha kwanza ni Al-Maghaazi kinachoelezea habari za "Prophet's Millitary Compaigns" na kingine kinaitwa "Siirat an-Nabawiyyah (The History of Prophets) baadae ndiyo kazi na zile zikaja kuandikwa kwa ufupi na Imamu Ibm Hisham na yeye alipata maandiko haya kutoka kwa mwanafunzi wa Imam Muhammad Ibn Is'haaq aliyeitwa Ziyaad kama sikosei.
HNeno zote limetumika kama logical fallacy, kwamba ili ifahamike kwamba ibn aliandika habari basi lazima kila kitu kilichotendeka kiwe kimejumuishwaJe kuanza kwake yeye kuandika inamaana alifanikiwa kuandika habari zote za Mtume na utume wake ? Sababu Ibn is'haaq, sababu Ibn Is'haaq alikuwa mwanachuoni mkubwa na mwenye kuaminika na sifa zake zimetahwa na Imamu Dhahaab na wengine japo wapo baadhi ya wanazuoni wa mtia ila. Almuhimu jambo liko hivyo.
Kwanini haiingii wakati iko based kwenye imani?Hiyo haingii kwenye kundi lolote sababu kila mtu atakutwa na hali hiyo
Naona unanipotezea muda, chapter yaani mlango huwekwa kwa kuzingatia mada pweke.Ili kujua hiyo sio part of chapter kwanza niambie kuna chapter ngapi kwenye hicho kitabu?
Niambie kutoka chapter ya kwanza (ambayo utaitaja kwa jina) mpaka chapter ya nasikh na mansukh ambayo imaenza page ya 49 hapo katikati kuna chapter ngapi
Baada ya hapo uniambie chapter zilizoendelea zilianzia page number ngapi
Halafu uje ueleze kama nasikh and mansukh tafsiri yake ni kufutwa na kuondolewa, niambie mantiki ya kuwepo kipengele cha Miscellanea ni nini kama motive ya chapter ilijikita kuelezea dhana ya kufutwa na kuondolewa?
Sijasoma.Wewe lini ulisoma kitabu cha biblia kwa lugha yake ya asili ili upate authority ya ku criticize?
Mwaka alio pewa utume. Ina maana huko unaposoma hawaja kutajia ? Kama hawajakutajia hao wamekudanganya.Tangu mtume yuko hai kuanzia mwaka gani?
taja mwaka
Naona unaendekea kuruka ruka.Rudi kwenye hoja
Umekuwa na kawaida ya kuweka madai na kumtaka opponent azi disprove na pale napokuambia kua mwenye kuleta madai positive ndio mwenye jukumu la kuthibitisha umekuwa ukipinga
Sasa Kulingana na hoja yako kua nikuthibitishie hizo tamaduni hata mbili zinazopingana, una onaje tutumie ile njia yako?
Nikisema namimi nitumie mfumo wako, hapa wewe ndiye utakaye takiwa kuthibitisha hizo tamaduni hazipo
Kwa hiyo unasemaje?
Nisubirie uthibitisho wako unao disprove madai yangu au unataka burden of proof ifate mkondo kwa mtu aliyekuja na madai ndiye awe wa kwanza kuthibitisha ili nikuthibitishie?
Sijui.Swali la msingi hujajibu
Unaelewa lugha ya asili ya biblia ilikuwa ni lugha gani?
Unakimbia hoja kishamba sana
Mimi ndiye nilikuuliza kuhusu nothing
Reference hizi hapa
Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu
Una maana gani kuniuliza hilo swali? Nina mana nzuri tu ya kutaka kujua habari za Mungu zimekuwa ziitajwa na kundi lipi ii tujue ni wakina nani tuwafate watupe uthibitishowww.jamiiforums.com
Wewe ukaja kujibu hapa
Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu
Una maana gani kuniuliza hilo swali? Nina mana nzuri tu ya kutaka kujua habari za Mungu zimekuwa ziitajwa na kundi lipi ii tujue ni wakina nani tuwafate watupe uthibitishowww.jamiiforums.com
Nikaja kukazia swali tena post #337
Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu
Kingine hakuna hoja niliyo ikimbia bali nilikupuuza sababu nilishakwambia hizo habari zinapatikana katika kipengele cha "Nasikh wa al Mansukh". Ajabu ukaweka maneno ambayo mlango wake umeshajieleza ya kuwa hizo habari zipo katika mlango wa "Nasikh wa al Mansukh". Hukunipuuza, hilo huwezi...www.jamiiforums.com
Ukajibu hivi
Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu
Ngoja kwanza hapo hapo Kumbe unakubaliana kuwa Quran ime miss verse ambazo zilitakiwa kuwepo ila utata uko kwenye idadi sio? Umeomba Quote haya hii hapa Qur'aan haijamiss hata herufi moja achilia mbali aya, nachokubali mimi ni kuwa kuna aya zilifutwa matamshi ila hukumu inafanya kazi kama...www.jamiiforums.com
Niambie kwa mtiririko huo ni nani aliyeleta hoja ya "nothing" kama swali la kumuuliza opponent?
Bila shaka ni mimi, sasa mimi nimeamua kukubaliana na majibu uliyonipa nataka twende hatua inayofuata ambayo ndio hii
lazima unipe tafsiri ya haya maneno fictitious, imaginary, fantasy, fairy tale, mythological halafu uniambie yanatumikaje kwenye habari
Sasa inakuwaje unajengea hoja jambi ambalo haijulikani hakika yake ?Habari zilizopotea hazijaweza kupatikana bado, zingekuwepo ingejulikana zimeongelea nini
Kijana husomi kabisa, huo ni mwaka wa Kiislamu, baada ya mtume kuhama toka Makka kwenda Madina.Huo mwaka ndio mwaka gani mbona uko paradox ebu nifafanulie vizuri?
Ona upuuzi wa elimu yenu ya logic, mnaacha kuzingatia hali wezekano wa jambo hilo.HNeno zote limetumika kama logical fallacy, kwamba ili ifahamike kwamba ibn aliandika habari basi lazima kila kitu kilichotendeka kiwe kimejumuishwa
Yani hata kama muhammad alikuwa akienda chooni, kula, nk alitakiwa aandike ili kufanya maandiko yake yawe authentic
Hicho kitabu ndio nilichokupa na ndio tunachokitumia kama reference hapa?Naona unanipotezea muda, chapter yaani mlango huwekwa kwa kuzingatia mada pweke.
Kitabu cha asili kina Chapter 80. Chapter ya "Nasikh and Mansukh" ni ya 47 ipo katika ukurasa wa 462. Chapter nyingine zimeanza ukurasa wa 475.
Nakusaida tamko "Nasikh" ni kifuta na "Mansukh" ni kifutwa. Yaani kinacho ondoa na kilicho ondolewa hii ndiyo maana ya maneno hayo, hakuna mambo ya kupotea hapo.
Soma kitabu asili ndiyo kina hukumu.
View attachment 2146205
Hapo nilipo mark kwa rangi ya pink ndiyo unaikuta hiyo chapter ya nasikh na mansukh.
Kwahiyo kijana umekubali kwamba hata maana ya matamko hayo huyajui.
Hicho kiduara kimezunguka jina la Imamu Muhammad Ibn Is'haaq.Hicho kiduara umezungushia ku-refer kitu gani?
Nilichokuandikia mimi kilikuwa katika mfumo huo ambao wewe umeuleta?
Hayo maandishi ya kiarabu mbona yana andikika katika English alphabet kwanini usitafute source iliyoandika kiusahihi kama wewe ulivyonisahihisha?
Yote ni uongo.Kwa hiyo madai yako yote dhidi ya biblia yatakuwa ni uwongo na uzushi?
Leo sikuruhusu ukimbie hoja hii, zipo nitazo kuruhusu lakini sio hiiNaona unaendekea kuruka ruka.
Mtume alikuwa na miaka 40.Taja mwaka specific sio kusema tukio
Kumbe unaweza kujua uwongo pasipo hata kuhitaji kujua lugha ya asili au kitabu cha asiliYote ni uongo.