Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Ibn Is'haaq alizaliwa mwaka 80H vitabu alivyo andika ni maarufu ni viwili, cha kwanza ni Al-Maghaazi kinachoelezea habari za "Prophet's Millitary Compaigns" na kingine kinaitwa "Siirat an-Nabawiyyah (The History of Prophets) baadae ndiyo kazi na zile zikaja kuandikwa kwa ufupi na Imamu Ibm Hisham na yeye alipata maandiko haya kutoka kwa mwanafunzi wa Imam Muhammad Ibn Is'haaq aliyeitwa Ziyaad kama sikosei.
Huo mwaka ndio mwaka gani mbona uko paradox ebu nifafanulie vizuri?
 
Hapa nitakuuliza swali, unaweza kututhibitishia katika kazi zake zilizo potea zilikuwa zinaongelea habari gani ?
Habari zilizopotea hazijaweza kupatikana bado, zingekuwepo ingejulikana zimeongelea nini
 
Je kuanza kwake yeye kuandika inamaana alifanikiwa kuandika habari zote za Mtume na utume wake ? Sababu Ibn is'haaq, sababu Ibn Is'haaq alikuwa mwanachuoni mkubwa na mwenye kuaminika na sifa zake zimetahwa na Imamu Dhahaab na wengine japo wapo baadhi ya wanazuoni wa mtia ila. Almuhimu jambo liko hivyo.
HNeno zote limetumika kama logical fallacy, kwamba ili ifahamike kwamba ibn aliandika habari basi lazima kila kitu kilichotendeka kiwe kimejumuishwa

Yani hata kama muhammad alikuwa akienda chooni, kula, nk alitakiwa aandike ili kufanya maandiko yake yawe authentic
 
Hiyo haingii kwenye kundi lolote sababu kila mtu atakutwa na hali hiyo
Kwanini haiingii wakati iko based kwenye imani?

Hujui kwamba kuweka alarm ikuamshe asubuhi huku ukiamini kuwa hapo katikati hutapatwa na mauti bali utaamka salama ni imani?
 
Ili kujua hiyo sio part of chapter kwanza niambie kuna chapter ngapi kwenye hicho kitabu?

Niambie kutoka chapter ya kwanza (ambayo utaitaja kwa jina) mpaka chapter ya nasikh na mansukh ambayo imaenza page ya 49 hapo katikati kuna chapter ngapi

Baada ya hapo uniambie chapter zilizoendelea zilianzia page number ngapi

Halafu uje ueleze kama nasikh and mansukh tafsiri yake ni kufutwa na kuondolewa, niambie mantiki ya kuwepo kipengele cha Miscellanea ni nini kama motive ya chapter ilijikita kuelezea dhana ya kufutwa na kuondolewa?
Naona unanipotezea muda, chapter yaani mlango huwekwa kwa kuzingatia mada pweke.

Kitabu cha asili kina Chapter 80. Chapter ya "Nasikh and Mansukh" ni ya 47 ipo katika ukurasa wa 462. Chapter nyingine zimeanza ukurasa wa 475.

Nakusaida tamko "Nasikh" ni kifuta na "Mansukh" ni kifutwa. Yaani kinacho ondoa na kilicho ondolewa hii ndiyo maana ya maneno hayo, hakuna mambo ya kupotea hapo.

Soma kitabu asili ndiyo kina hukumu.

Screenshot_20220310_233729.jpg


Hapo nilipo mark kwa rangi ya pink ndiyo unaikuta hiyo chapter ya nasikh na mansukh.

Kwahiyo kijana umekubali kwamba hata maana ya matamko hayo huyajui.
 
Rudi kwenye hoja

Umekuwa na kawaida ya kuweka madai na kumtaka opponent azi disprove na pale napokuambia kua mwenye kuleta madai positive ndio mwenye jukumu la kuthibitisha umekuwa ukipinga

Sasa Kulingana na hoja yako kua nikuthibitishie hizo tamaduni hata mbili zinazopingana, una onaje tutumie ile njia yako?

Nikisema namimi nitumie mfumo wako, hapa wewe ndiye utakaye takiwa kuthibitisha hizo tamaduni hazipo

Kwa hiyo unasemaje?

Nisubirie uthibitisho wako unao disprove madai yangu au unataka burden of proof ifate mkondo kwa mtu aliyekuja na madai ndiye awe wa kwanza kuthibitisha ili nikuthibitishie?
Naona unaendekea kuruka ruka.
 
Unakimbia hoja kishamba sana

Mimi ndiye nilikuuliza kuhusu nothing

Reference hizi hapa

Wewe ukaja kujibu hapa

Nikaja kukazia swali tena post #337

Ukajibu hivi

Niambie kwa mtiririko huo ni nani aliyeleta hoja ya "nothing" kama swali la kumuuliza opponent?

Bila shaka ni mimi, sasa mimi nimeamua kukubaliana na majibu uliyonipa nataka twende hatua inayofuata ambayo ndio hii

lazima unipe tafsiri ya haya maneno fictitious, imaginary, fantasy, fairy tale, mythological halafu uniambie yanatumikaje kwenye habari

Habari zilizopotea hazijaweza kupatikana bado, zingekuwepo ingejulikana zimeongelea nini
Sasa inakuwaje unajengea hoja jambi ambalo haijulikani hakika yake ?
 
Huo mwaka ndio mwaka gani mbona uko paradox ebu nifafanulie vizuri?
Kijana husomi kabisa, huo ni mwaka wa Kiislamu, baada ya mtume kuhama toka Makka kwenda Madina.
 
HNeno zote limetumika kama logical fallacy, kwamba ili ifahamike kwamba ibn aliandika habari basi lazima kila kitu kilichotendeka kiwe kimejumuishwa

Yani hata kama muhammad alikuwa akienda chooni, kula, nk alitakiwa aandike ili kufanya maandiko yake yawe authentic
Ona upuuzi wa elimu yenu ya logic, mnaacha kuzingatia hali wezekano wa jambo hilo.

Ibn Is'haaq amezaliwa Mtume ameshafariki kitambo na maswahaba baadhi wameshafariki, na wengine wamehama miji. Vipi angeweza kunukuu habari zote za Mtume ? Na hali ya kuwa Ibn Is'haaq alizaliwa na kufia Madina ?

Yeye aliweza kuandika kile ambacho alikidiriki. Na ndiyo maana wengine walio fata waliandika habari kupitia mapokezi mengine.
 
Naona unanipotezea muda, chapter yaani mlango huwekwa kwa kuzingatia mada pweke.

Kitabu cha asili kina Chapter 80. Chapter ya "Nasikh and Mansukh" ni ya 47 ipo katika ukurasa wa 462. Chapter nyingine zimeanza ukurasa wa 475.

Nakusaida tamko "Nasikh" ni kifuta na "Mansukh" ni kifutwa. Yaani kinacho ondoa na kilicho ondolewa hii ndiyo maana ya maneno hayo, hakuna mambo ya kupotea hapo.

Soma kitabu asili ndiyo kina hukumu.

View attachment 2146205

Hapo nilipo mark kwa rangi ya pink ndiyo unaikuta hiyo chapter ya nasikh na mansukh.

Kwahiyo kijana umekubali kwamba hata maana ya matamko hayo huyajui.
Hicho kitabu ndio nilichokupa na ndio tunachokitumia kama reference hapa?

Rudi kwenye kitabu nilichokupa ambako ukanioneshea hiyo chapter nataka ujibu maswali hayo
 
Mwaka alio pewa utume. Ina maana huko unaposoma hawaja kutajia ? Kama hawajakutajia hao wamekudanganya.
Taja mwaka specific sio kusema tukio
 
Hicho kiduara umezungushia ku-refer kitu gani?

Nilichokuandikia mimi kilikuwa katika mfumo huo ambao wewe umeuleta?

Hayo maandishi ya kiarabu mbona yana andikika katika English alphabet kwanini usitafute source iliyoandika kiusahihi kama wewe ulivyonisahihisha?
Hicho kiduara kimezunguka jina la Imamu Muhammad Ibn Is'haaq.

Ulichokiandika wewe hakipo katika hiyo Cover, ya kitabu unacho kiona hapo. Yaani jambo hujui unakomaa aisee, kijana una matatizo ya akili. Nakucheka sana.

Ndiyo maana nimekuwekea katika mfumo ambao wewe ulileta tena kwa usahihi kwamba ni "Ibn Is'haaq" yaani kwa Kiswahili chepesi jina lake linasomeka hivi "Mwana wa Isihaaqa" yaani "Ibn Isihaaka" wewe umetuandika "Ibn Ishaq" hili halipo.

Hapo hakuna haja ya mimi kutafuta Source sababu najua kulisoma hilo jina na limeliandika vile livyo tamkwa na Waarabu ila kwa herufi za Kiswahili au pia Kiingereza.
 
Naona unaendekea kuruka ruka.
Leo sikuruhusu ukimbie hoja hii, zipo nitazo kuruhusu lakini sio hii

Kwasababu umekuwa na kawaida ya kuweka Quote za Quran na tunapokuomba uthibitishe ukweli wa hizo verse umekuwa ukigeuza kibao na kutaka sisi ndio tuthibitishe Allah hayupo

Sasa Kulingana na hoja yako kua nikuthibitishie hizo tamaduni hata mbili zinazopingana, una onaje tutumie ile njia yako?

Nikisema namimi nitumie mfumo wako, hapa wewe ndiye utakaye takiwa kuthibitisha hizo tamaduni hazipo

Kwa hiyo unasemaje?

Nisubirie uthibitisho wako unao disprove madai yangu au unataka burden of proof ifate mkondo kwa mtu aliyekuja na madai ndiye awe wa kwanza kuthibitisha ili nikuthibitishie?
 
Yote ni uongo.
Kumbe unaweza kujua uwongo pasipo hata kuhitaji kujua lugha ya asili au kitabu cha asili

Kwa mantiki hiyo kumbe hoja ya wewe kunirudisha nikasome kitabu ambacho kimeandikwa kwa lugha ya kiasili ya kiarabu ni hoja ya kupuuza tu

Nimesha puuza sitegemei kuona ukirudia rudia hapa tena
 
Back
Top Bottom