Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Nakuonaga unakosoa biblia mara kibao humu, lakini ni lini hiyo ambayo hoja zako zili base kwenye lugha ya asili ya biblia?

Nikisema zile critics zako zoote kwa ukristo dhidi ya biblia hazijaweza kuwa na mashiko kwasababu hukutumia lugha ya asili ya biblia, nitakuwa sahihi?
Namna za ukosoaji ziko nyingi na si lazima kuhoji kwa mtindo wa lugha sehemu amabayo hakuna haja hiyo.

Mimi marejeo yangu kuhusu Ukristo narejea katika vitabu vya wenye marejeo, ili kuepuka kukosea.

Utakuwa sahihi endepo ukikuta nilichokiandika kipo tofuati na kile kilichopo kwenye asili, sasa wewe umeweka mambo ambayo huyakuti kwenye kitabu cha asili.
 
Naanzia hapa.

Tuonyeshe hizo tamaduni hata mbili tu, kingine umesoma wapi hiyo historia wakati nukuu zako haziko mashiko na hujui unachokirejea.
I did it for the purpose

Finally umethibitisha "burden of proof"

Nikisema namimi nitumie mfumo wako, hapa wewe ndiye utakaye takiwa kuthibitisha hizo tamaduni hazipo

Kwa hiyo unasemaje?

Nisubirie uthibitisho wako unao disprove madai yangu au unataka burden of proof kwa ntu aliyekuja na madai ndiye awe wa kwanza kuthibitisha?
 
Hili najua huna uwezo nalo sababu utarudi kule kule kama uliko fanya hapa, yaani husomi vitu kwa ukamilifu wake. Wewe sema kisha uone habari yake itakuwaje. Kila kitu kimedhibitiwa.
Niambie hiyo collection ni lini ilianza kuwa recogined kama official codex?
 
Nakupa kazi naomba uniambie Ibn Is'haaq hizo habari alizipata wapi ? Jina lake haliandikwi "Ibn Ishaq" hapa hata nikikwambia utamke linavyotamkwa huwezi. Hili ni tatizo lingine linalo onyesha wewe si msomaji bali ni muokotezi okotezi.
Sijakosea ni Ibn Ishaq hivyo hivyo kama nilivyoandika, huyo ndo naye mzungumzia mimi hayo mengine umeyaleta wewe

Kwani huelewi Al mansur ali caliph mwaka gani na nani aliyemuajiri kama tutor na kama mwandishi wa kuandika habari zote za kihistoria tangu kipindi cha uumbaji, pamoja na historia ya muhammad kiujumla wake?
 
I did it for the purpose

Finally umethibitisha "burden of proof"

Nikisema namimi nitumie mfumo wako, hapa wewe ndiye utakaye takiwa kuthibitisha hizo tamaduni hazipo

Kwa hiyo unasemaje?

Nisubirie uthibitisho wako unao disprove madai yangu au unataka burden of proof kwa ntu aliyekuja na madai ndiye awe wa kwanza kuthibitisha?
Sasa kwanini unaandika ya uongo kijana ?

Hii mada yako nimesha ivunja muda mrefu sana, hapa kilicho baki nakufundisha namna ya tafiti za kielimu zinavyo fanywa.

Kingine nakuonyesha ya ukiwa unaandaa mada hakikisha umeisoma na kuielewa siyo kama ulichofanya humu.
 
Sijakosea ni Ibn Ishaq hivyo hivyo kama nilivyoandika, huyo ndo naye mzungumzia mimi hayo mengine umeyaleta wewe
Kijana usibishe kwa jambo ambalo hulijui, mnao andika hivyo wote mnakosea, ukisoma jina lake katika Kiarabu haliandikwi hivyo wala halitamkwi hivyo. Sasa nani amekwambia tunamuongelea asiye kuwa huyo ? Ndiyo maana nimekukosoa.

Naona kijana haupo kwa lengo la kujifunza yaani umeamua kuendelea kuwa mjinga.

Mpe mtu anae jua Kiarabu akusomee hilo jina :

Screenshot_20220310_190950.jpg



Kwani huelewi Al mansur ali caliph mwaka gani na nani aliyemuajiri kama tutor na kama mwandishi wa kuandika habari zote za kihistoria tangu kipindi cha uumbaji, pamoja na historia ya muhammad kiujumla wake?
Ibn Is'haaq alizaliwa mwaka 80H vitabu alivyo andika ni maarufu ni viwili, cha kwanza ni Al-Maghaazi kinachoelezea habari za "Prophet's Millitary Compaigns" na kingine kinaitwa "Siirat an-Nabawiyyah (The History of Prophets) baadae ndiyo kazi na zile zikaja kuandikwa kwa ufupi na Imamu Ibm Hisham na yeye alipata maandiko haya kutoka kwa mwanafunzi wa Imam Muhammad Ibn Is'haaq aliyeitwa Ziyaad kama sikosei.

Hapa nitakuuliza swali, unaweza kututhibitishia katika kazi zake zilizo potea zilikuwa zinaongelea habari gani ?

Je kuanza kwake yeye kuandika inamaana alifanikiwa kuandika habari zote za Mtume na utume wake ? Sababu Ibn is'haaq, sababu Ibn Is'haaq alikuwa mwanachuoni mkubwa na mwenye kuaminika na sifa zake zimetahwa na Imamu Dhahaab na wengine japo wapo baadhi ya wanazuoni wa mtia ila. Almuhimu jambo liko hivyo.

Hii pia si hoja, sababu wako wanazuoni waliandika vitabu vinaelezea Historia kuanzia kuumbwa kwa dunia, Adamu mpaka kiyama na hawa wana njia ambazo walipata hizi habari nje ya Imamu Ibn Is'haaq.

Sasa nasubiri hoja zako.
 
Ilitakiwa litumikaje?

kama wanasiasa wanalitumia kimakosa nakupa mfano mwingine
Lugha ya kiswahili ni changa hivyo ina misamiati michache.

Kwenye hoja yangu ya msingi nimekuuliza kwanini wanatumia neno hilo
 
kama wanasiasa wanalitumia kimakosa nakupa mfano mwingine

Najua kwamba muda wowote mahali popote kifo kinaweza kunikuta lakini usiku kabla ya kulala na set alarm ya kuniamsha

Hiyo utaiweka kwenye kundi lipi?
Hiyo haingii kwenye kundi lolote sababu kila mtu atakutwa na hali hiyo
 
Miscellanea hii siyo chapter kijana na hii imewekwa na mtarujumi. Chapter ni hiyo "nasikh na mansukh". Nimecheka sana.

Uhusiano nimeshakupa na ndiyo maana hizo sura zilizo tajwa huko chini zote zinarudi katika chapter hiyo. Kijana soma kitabu cha asili ili usiendelee kuonekana kituko.
Ili kujua hiyo sio part of chapter kwanza niambie kuna chapter ngapi kwenye hicho kitabu?

Niambie kutoka chapter ya kwanza (ambayo utaitaja kwa jina) mpaka chapter ya nasikh na mansukh ambayo imaenza page ya 49 hapo katikati kuna chapter ngapi

Baada ya hapo uniambie chapter zilizoendelea zilianzia page number ngapi

Halafu uje ueleze kama nasikh and mansukh tafsiri yake ni kufutwa na kuondolewa, niambie mantiki ya kuwepo kipengele cha Miscellanea ni nini kama motive ya chapter ilijikita kuelezea dhana ya kufutwa na kuondolewa?
 
Nakushauri usome kitabu cha asili ili usiandike uongo ambao haupo katika kitabu cha asili.

Sasa kama unataka kuwa mtafiti ni lazima usome na si hiari, hili weka akilini.

Hakuna sehemu uliyo weka sababu, hapana hakuna anaye kimbia na kwenye aya ya unayodai hujaweka sababu.
Wewe lini ulisoma kitabu cha biblia kwa lugha yake ya asili ili upate authority ya ku criticize?
 
Hakuna sehemu uliyo weka sababu, hapana hakuna anaye kimbia na kwenye aya ya unayodai hujaweka sababu.
Niwekee nukuu ya paragraph ya mwisho niliyokuambia nimejibu na wewe umedai hakuna jibu
 
Lugha ya kiswahili ni changa hivyo ina misamiati michache.

Kwenye hoja yangu ya msingi nimekuuliza kwanini wanatumia neno hilo
Kama lugha ya kiswahili bado ni changa, basi hoja yako ya kusema hakuna imani zaidi yamoja itakuwa invalid
 
Maliza kwanza la neno "nothing".
Unakimbia hoja kishamba sana

Mimi ndiye nilikuuliza kuhusu nothing

Reference hizi hapa

Wewe ukaja kujibu hapa

Nikaja kukazia swali tena post #337

Ukajibu hivi

Niambie kwa mtiririko huo ni nani aliyeleta hoja ya "nothing" kama swali la kumuuliza opponent?

Bila shaka ni mimi, sasa mimi nimeamua kukubaliana na majibu uliyonipa nataka twende hatua inayofuata ambayo ndio hii

lazima unipe tafsiri ya haya maneno fictitious, imaginary, fantasy, fairy tale, mythological halafu uniambie yanatumikaje kwenye habari
 
Namna za ukosoaji ziko nyingi na si lazima kuhoji kwa mtindo wa lugha sehemu amabayo hakuna haja hiyo.

Mimi marejeo yangu kuhusu Ukristo narejea katika vitabu vya wenye marejeo, ili kuepuka kukosea.

Utakuwa sahihi endepo ukikuta nilichokiandika kipo tofuati na kile kilichopo kwenye asili, sasa wewe umeweka mambo ambayo huyakuti kwenye kitabu cha asili.
Swali la msingi hujajibu

Unaelewa lugha ya asili ya biblia ilikuwa ni lugha gani?
 
Sasa kwanini unaandika ya uongo kijana ?

Hii mada yako nimesha ivunja muda mrefu sana, hapa kilicho baki nakufundisha namna ya tafiti za kielimu zinavyo fanywa.

Kingine nakuonyesha ya ukiwa unaandaa mada hakikisha umeisoma na kuielewa siyo kama ulichofanya humu.
Rudi kwenye hoja

Umekuwa na kawaida ya kuweka madai na kumtaka opponent azi disprove na pale napokuambia kua mwenye kuleta madai positive ndio mwenye jukumu la kuthibitisha umekuwa ukipinga

Sasa Kulingana na hoja yako kua nikuthibitishie hizo tamaduni hata mbili zinazopingana, una onaje tutumie ile njia yako?

Nikisema namimi nitumie mfumo wako, hapa wewe ndiye utakaye takiwa kuthibitisha hizo tamaduni hazipo

Kwa hiyo unasemaje?

Nisubirie uthibitisho wako unao disprove madai yangu au unataka burden of proof ifate mkondo kwa mtu aliyekuja na madai ndiye awe wa kwanza kuthibitisha ili nikuthibitishie?
 
Kijana usibishe kwa jambo ambalo hulijui, mnao andika hivyo wote mnakosea, ukisoma jina lake katika Kiarabu haliandikwi hivyo wala halitamkwi hivyo. Sasa nani amekwambia tunamuongelea asiye kuwa huyo ? Ndiyo maana nimekukosoa.

Naona kijana haupo kwa lengo la kujifunza yaani umeamua kuendelea kuwa mjinga.

Mpe mtu anae jua Kiarabu akusomee hilo jina :

View attachment 2145999
Hicho kiduara umezungushia ku-refer kitu gani?

Nilichokuandikia mimi kilikuwa katika mfumo huo ambao wewe umeuleta?

Hayo maandishi ya kiarabu mbona yana andikika katika English alphabet kwanini usitafute source iliyoandika kiusahihi kama wewe ulivyonisahihisha?
 
Back
Top Bottom