Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Zilianzia usd 2 zikashuka mara ya mwisho nimeona screenshot mtu akweka humu ziliku0.98 hivi ila mimi nlipocheki ilikuwa 1.2
Dah asbh niliona usd 1.92 waliouza WANACHEKA loh

Kesho nahisi kuwa zero.zero...
 
Ila wamewatendea watu mambo tofauti na mategemo yao aisee
 
Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho.

McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo wa kutengeneza pesa nyingi kuliko Mungu, akiwa na Lockheed Martin kwasabu ya kutengeneza black software, Kwa wale msiofahamu kuhusu black software, black software ni zile software unazopewa task utengeneze lakini haziko public available, na Wala hauwezi kuwa na ruhusa ya kusema in public ulitengeneza software Gani, mana ukianza tu kuzigusia hata Kwa uchache ktk public unakuwa ni national threat, mwisho wa siku inabidi wakuue.

McAfee alipiga pesa nyingi kwenye crypto sio kwasabu ya kutrade bali kumention coin ambazo watu wanunue na kuuza kwenye Twitter Kwa sasa X, alikuwa anapewa commission yake lakini wamiliki wa coin walipiga pesa ndefu kutoka Kwa raia au followers wa McAfee, mana walikuwa wanacheza na Liquidity.

Kwa wale ambao tunafuatilia Habari ndiomana tunaona black project ambazo wamezifanya USA kwenye Area 51, Kuna wanajeshi zimewasababishia kansa lakini wanachohitaji ni matibabu tu sio fidia, na hata uwaulize walikuwa wanafanya nini Area 51 hawawezi sema kwasabu ni classified project, na hata taarifa za kuthibitisha kwamba walishiriki haziwezi patikana kwasabu ni National interest,

Leo nataka niwaambie wale wote wanaomiliki Pi, kuwa Pi ni scam project haitompa mtu umilionea zaidi ya wamiliki kwasabu wamepiga pesa nyingi kwenye Ads na data mining, wamekusanya KYC na kuuza Kwa makampuni yanayohusika, hususani MeTa na Google.
Pi yaweza kuwa ni black project ya kukusanya taarifa zenu na kuweka malware kwenye simu zenu.

Crypto unahitaji elimu na sio ukurupukaji, ndiomana ma CEO wa Pi ni social engineers sio crypto enthusiast, kaangalie hata chuo alichosoma CEO wa Pi wame mremove kwenye bio ili wajiepushe na scam ambayo kesho mtaishuhudia.

Kama unaelewa crypto mining huwezi sema unamine Pi, ndiomana apps zote za mining play store walishagazitoa.

Watu wanafikiri pi itampiku BTC lakini haiwezi japokuwa BTC Kuna siku itakuwa na anguko kubwa pale watu watakapojifunza maana halisi ya privacy, kwasabu huwezi amini katika privacy na unatumia CeX (centralized exchanges) kama Binance, Coinbase n.k kwasabu ni trackable.

Bitcoin sio anonymous bado ni trackable kwahiyo naamini kizazi kijacho hakitoitumia Bitcoin kwasabu ni zero privacy.

Sasa vipi kuhusu Pi ambayo ni KYC based, haziko open source tujue wanafanya nini Wala Chochote, lakini wajinga wanaikumbatia na hususani wazee wa affiliate,
Niwaambie tu Pi haitofika hata 1$ ila itavanish

Sasa kesho tusubiri kuona crypto millionaire wa Pi Network waje hapa mana ni siku ya Mainnet.

Bitcoin transactions are not anonymized, but rather pseudonymous, as the algorithm uses cryptographic hashing to link transactions in a blockchain, obscuring the true identities of users behind publicly visible addresses.
 
Hatimaye ipo kwa hewa sasa, full kuchekelea. Mimi nilisema hata kama ni uongo acha ni mine tu kikubwa silipii. Leo nawacheka 😁😁😁
Una Pi ngapi mtaalamu?,na Bei ya Pi moja kwa sasa inaendaje?
 
Wewe umeuza ?
Hapana sijauza na wala sina mpango wa kuuza na kuanza kuhangaika kufungua akaunti kuuza coin 50 ambazo mwisho wa siku hata laki haifiki. IOU price ilikuwa imenishawishi ndiyo maana nlianza kuzimine otherwise nisingemine. Ila bado wanaendelea kuuza na nadhani wanaofanya dumping ni waanzilishi wanasepa na really cash watakaonunua wanapaki na coin isiyo na thamani
 
Nimekuuliza wewe umeuza ngapi, na capitalization market ya pi ni ngapi ?
Mkuu nikisema solana inauza haina maana mimi nimeuza. Mimi sijauza na wala sina mpango wa kuuza kwa sababu siwezi pata pesa ya maana. Ila hiyo mitandao niliyokutajia zinauzwa. Kuna dumping huko inaendelea na bila shaka wanaouza ndiyo mafounder soon itasoma 0
 
Hapana sijauza na wala sina mpango wa kuuza na kuanza kuhangaika kufungua akaunti kuuza coin 50 ambazo mwisho wa siku hata laki haifiki. IOU price ilikuwa imenishawishi ndiyo maana nlianza kuzimine otherwise nisingemine. Ila bado wanaendelea kuuza na nadhani wanaofanya dumping ni waanzilishi wanasepa na really cash watakaonunua wanapaki na coin isiyo na thamani
Mkuu pi ingekuwa mineable basi app yake usingeikuta playstore, pi inachokifanya ni entertainment mining, sio real mining, na inanisikitisha kama kweli wewe ni programmer unasema unamine
Hapana sijauza na wala sina mpango wa kuuza na kuanza kuhangaika kufungua akaunti kuuza coin 50 ambazo mwisho wa siku hata laki haifiki. IOU price ilikuwa imenishawishi ndiyo maana nlianza kuzimine otherwise nisingemine. Ila bado wanaendelea kuuza na nadhani wanaofanya dumping ni waanzilishi wanasepa na really cash watakaonunua wanapaki na coin isiyo na thamani
l
 
Back
Top Bottom