Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

100b ni max supply sio total supply, na circulating supply ni self reported in pi ina circulating supply ya 0.
1740131289743.png


coinmarket cap wana dharau sana, wanaiita SELF REPORTED 🤣 🤣 🤣
 
View attachment 3243940

coinmarket cap wana dharau sana, wanaiita SELF REPORTED 🤣 🤣 🤣
Huyo inaenda 0.0000
Watu Huwa wakiambiwa hawaelewi, xHamster nayo imepita na zaidi ya $300M raia walikuwa Hadi wanatoa TON kupata airdrop, bybit nao walihusika kufanya scam lakini hii scam ya pi wamekataa kabisa, afu pi wanamind wanadai bybit waliomba kulist wakakataa wakati wao ndio waliomba.

KYC watu hawaziheshimu, China kuwa wazee wameibiwa pension funds kwenye account zao kupitia pi.

Screenshot_20250221-115536.jpg


Huyo CEO wa bybit

Screenshot_20250221-120207.jpg


Hiyo serikali ya china ilikuwa inaonya raia wake kuhusu Pi network.
 
Huyo inaenda 0.0000
Watu Huwa wakiambiwa hawaelewi, xHamster nayo imepita na zaidi ya $300M raia walikuwa Hadi wanatoa TON kupata airdrop, bybit nao walihusika kufanya scam lakini hii scam ya pi wamekataa kabisa, afu pi wanamind wanadai bybit waliomba kulist wakakataa wakati wao ndio waliomba.

KYC watu hawaziheshimu, China kuwa wazee wameibiwa pension funds kwenye account zao kupitia pi.

View attachment 3243973

Huyo CEO wa bybit

View attachment 3243978

Hiyo serikali ya china ilikuwa inaonya raia wake kuhusu Pi network.
watu wa pi leo hawaonekan sjui wameenda kuvamia GCV
 
Huyo inaenda 0.0000
Watu Huwa wakiambiwa hawaelewi, xHamster nayo imepita na zaidi ya $300M raia walikuwa Hadi wanatoa TON kupata airdrop, bybit nao walihusika kufanya scam lakini hii scam ya pi wamekataa kabisa, afu pi wanamind wanadai bybit waliomba kulist wakakataa wakati wao ndio waliomba.

KYC watu hawaziheshimu, China kuwa wazee wameibiwa pension funds kwenye account zao kupitia pi.

View attachment 3243973

Huyo CEO wa bybit

View attachment 3243978

Hiyo serikali ya china ilikuwa inaonya raia wake kuhusu Pi network.
kuna video nlikua naskiliza youtube wakawa wnaaanza kukumbushana jinsi ya kuishi maisha mapya baada ya kutajirika, yaaani ni comedy balaaa
 
kuna video nlikua naskiliza youtube wakawa wnaaanza kukumbushana jinsi ya kuishi maisha mapya baada ya kutajirika, yaaani ni comedy balaaa
Lakini fix ni elimu tu, kwasabu licha ya yote TZ tunapenda kutapeliwa na weupe kuliko weusi, nikitulia nitajaribu kuelekeza mambo ya msingi ili anaetapelika atapeliwe tu, mana watu hawaheshimu KYC , na wahuni wanaziuza Kwa bei kubwa,android na iOs wanavyo ongeza security ndio vitu kama pi vinaibuka
 
Lakini fix ni elimu tu, kwasabu licha ya yote TZ tunapenda kutapeliwa na weupe kuliko weusi, nikitulia nitajaribu kuelekeza mambo ya msingi ili anaetapelika atapeliwe tu, mana watu hawaheshimu KYC , na wahuni wanaziuza Kwa bei kubwa,android na iOs wanavyo ongeza security ndio vitu kama pi vinaibuka
sio kwamba hawakuambiwa walikaza fuvu tu
 
Huyo inaenda 0.0000
Watu Huwa wakiambiwa hawaelewi, xHamster nayo imepita na zaidi ya $300M raia walikuwa Hadi wanatoa TON kupata airdrop, bybit nao walihusika kufanya scam lakini hii scam ya pi wamekataa kabisa, afu pi wanamind wanadai bybit waliomba kulist wakakataa wakati wao ndio waliomba.

KYC watu hawaziheshimu, China kuwa wazee wameibiwa pension funds kwenye account zao kupitia pi.

View attachment 3243973

Huyo CEO wa bybit

View attachment 3243978

Hiyo serikali ya china ilikuwa inaonya raia wake kuhusu Pi network.mbona

Huyo inaenda 0.0000
Watu Huwa wakiambiwa hawaelewi, xHamster nayo imepita na zaidi ya $300M raia walikuwa Hadi wanatoa TON kupata airdrop, bybit nao walihusika kufanya scam lakini hii scam ya pi wamekataa kabisa, afu pi wanamind wanadai bybit waliomba kulist wakakataa wakati wao ndio waliomba.

KYC watu hawaziheshimu, China kuwa wazee wameibiwa pension funds kwenye account zao kupitia pi.

View attachment 3243973

Huyo CEO wa bybit

View attachment 3243978

Hiyo serikali ya china ilikuwa inaonya raia wake kuhusu Pi network.
Mbona nasikia wanalalamika wame hakiwa na kupigwa hela ya maana sana hao bybit..ni kweli?
 

Attachments

  • IMG-20250221-WA0010.jpg
    IMG-20250221-WA0010.jpg
    123.2 KB · Views: 2
Mkuu ukisoma white paper yao ililenga kila mtu aweze kuaccess hiyo crypto kwa kutokuhitaji kuwa na power intensive mining rigs. Tafsiri yao ya mining ni kuwa sehemu ya network na kuufanya uaminike maana thamani ya pi kwa maelezo yao itategemea kutumia na watu wengi.
Lakini bado mimi naamini hawa watu hawakuwa na lengo la kutengeneza coin and it was a scam from the beginning. Hawa walikuwa wanatafuta ad views sasa wakaja na wazo hili. Imagine walikuwa wanapata views zaidi ya milion 10 kwa siku.
Na nadhan there was no coin at all na ndiyo maana uzinduzi wake umehairishwa mara kadhaa. Ila nadhani baada ya kupata base kubwa wakaona wanaweza kutengeneza coin. Na kumbuka wao wana 20% ya hizo coin na wameipa hype zimekaa ka ponze scheme na kila kitu so ikiingia kwa soko wakadump hizo coin zao bado watakuwa wametengeneza pesa kibao.
Marketing yao imekaa kiponze scheme kuanzia eti pioneers, invites, wahusika wengi ni nchi za asia na africa ambazo mara zote ndo victims wa ponze scheme.
Jana nmeona eti tangazo nlijua tu la uongo kuwa byd wameuza gari 100 kwa kulipwa pi 1 kwa kila gari.
Sasa km lengo lilikuwa kutengeneza ads views wasepe, walikuwa na haja gani kufanya mpk KYB kwa Exchanges?? C wangeruhusu tu exchanges zote waruke nayo waende na upepo mpk utakapokata
 
ni kubaki na 314,159$ hii ni Utility token ngoja tusubiri hizo Apps zao na makampuni yafanye intergration !haiwezekani jamaa wapate international certificate recognitions na watu wa mataifa mbali mbali ulimwenguni wapambanie GCV ya 314k$.
 
ni kubaki na 314,159$ hii ni Utility token ngoja tusubiri hizo Apps zao na makampuni yafanye intergration !haiwezekani jamaa wapate international certificate recognitions na watu wa mataifa mbali mbali ulimwenguni wapambanie GCV ya 314k$.
Sijui kwanini holder wa hii coin wengi ni watu wa vietnam, phillipines, thailand india na nigeria ambao mostly ndiyo huwa victims wa ponze schemes...
Hata channel nyingi za youtube za coin hii waendeshaji wake ni watu wa huko.
Shida ni pale tulipoamini kuwa itaipiku thamani bitcoin.
Ninazo 50 nilikuwa nimeshapanga nikanunua apartment pale royal village. Sasa nimeshtuka niko mapinga hapa sijaamini kabisa.
 
Sijui kwanini holder wa hii coin wengi ni watu wa vietnam, phillipines, thailand india na nigeria ambao mostly ndiyo huwa victims wa ponze schemes...
Hata channel nyingi za youtube za coin hii waendeshaji wake ni watu wa huko.
Shida ni pale tulipoamini kuwa itaipiku thamani bitcoin.
Ninazo 50 nilikuwa nimeshapanga nikanunua apartment pale royal village. Sasa nimeshtuka niko mapinga hapa sijaamini kabisa.
ngoja tusikilizie wakileta hizo Apps zilizokua zinatengenezwa kipindi kile cha Hackathon! mimi hainiingii akilini kuwa zile movements na progress zote iwe bure? hapana!

watu wawe wavumilivu unakumbuka kipindi kile ma exchange mbali mbali yaliweka Pi kwa bei ya IOU , Akina Huobi, XT e.tc ngoma inaenda mpaka ma Laki huko kwa Pi, Hype ilikua kubwa sana!

Hawa akina Nico sio wajinga.. Trust Me hii inakwenda ku prove watu Wrong!

Wale wa Kiroho wameshachungulia Pi kuwa inakwenda kubadilisha maisha yao..
 
Back
Top Bottom