then hio sio coin ni financial institution, but sometimes i can understand kwann watu hua mnakua fooled na vitu vidogo dogo, tungekua na utaratibu wa watu kupaa elimu nzuri tungeondokana na huu uduwanzi, ulitakiwa mpaka sasa ujue coin ni nn, token ni nn znafanyaje kazi supply ni nn yaani atleast zile basics uwe ushajua but kwa kua mna uvivu basi amna namna ingine ya kuwasaidia, kutokujua sio shida dunia ina vitu vingi huezi jua kila kitu but unafanya nn baada ya kujua ndo tatizoo kama unaendeleza ubishi basi tunakuacha, PI sio coin ya kwanza kuscam watu unaijua ONE coin wewe?