Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

We uoni ajali za kizembe nyingi.
Makahaba na michepuko pekee ndio wanawake wanaozingatia mafunzo ya ndoa na kuyatumia kupora wanaume za watu.
Mwanamke akishapata cheti cha ndoa na watoto kinachofuata ni bidii ya kuibomoa ndoa.
Kweli bruh
 
Unajua mkuu wanawake huwa anakubadilisha kuua kwa majibu yake huenda jamaa alimkamata na sms za kuchepuka ila majibu yake ndo jamaa akapandisha moli
 
Huyu mwanaume boya sana , kwanza hawa watoto kwa haraka haraka hawahitaji DNA ...punguani mkubwa Nyokochinyoko😡 watoto watalelewa na nani?
 
Masanja anatajwa sana humu,nini kimemkuta?

Nipe link mkuu if possible
 
Ila wakuu shida ya wanawake kama unagombana nae au kuna kutokuelewana ndani hawa viumbe wanaongea haswa tena lugha chafu kama uwezi kujizuia hasira unaweza upige hadi uuwe kama huna moyo wa kuvumilia, nadhan ndo kilichomkuta jamaa😔😔
 
Hiki nini siku hizi,yaani utamu wa kati ndio unaleta balaa kiasi hiki??
Kwanini upige,kwanini uue?
Si umuache tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…