ππ pole sana st kayumba girlyaani mazingira yanavutia kuwa serious na kile kimekupeleka shule, siyo kule kwetu baada ya kula mihogo yako ya Mama Pili na kachumbari zilizojaa maji kitu pekee unatamani kufanya ni kusinzia..!ππ
Kimefadhiliwa na wuchina nahisi tutasoma kichinaππππtukasome kwa kingereza halafu tuje kuongoza kwa uswahili mwingi...
non sense
Chuo cha CCM hicho sio cha serikaliutakuta makozi ya PRs ndiyo yamejazana hapo
lundo la graduates mtaani
Hicho ni chuo Cha CCM.Nina hamu ya kurudi shule.. Wana kozi gani hapo?
tukasome kwa kingereza halafu tuje kuongoza kwa uswahili mwingi...
non sense
Huyo MATAGA wala hafai sogelea hilo geti.Sasa shule ya uongozi ya bwana polepole itakuwaje? Au atapewa pindi pale awe anabwatuka?
Chuo hiki ni mali ya CCM japo serikali imegharamia na msaada toka China.Chuo cha uongozi cha Mwalimu Nyerere Kibaha, PwaniView attachment 2124259View attachment 2124260View attachment 2124261View attachment 2124262View attachment 2124264View attachment 2124265View attachment 2124266View attachment 2124267
Kwani Marekani ilitawala Afrika!^To learn history properly is to overcome all primitive evils of imperialism and racialism^ ~ JKN.
Joe Biden & Boris J. wakiona nukuu hiyo hapo chuoni wanafyonya hadi usiku wa manane!
Hatujengewi sisi wanajengewa watawala CCM.Hiki pia tunajengewa na ndugu zetu wa damu kutoka China?
Kanuni za kuongoza watu hazibadiliki bila kujali lugha gani umesomatukasome kwa kingereza halafu tuje kuongoza kwa uswahili mwingi...
non sense
Ruksa pesa yakoKajamba nani mtaruhusiwa humu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku mwema wadau [emoji3578]
Hata hivi atakuwa mkufunzi piaSlow slow akiona majengo hayo anasonya maana angekuwa mkuu wa chuo ujue.
Hata kama alikuwa bedui apewe kacredit asee..!Hongera awamu ya sita.