Picha hii inasema sana kuhusu siku zijazo kwa siasa na uongozi wa Tanzania

Tufafanulie wengine vilaza,naona suti gwanda,suti Kaunda na suti tai 🦅.Pia kama wakati wakati umerudisha saa yako nyuma kadiri ya miongo mmoja,🤔Ila binafsi umeniacha sijui wadau wengine 🤔
 
Tufafanulie wengine vilaza,naona suti gwanda,suti Kaunda na suti tai 🦅.Pia kama wakati wakati umerudisha saa yako nyuma kadiri ya miongo mmoja,🤔Ila binafsi umeniacha sijui wadau wengine 🤔
Mbona iko clear sana? Hebu soma tena uzi upya.
 
Na hakuna haja ya kuwa na vyama vya upinzani mana kila kitu watakuwa wanakubali tu.
Jana mwamba kaalikwa tena kula futari Ikulu....Kuna haja gani kiongozi wetu wa mapambano anashinda na adui yetu wa maendeleo analamba tu Asali?
 
Mbowe hatakuja kuwa Raisi wa Nchi hii. Hilo, uwe nalo katika mawazo yako.


Katiba hairuhusu mtu aliyeshitakiwa kwa Ugaidi kuwa Raisi.

Hakika tutaona picha nyingi tu.
 
Mkuu picha hiyo inatafakarisha sana. Tena inaweza kuangaliwa sambamba ni hii nyingine hapa chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…