Mtumpole
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,278
- 1,288
Mbona yanajengwa maghorofa mengine nadhani zaidi ya 9Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.