Mama bhana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiisoma hiyo picha nyuso zao. Ni Mpina anamwambia unajua ukweli na utahukumiwa na Mungu. Na Bashe ni kama anasema nisamehe Kaka, hizi siasa na nimekukosea kwa wewe kusema ukweli. Picha zinaongea....
Mzee wa ma-file hahahaaAliFariki mwaka juzi mama wa watu,alikuwa mzee wa kanisa
Mtu makini anaweza kujiuliza swali hili, kwa nini Bashe alikaa siti ya nyuma tofauti na utaratibu wabunge wa Mawaziri kukaa sehemu za mbeleHiyo picha ndio inaonyesha power ya media ikiamua kutengeneza narrative (perspective) wanavyotaka wao na kupotosha.
Uhalisia ni kwamba ukiangalia video Mpina wakati anatoka Bashe alikuwa na huruma kabla ajafika kwakuwa yeye alikuwa amekaa mbele mlango akawa amegeuka kabla Mpina ajafika amwanbie kitu (more likely kumpa pole).
Mpina akutegemea kumkuta Bashe mlangoni akastuka kidogo akutaka kumuangalia usoni (bila ya kuelewa dhamira ya Bashe) na kupitiliza hadi mlango.
si kwamba fisadi Bashe aligeuka maliciously, mwisho nadhani yeye mwenyewe akupenda mipasho aliopewa Mpina (ukiangalia body language ya Bashe wakati Mpina anatoka) kuna maneno alisema ya kumfariji.
Mafisadi yalijua yanachofanya wakamuweka Bashe mlangoni, ni kama vile kumwambia Mpina utatoka wewe bungeni sio Bashe.
The whole thing was tasteless
Kwa nini mtu akiwakosoa inakuwa chuki binafsi? Akiwa chawa ni upendo public? 🤣"figisu" ipi aliyofanyiwa?
Kila kitu kimewekwa wazi kabisa. Huyo kayuakanyaga kwa chuki zake kwa kuendeshwa na chuki zake binafsi.
Kabisa mama yake alifariki 2022 baba yake akitangulia 2021 walikuwa wasabato wazuri tuMzee wa ma-file hahahaa
Sio kukaa kiti cha nyuma tu. alikuwa mbele ya mlango ilikuwa lazima waonane na Mpina akitoka.Mtu makini anaweza kujiuliza swali hili, kwa nini Bashe alikaa siti ya nyuma tofauti na utaratibu wabunge wa Mawaziri kukaa sehemu za mbele
Nimetamani tu nikuone aisee! Unadomo ka nini yaani?"figisu" ipi aliyofanyiwa?
Kila kitu kimewekwa wazi kabisa. Huyo kayuakanyaga kwa chuki zake kwa kuendeshwa na chuki zake binafsi.
Hao wasomali ni kabila linalopatikana wapi hapa tanganyika? Halipo kwenye yale makabila 120 kadhaa ya nchi hii aya jipange upya alafu urudi blood f****Ni mtanzania Tanzania ina makabila mengi wakiwemo wahindi,waaarabu na wasomali na ni watanzania asilimia 100 ndio maana hadi bungeni wapo
Acha ujinga
Hilo tatizo la wajinga waandika vitabu vya history wanaosema Tanzania ina makabila 120 huku inasahau wahindi,waaarabu ,wapemba na wasomali nkHao wasomali ni kabila linalopatikana wapi hapa tanganyika? Halipo kwenye yale makabila 120 kadhaa ya nchi hii aya jipange upya alafu urudi blood f****
Nina-admire uelewa wako wa jamii na makabila ya watanzania. Maoni yako huwa yamejaa taarifa na ushahidi.Kabisa mama yake alifariki 2022 baba yake akitangulia 2021 walikuwa wasabato wazuri tu
Eti mzee wa mafile ahaaaa
mungu wa wezi ni shetani, huyo ndiye wanayemuamini.Wala asiogope, amuamini Mwenyezi Mungu,
Hawana hasara hata nchi ikibaki mfupa mtupu. We need a benevolent Dictator to get rid of this malicious tenderprenuership system.Sio kukaa kiti cha nyuma tu. alikuwa mbele ya mlango ilikuwa lazima waonane na Mpina akitoka.
Ukiangalia ni utoto tu mwanzo mwisho, session nzima ilikuwa na lengo moja tu kumsakama Mpina.
Hakuna kabila jinga kama matanzania! Yamemwacha Mpina akiwa Mpina kwelikweli! Mpina kwa Kisukuma ni "Mkiwa"Mpina amejifunza kitu, mtanzania sio mtu wa kumtetea, amewnda front kageuka nyuma kajikuta mwenyewe, wamemgeuka
Njoo ofisi za chama mtaa wa Lumumba utanikuta, kila Ijumaa nipo pale.Nimetamani tu nikuone aisee! Unadomo ka nini yaani?
Jifundishe kuandika ueleweke.Hawa nawachukia sababu wanatetea wananchi maskini dhidi ya genge la wahuni. Waache watu tulige pesa.
Hata wewe hujaja kabla yao. Soma kijana.Hao wasomali ni kabila linalopatikana wapi hapa tanganyika? Halipo kwenye yale makabila 120 kadhaa ya nchi hii aya jipange upya alafu urudi blood f****
Jibu swali hilo kabila la wasomali linapatikana mkoa gani hapa tanganyika? Hao wanahistoria na wewe unadhani nani anajua vizuri makabila ya tanganyika?hao wahindi,waarabu na wasomali unawaona wajinga kwa wao kukaa kimya kwamba hawajawa included? Kama ni rahisi ivyo basi tuwajumuishe na wa khosa, waigbo na wazulu nao wapatikane tanganyikaHilo tatizo la wajinga waandika vitabu vya history wanaosema Tanzania ina makabila 120 huku inasahau wahindi,waaarabu ,wapemba na wasomali nk
Unajua sasa Hivi kuna makabila matatu yameongezeka ya wahutu,watwa na Watusi ? Baada ya kuwapa uraia wahutu ,Watusi na watwa 250,000 waliokuwa kwenye makambi ya wakimbizi na kuwapa uraia WA Tanzania kipindi cha kikwete
Uko so outdated na history
Hao cushite nomads nawafahamu sana tena kabla ya wewe kuvuka maji kuja tanganyika. Katika cushites wanaopatikana tanganyika hao wasomali hawapo, niambie hili kabila la wasomali linapatikana wapi hapa tanganyika?Hata wewe hujaja kabla yao. Soma kijana.
Unafahamu maana ya Cushite Nomads?