Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Thibitisha ubadhirifu wa huyo ndugu Abdul.....Sijui kama unajua unachosema mwanangu. Hatuongelei umaarufu bali uadilifu. Ushawahi kusikia kuwa watoto wa Nyerere au Magufuli ni mabilionea? Hawa ndiyo watu waliojua walichokuwa wakifanya ikulu tofauti na manyang'au weneinge walioingia na kuzitumia ikulu kuibia umma kama hawa unaowatetea. Je wamekutuma, unajikomba kama chawa wengine, au una uhusiano na ushirika nao?
Unaongelea maadili au madili? Huyu wetu hana maadili bali madili. Na sijui hata kama anajua maana na umuhimu wake baada ya kuachia ngazi. Ukiona kiongozi mzima anajisifu kwa uchafu wa kufuga chawa, usitegemee maadili mwanangu.
Mwanagu Mkunwa kama Nazi, naomba ujibu maswali yangu kama umetumwa, unajipendekeza au ni chawa wa kawaida kama huna ushirika na ujambazi huu.Thibitisha ubadhirifu wa huyo ndugu Abdul.....
Thibitisha ubilionea wake hapa....
Mjomba mkubwa....si familia ya JPM Wala Nyerere iliyo na hali ya chini kama tuliyonayo raia wengi.....
Do you have personal issues with Abdul?!!
Si heshima ya kiafrika....wewe umtumzima.....Du inaonekana ana baba wengi.
Huyu ndiye kaivuruga Chadema nzima, watu hawalali, utulivu hakuna, wanaenda na vinywaji msalani, hawaaminiani wanaogopana kwa ajili ya huyu kijana?
Wivuu7uuuKumbe bado mwana kabisa.
Iko vile bandugu !
Hiyo inaitwa jiongeze. Kuna wakati hata Mama hajui nani Baba wa mtoto. Thanks to DNA Test.Si kweli. Hii ilikuwa ni kabla ya kuja kwa teknolojia ya DNA mwanangu. Fumbua macho wengine hawafanani bali wamefananishwa na waliotia mimba.
Na yote ni maisha tu ! Inategemea mindset yako ikoje !Kila jambo lina muda na wakati wake
Rafiki wa Wenje
Kwa Magufuli asingefurukuta. Tena si ajabu na mama yake angetimuliwa kama angejaribu kufanya anachofanya leo hii.hv mbona kabla mama hajawa rais tulikuwa hatumsikii kabisa?
et madame ephen_ kabla ya mama yake kuwa rais huyu kiumbe alikuwa anasikika huko daslamu?
Nimetahiriwa mwanangu siyo mtu mzima. May be wewe.Si heshima ya kiafrika....wewe umtumzima.....
Hizo kedi zako zinachusha....
Mtafute Tumia akili atakujuza.Operation code pjlk vipi!!?
Lucas akimwona anab