Mbona picha ni za siku nyingi. Na hata hizo toba ni za siku nyingi sio karibuni.Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Usanii tuHuyu jamaa anaonesha ni mtu wa Mungu tokea kitambo ila siasa imemharibu sana
Character ya namna hii kazi yake ni nini hasa? Kila somo F and yet sitted RC's seat? Ushenzi?Huyu Jamaa kwenye Matokeo ya Bible Knowledge alipata "F"........Ndiooo yaani mswaki
Huyu ni mwizi, fisadi, anatakiwa kuwa jera tu,Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
🤣🤣🤣🤣Wajumbeee🤸🤸🤸😂😂😂 siku ile kauliza mwenyewe watu wangu mnaniangusha wapi wajumbe walee washatambaa
Wajumbe sio watu wazuri na hapo wamekula rushwa ya kila mgombea na bado kura wakawatosa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila nimeamini hakuna wanafiki Kama wajumbe...Kuna mzee kazimia huku alichotegemea kwa wajumbe kimekuwa tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 Ila wajumbe safari hii..wamejua kukomesha watu.Wajumbe sio watu wazuri na hapo wamekula rushwa ya kila mgombea na bado kura wakawatosa
mwenye art tunasema acting is reacting sanaa na wasaniiHuyu ni bonge la bongo movie
Uliosababisha asiende mamtoniBado tuna kazi naye, kaa kwa kutulia.
Kaka kama ulisoma somo linaitwa Map reading and Photography interpretation usingeuliza swali hili
Swali zuri sanaHuyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Kwahiyo hata kina Trump hawajamfungulia?TUBU TUBU TUBU NA KIRI UMWOMBE MSAMAHA AMERUDI JAMAA. WALIOKUTUMA NA KUKUTUMIA WAMEKUTUPA HUNA PA KWENDA. Njoo mwana mpotevu hakuna dhambi isiposameheka ukitubu kwa dhati omba msamaha kwa dhati kwa kadamnasi na useme wazi uliwajeruhi wakusamehe. Hatia ya dhambi itafutwa hutaamini Ndugu Daudi Bashite trust in GOD
Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Wamchunge tu asije kujidhuru tukapoteza ushahidi!
Maigizo
Kalikoroga mwenyewe , msituhusishe
Huyu ni bonge la bongo movie
When was this? Siyo ya zamani?
Something is haunting him! Kuna mzimu wa mtu fulani unamsuta!
Huyu jamaa tusipokuwa makini anaweza akachukua maamuzi magumu .
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kinyesi ni kinyesi tu hata kikipewa jina gani kitabaki kinyesi tu
Kuwanyima watu haki ya kuishi