Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Mwana kulifind…..mwana kuliget!
Mkuu ipo hivii, tumia dashboard yako kusoma gari kama inachemsha au la. Kwenye dashboard mshale wa temperature utakuwa kwenye red kama gari linachemsha kama sivo basi position ya mshale itakuwa around hapo kwenye nusu ya gauge.
Gari iliyounguza cylinder head gasket au kupindisha cylinder head huwa inaingiza upepo kwenye cooling system na dalili yake kuu ni gari kuchemsha na kurudisha maji kwenye reserve tank.
Iwapo pia mfuniko wako wa rejeta ni mbovu basi gari itarudisha maji kwenye reserve tank.
Kabla hujagusa cylinder head au gasket ya cylinder head au rejeta, hakikisha umebadili mfuniko wa rejeta then watch gauge ya temperature kwenye instrumental cluster hapo.
Ni hayo tuu, I hope umeelewa.
Jamaa anacheki kama gari inachemsha kwa kuangalia mfuniko wa rejeta? huyu jamaa ni noma.
 
Yale maji ukifungua mfuniko yalivyo ya moto umekwisha, hata kwenye gari inayochemsha kufungua mtu unachukua spana ya kufungua tairi na chuma cha jeki. Unatumia hivyo kuuzungusha na baada ya kuuweka wazi, unarudi chuma fasta sana
Wengine wanafungua kidogo alafu anauacha, anakuja tena kidogo anauacha hadi anamaliza wote
 
siku moja gari ilizingua taa sasa nikashuka kuangalia why haiwakii... aisee kumbe huwa zinapata moto balaaa wee niliungua kidolee nikasema nishikie tshirt nayo shwaa duuh 😀 😀 😀
[emoji3]siku nyingine tumia spana na chuma cha jeki kile kufungua huo mfuniko. Utakuja kuharibu showroom ya mwili hiyo ukose warembo mjini hapa
 
Mwana kulifind…..mwana kuliget!
Mkuu ipo hivii, tumia dashboard yako kusoma gari kama inachemsha au la. Kwenye dashboard mshale wa temperature utakuwa kwenye red kama gari linachemsha kama sivo basi position ya mshale itakuwa around hapo kwenye nusu ya gauge.
Gari iliyounguza cylinder head gasket au kupindisha cylinder head huwa inaingiza upepo kwenye cooling system na dalili yake kuu ni gari kuchemsha na kurudisha maji kwenye reserve tank.
Iwapo pia mfuniko wako wa rejeta ni mbovu basi gari itarudisha maji kwenye reserve tank.
Kabla hujagusa cylinder head au gasket ya cylinder head au rejeta, hakikisha umebadili mfuniko wa rejeta then watch gauge ya temperature kwenye instrumental cluster hapo.
Ni hayo tuu, I hope umeelewa.
Sasa kurudisha maji sindio mfumo wake ulivyotengenezwa hivyo. Lazma kuna mda yanarudi kwenye reservior tank. Maji yakichemka lazma yatokote nachokiona kwenye hio video ni kuwa hio gari haina maji kabisa.
 
Nakumbuka ilikua GX100 ya Rafiki yangu, Bwana yule Gari ilitembea akaanza kuona Moshi... akasimama pale katika Mfuniko wa Rejeta ndo Moshi ulikua unatokea.... Bwana yule si akaufungua Bwana.... kwakweli kulichotokea Uso wake sikuweza kuuangalia mara 2
Hahahah kafungua kama anafungua bia 🤣!!! Mpe pole sana
 
Back
Top Bottom