CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Hapo ukute hata nguvu huna.Wewe ndio mke wangu, sijaoa vipi mama kijacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ukute hata nguvu huna.Wewe ndio mke wangu, sijaoa vipi mama kijacho
Jamaa anacheki kama gari inachemsha kwa kuangalia mfuniko wa rejeta? huyu jamaa ni noma.Mwana kulifind…..mwana kuliget!
Mkuu ipo hivii, tumia dashboard yako kusoma gari kama inachemsha au la. Kwenye dashboard mshale wa temperature utakuwa kwenye red kama gari linachemsha kama sivo basi position ya mshale itakuwa around hapo kwenye nusu ya gauge.
Gari iliyounguza cylinder head gasket au kupindisha cylinder head huwa inaingiza upepo kwenye cooling system na dalili yake kuu ni gari kuchemsha na kurudisha maji kwenye reserve tank.
Iwapo pia mfuniko wako wa rejeta ni mbovu basi gari itarudisha maji kwenye reserve tank.
Kabla hujagusa cylinder head au gasket ya cylinder head au rejeta, hakikisha umebadili mfuniko wa rejeta then watch gauge ya temperature kwenye instrumental cluster hapo.
Ni hayo tuu, I hope umeelewa.
jibu mujarabu kabisa😀Wewe mbona unaviungo kwenye mwili wako na Huna Elimu navyo ukiumwa unaenda hospital?
Wengine wanafungua kidogo alafu anauacha, anakuja tena kidogo anauacha hadi anamaliza woteYale maji ukifungua mfuniko yalivyo ya moto umekwisha, hata kwenye gari inayochemsha kufungua mtu unachukua spana ya kufungua tairi na chuma cha jeki. Unatumia hivyo kuuzungusha na baada ya kuuweka wazi, unarudi chuma fasta sana
[emoji3]siku nyingine tumia spana na chuma cha jeki kile kufungua huo mfuniko. Utakuja kuharibu showroom ya mwili hiyo ukose warembo mjini hapasiku moja gari ilizingua taa sasa nikashuka kuangalia why haiwakii... aisee kumbe huwa zinapata moto balaaa wee niliungua kidolee nikasema nishikie tshirt nayo shwaa duuh 😀 😀 😀
Hiyo nayo ni risk kama pale kumeshika joto koteWengine wanafungua kidogo alafu anauacha, anakuja tena kidogo anauacha hadi anamaliza wote
Ningekuzalishaje kama nguvu sina? Mie ndio nimekufanya leo maziwa yako yamelala kama ndalaHapo ukute hata nguvu huna.
Umeamka usingizini we juha?Ningekuzalishaje kama nguvu sina? Mie ndio nimekufanya leo maziwa yako yamelala kama ndala
Nilienda kutafuta hela ya kukuhonga shoga wewe.Von_Lufuta hapo ukute uliishiwa bando.
Wewe mama wa nyumbani hakuna unachojua. Ngoja nikutafutie hela na kukuzalisha tuUmeamka usingizini we juha?
Umeandika upupu gani sasa hapo?Wewe mama wa nyumbani hakuna unachojua. Ngoja nikutafutie hela na kukuzalisha tu
Umeona unavyohaha haha sasaNilienda kutafuta hela ya kukuhonga shoga wewe.
Sasa kurudisha maji sindio mfumo wake ulivyotengenezwa hivyo. Lazma kuna mda yanarudi kwenye reservior tank. Maji yakichemka lazma yatokote nachokiona kwenye hio video ni kuwa hio gari haina maji kabisa.Mwana kulifind…..mwana kuliget!
Mkuu ipo hivii, tumia dashboard yako kusoma gari kama inachemsha au la. Kwenye dashboard mshale wa temperature utakuwa kwenye red kama gari linachemsha kama sivo basi position ya mshale itakuwa around hapo kwenye nusu ya gauge.
Gari iliyounguza cylinder head gasket au kupindisha cylinder head huwa inaingiza upepo kwenye cooling system na dalili yake kuu ni gari kuchemsha na kurudisha maji kwenye reserve tank.
Iwapo pia mfuniko wako wa rejeta ni mbovu basi gari itarudisha maji kwenye reserve tank.
Kabla hujagusa cylinder head au gasket ya cylinder head au rejeta, hakikisha umebadili mfuniko wa rejeta then watch gauge ya temperature kwenye instrumental cluster hapo.
Ni hayo tuu, I hope umeelewa.
Hahahah kafungua kama anafungua bia 🤣!!! Mpe pole sanaNakumbuka ilikua GX100 ya Rafiki yangu, Bwana yule Gari ilitembea akaanza kuona Moshi... akasimama pale katika Mfuniko wa Rejeta ndo Moshi ulikua unatokea.... Bwana yule si akaufungua Bwana.... kwakweli kulichotokea Uso wake sikuweza kuuangalia mara 2
Nilikunyonya denda ukaona mchafu we bintiVon_Lufuta kuja hapa na mdomo wako mchafu.
Jana umeacha mavi kitandani. Muulize delicious huwa anafanyaje akupe darasaUmeona unavyohaha haha sasa