Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Paula kilaki achana nao hao, wenye akili tumekuelewa jinsi ulivyo na busara nyingi..Kuna watu wakisikia neno malaya wanajua wanasemwa wao, hiyo inaitwa kujishuku ni kama kibaka akisikia kuna msako wa vibaka lazima akimbie mji.
 
Last edited by a moderator:

miss u too my friend kimyyyaaaaaa
upo wapi?
nimekuelewa sana na ndo ilivyo mfano mie simkubali mondi but nakubali mahusiano yake na zari the boss...!!!
 
Last edited by a moderator:
miss u too my friend kimyyyaaaaaa
upo wapi?
nimekuelewa sana na ndo ilivyo mfano mie simkubali mondi but nakubali mahusiano yake na zari the boss...!!!
Nimekuvamia mahali...

Na hilo kuhusu Zari na Mond... hakuna kitu ambacho mashabiki tunakosea kama ni ile hali ya kumpenda mtu pamoja na mabaya yake na maovu yake yote mtu na kutompenda mtu au kumchukia mtu kwa maovu na mazuri yake yote!!! Kwamba, as long as huyu simpendi, basi chochote kinachomuhusu yeye sitakipenda imma faima!
 
Watoto ni wake. Siyo sababu ya kutamba.

Ally kiba roho yake siyo nzuri. Ukubwani atapata sshida.

Hata Michael Jackson aliweza kutengeneza watoto.
 
Paula kilaki achana nao hao, wenye akili tumekuelewa jinsi ulivyo na busara nyingi..Kuna watu wakisikia neno malaya wanajua wanasemwa wao, hiyo inaitwa kujishuku ni kama kibaka akisikia kuna msako wa vibaka lazima akimbie mji.

nimeshajiongeza mkuu yule alitumwa, mwanzoni nikidhani kachanganya habari, kumbe stress are killing them
 
Last edited by a moderator:
nimeshajiongeza mkuu yule alitumwa, mwanzoni nikidhani kachanganya habari, kumbe stress are killing them
we mdada nimekukubali sana umekua muungwana adi mwisho achilia mbali matusi uliyokua unatukanwa, nimefatilia post zako kuanzia mwanzo adi hapa umejitahidi kua na hekima bila chembe ya lugha chafu considered kua wote mliokua mnabishana ni ladies kwa ninavyowafahamu lazima wote mngeishia kurushiana mitusi na mwisho kuambulia ban bila kusahau kuwapa faida memberz wengine tunaopita kimyakimya. Safi sana hivyo ndivyo GREAT THINKERS ARE SUPPOSE TO BE. BIG UP!!!!!!
 

yule alikuwa anatafuta umaarufu, ninashukuru sana i didnt buy her shits otherwise jana ndio ungekuwa mwisho wangu hapa jf kwani ningekula ban ya maisha.
 
yule alikuwa anatafuta umaarufu, ninashukuru sana i didnt buy her shits otherwise jana ndio ungekuwa mwisho wangu hapa jf kwani ningekula ban ya maisha.

Kumbe huwa unayatafuta???endelea tutaona mwisho wake.
 
Wana wa Adam siku zote hawana jema, watasema kwa lolote mtu afanyalo. Walisema kiba shoga, kisa? Haweki mahusiano yake wazi na anajipenda. Lady jd hana mtoto kwenye ndoa yake, watu wakasema, oooh, mgumba! Mond ameweka mahucano yake wazi, "oooh, malaya tu, hana mbegu, mbegu zake zote viza!" Kiba kawaonyesha watoto wake," oooh, atumie nyota yA kijani!"
Sote tunajua namna mahusiano yalivyo magumu siku hiz. Siwezi mlaumu au kumshutumu yeyote kuhusu sexual relationship yake, cause am not in her/his shoes. Yeye mwenyewe ndio anaejua anayo yapitia, mie nabaki kuwa mtazamaji tu.
Kiba, Mond na wengine wote ambao hampo stable kwenye relationship, Mungu awajalie mpate right patners ambao mnao watafuta. Na Mungu awape ujasiri wa kuwalea watoto wenu kwenye maadili yafaayo
 
Watu kweli wamevurugwa maana swahiba Kiba kapiga HatTrick(bao 3) safiiiiiii mnalalama wakati mama ake anaitwa bibi kama mtu unaweza kulea zalisha hata 100 ndio kilichotuleta duniani,mbona hao wengine wanakufa bila kuacha alama kama Kanumba mnaishia kulia kua angeacha hata mtoto na mwingine daily analia kwenye media na wimbo kaimba kua vicheche vyake havitaki kuzaa ikamaanisha anatamani kuitwa baba na jibu jepesi hata yeye pia ANALOWEKA kama sisi.
 

Jamani mbona mi niliielewa kwani na hii nayo ina utata?
 
Last edited by a moderator:
From your previous posts I know you are better than this. If you really think it was meant for Avemaria alone then you should have used private messages. Hivi watu mkoje? We unaweka posti public halafu ukijibiwa eti umemwandikia fulani. Kwa hiyo ulitaka tuone jinsi unavyojua kushauri??!!
 
Kwamba alitumwa, alikuwa anatafuta umaarufu. Lol like someone was waiting for so long for such chance to happen???????. Kiruuuuuuuuuu ngoja nifike safari yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…