Picha: Wake wawili wa Waziri Juma Aweso wakiwa Bungeni

Ila wanaume 🤣🤣🤣🤣mke mkubwa ilivyo pisi hivyo😂😂😂ama kweli..ila ukewenza 😂😂
Usipagawe na body
Body ya kuvutia wakat engine mbovu hakuna anayetaka hivyo
 
Mke mkubwa ni bi zainab dada yake mke wa manara baada ya kubana na majukumu ndo akamruhusu aongeze mke ndo huyo kauthar CLOUDS fm wamewaingiza changa aliyekuwa mkuu wa wilaya pangani ndo mkubwa.
 
Wameshiba, mi naona ni kama ni mke mmoja, ukiwa na wanawake zaidi ya mmoja inatakiwa wawe tofauti ili ukiwa nao uwe umafili tofauti sasa hao wote wanene
kipenda roho, ni sawa na kuuliza mtu kwa nini anaagiza chapati 3 kwa nini asiagize chapati 1, andazi 1 na kitumbua ki1 ikiwa alitaka vitafunio vi3. Yeye labda alipenda tofauti ya rangi tu ila mambo yetu yawe pale pale.
 
Hujakosea uko sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…