chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,189
Very true, wayakubali maandiko ya vitabu vitakatifu,waache kufata mambo ya KIBEIJINGWameshindwa ishi kama wanawake, wanataka ishi kisanii na wanataka 50/50. Hakuna mwanaume aliye tayari kukaa na mtu ambae anamuwekea masharti.
Kwani hilo kongamano ni la jinsia ipi?Wahanga wengi jinsia ipi chief ?
Haya kama umecheka naamini umefurahi, kuhusu hilo jambo kuuma hilo nalijua saaana ila ndio sehemu ya mitihani mlopewa na Allah ni lazima mjitahidi mfaulu na si vinginevyo.Hahaaaa. Nimecheka sana leo Kaka. Lol
Wasema tu kaka ila ujui vinavyouma.
salama za wwHahaaa. Haya bana.
Mzima lakini?
Hapana inaokena wasio oa ni nusu ya walio baki manunganazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wanaume wote wameshaoa ?
Yaani walikuwa wengi sana nazani kama itatokea tena nitakushitua uende pale mwaka jana ilikuwa kuna siku tena ilikuwa ni jumamosiSijasikia hio. Humo na wapenda midondo lazima walikuwepo!
Tatizo wengi wanaitia miili yao mikosiWanaonyesha kuwa warembo, lakini bilabila....
Ha ha ha sitaki dhambi.Yaani walikuwa wengi sana nazani kama itatokea tena nitakushitua uende pale mwaka jana ilikuwa kuna siku tena ilikuwa ni jumamosi
Dhambi ya nini [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] walikuwa wanamlilia Mungu waoHa ha ha sitaki dhambi.
Pesa nini mbele ya mafuta ya Pu + mbu wewe.Watengeneze pesa tu!
Pesa ndiyo majibu ya yote! MUHIBIRI
Sipati picha jinsi ke wa humu wanasonya na kuupita huu kwa kasi ya sgr
[emoji16][emoji41][emoji41][emoji41] single mother anatiwa moyo ili wasijione kama wanayengwa [emoji5][emoji5][emoji5]Makongamano haya mbona yanachekiaa sana siku hizi, juzi juzi nilisikia kongamano la single maza
Kutongozwa si tatizo, ila inakuja anayekutongoza ni nani!?Mbona mkitongozwa mnakataa? au inamaana wote hao hawajawahi kutongozwa?