Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

CCM YA VILAZA HIYO

KAMA HII YA SASA

NO AJIRA
NO SALARY INCREMENT
POOR EDUCATION
WE jamaa sio mtumishi wa umma alafu unaandika porojo tu hapa. Baadhi ya vitu ulivyoandika havina ukweli
 
....sijui wakati huo nao walikua wanakusanyika na kuipigia ngoma na wakata mauno au ilikua kimya kimya!... Sijui na nchi zingine wakinunua ndege uwa wanaandaa sherehe mpaka na ubwabwa unapikwa au ni sisi tu ndo tunaonekana wakuja!

Lack of exposure; bado mnaushamba wa vijijini kwenu!!! Watu wanashangilia ndege hata hawawezi kupanda maishani mwao!!!
 
unataka kusemaa nini?

maana unaonesha kuna unachotaka kukisema...
 
Nadhani katika hizo ndege zote hapo juu ikiyokuwa ya Tanzania ni hiyo yenye twiga tuu, zingine ni zile za Alliance iliyoundwaga na ATC, SA na Uganda
 
Kwani Nyerere ni benchmark ya uongozi nchi hii? Mbona ni loser mzuri tu.

Mtu anaweza asijenge kwao lakini akatapanya rasilimali za nchi ovyo!

Waulize ccm hilo swali please kulinganisha mlima na kichuguu
 
Nadhani katika hizo ndege zote hapo juu ikiyokuwa ya Tanzania ni hiyo yenye twiga tuu, zingine ni zile za Alliance iliyoundwaga na ATC, SA na Uganda

Unaziona zimeandikwa nini
 
Nadhani katika hizo ndege zote hapo juu ikiyokuwa ya Tanzania ni hiyo yenye twiga tuu, zingine ni zile za Alliance iliyoundwaga na ATC, SA na Uganda
 
 
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„
 
Wachagga washamba mwanzo mwisho.
Hajawahi kununua dreamliner . Wanavuna mipesa ya wizi , wanaishi kumywea mbege na kiti moto.
Full ujinga.
Usukuma ni kitu kibaya sana

Yaani hayo makitu ni kawaida sana kwa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…