Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

CCM YA VILAZA HIYO

KAMA HII YA SASA

NO AJIRA
NO SALARY INCREMENT
POOR EDUCATION
WE jamaa sio mtumishi wa umma alafu unaandika porojo tu hapa. Baadhi ya vitu ulivyoandika havina ukweli
 
....sijui wakati huo nao walikua wanakusanyika na kuipigia ngoma na wakata mauno au ilikua kimya kimya!... Sijui na nchi zingine wakinunua ndege uwa wanaandaa sherehe mpaka na ubwabwa unapikwa au ni sisi tu ndo tunaonekana wakuja!

Lack of exposure; bado mnaushamba wa vijijini kwenu!!! Watu wanashangilia ndege hata hawawezi kupanda maishani mwao!!!
 
unataka kusemaa nini?

maana unaonesha kuna unachotaka kukisema...
 
Nadhani katika hizo ndege zote hapo juu ikiyokuwa ya Tanzania ni hiyo yenye twiga tuu, zingine ni zile za Alliance iliyoundwaga na ATC, SA na Uganda
 
Kwani Nyerere ni benchmark ya uongozi nchi hii? Mbona ni loser mzuri tu.

Mtu anaweza asijenge kwao lakini akatapanya rasilimali za nchi ovyo!

Waulize ccm hilo swali please kulinganisha mlima na kichuguu
 
Nadhani katika hizo ndege zote hapo juu ikiyokuwa ya Tanzania ni hiyo yenye twiga tuu, zingine ni zile za Alliance iliyoundwaga na ATC, SA na Uganda
 
Kuna mahali hizi taarifa zipo nikasome?

Maana kwa mujibu wa mahali fulani niliwahi kusoma ambapo Andy Chande yule mzee wa wajenzi huru alielezea chimbuko la Any Time Cancellation "ATC", ambapo ilianza na vindege vidogo dogo vilivyosalia na ndege kubwa mbili(Boeing 737) za mkopo toka benki ya US...

Ndege nyingine zozote kubwa zilikuwa ni za kukodishwa toka Ethiopia, SA na kwingineko...(na hii ni wakati wa Mwinyi)
 
Wachagga washamba mwanzo mwisho.
Hajawahi kununua dreamliner . Wanavuna mipesa ya wizi , wanaishi kumywea mbege na kiti moto.
Full ujinga.
Usukuma ni kitu kibaya sana

Yaani hayo makitu ni kawaida sana kwa serikali
 
Back
Top Bottom