Picha za Rais Samia baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023


Sukuma gang mmeanza?!
 
Mhandisi wa hili jengo la msikiti hakuona kuna via alama vinavyokaribiana sana na alama ya msalaba?
 
Hivi mkuu hao wadada wanaweza kugonga ngumi sawa sawa ukisema upange nao mkono ile ki kweli kweli?
Usithubutu mzee,mtu kasomeshwa ngumi na serikali miaka mitano nchi mbalimbali...Ila akiwa manzi yako anakukatia kiuno Kama siyo yeye!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…