Picha za Rais Samia baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023

Leo ni Siku Kuu huyo shetani mtie mfukoni hana nafasi. Achana nae anakujaza hisia mbaya. #Eid Mubarak.[emoji120][emoji120][emoji120]
Sasa ungewaambia hao waumini. Maana wanaonekana pichani. Katika hali ya kawaida unaweza usiamini kuwa huyo ni rais wa nchi anapita mbele yao.

Picha inasema sio mimi shekhe.
 
Marais wetu huwa wako mstari wa mbele kukuza viwanda vyetu kwa kununua bidhaa zetu, tusiwafikirie vibaya kuwa wanapenda kukuza viwanda vya mabeberu.
 
NIMESHANGAA HIYO PICHA, YANI HAO WANAWAKE WALIOZUNGUKA NYUMA YA RAISI HAWANA MUDA NAYE KABISA WANAENDELEA NA MAMBO YAO

HII INAONYESHA JINSI WATANZANIA WAMECHOKA NA HALI DUNI NA UFISADI MKUBWA NCHINI.

WATANZANIA WAMEANZA KUAMKA
 
NIMESHANGAA HIYO PICHA, YANI HAO WANAWAKE WALIOZUNGUKA NYUMA YA RAISI HAWANA MUDA NAYE KABISA WANAENDELEA NA MAMBO YAO

HII INAONYESHA JINSI WATANZANIA WAMECHOKA NA HALI DUNI NA UFISADI MKUBWA NCHINI.

WATANZANIA WAMEANZA KUAMKA
Wanamda wa kumlinda,..ondoa chuki zako binafsi
 
Utasahangaa umo ndani na bunduki zimefichwa kwa ajili ya ulinzi.
 
Aliyekwambia hao wasiotaka kumpa mkono ni raia nani?
 
NIMESHANGAA HIYO PICHA, YANI HAO WANAWAKE WALIOZUNGUKA NYUMA YA RAISI HAWANA MUDA NAYE KABISA WANAENDELEA NA MAMBO YAO

HII INAONYESHA JINSI WATANZANIA WAMECHOKA NA HALI DUNI NA UFISADI MKUBWA NCHINI.

WATANZANIA WAMEANZA KUAMKA
Yaani hata angepita mufti sheikh Zuber wangeshtuka. Ila mama kama hawamuoni. Sio hali ya kawaida mahali popote duniani rais anapopita karibu ya watu hivyo na kupotezewa hata kwa kugeuziwa uso tu.
 
Hapo kuna bi dada namjua Mwanaidi mtu wa ibada na alikua kichwa sana. Ni moja wa watu wa usalama. Alifanya pia officers' course Monduli jeshini.
 
Hapo kuna bi dada namjua Mwanaidi mtu wa ibada na alikua kichwa sana. Ni moja wa watu wa usalama. Alifanya pia officers' course Monduli jeshini.
Mkuu yule Mama mpambe wa raisi sijamuona au naye leo kavaa mashungi kichwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…