Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Yupo sahihi kabisa [emoji817] na ujue ndyo maana ujenzi wa nyumba au kiwanda huwa wanazungushia uwigo... Ikiwa utajenga tu bila msingi wa usiri hujuma ni lazima... Pole pole anakili kubwa.. he thinked seven steps ahead...My God, ni msomi kiwango cja shahada ya pili. Anafikiria kiwanda kiwekwe jeshini! Huyu mtu ni hatari. Kwani raisi hawezi kutenguwa uteuzi wa mbunge aliyemteua?
Polepole acha ushamba, jeshi ndo kitu gani. Zama zimeshabadirika mambo ya kale ya kila kitu jeshi zineshapita, amka usingizini.Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.
Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.
"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole
Sisi tunachojua dhalim hayupo tena duniani basi.Mkuu kwa taarifa yako kunawat wanalipwa hum kukubali na kukataa kila kitu kizuri wao kila Jambo liliotendwa awam ya 5 ni baya... Wanatamni kwenda kulima na kuharb miundombinu yote iliyo anzishwa na hawatki kusikia kizur...
Harafu Sasa hakuna hoja ila tu watimize kusudi la kuiona awam5 haikufanya chochote..
Polepole ametujulisha tu kuwa huko ndani si kuzuri wanarumbana... Na mwisho wa siku wataanza kutajana..
Hebu tazama watu wanavo lazimisha kuwepo kwa c19 yaan utafkr ndo umegunduliwa Jana.. et barakoa unajiuliza hawa waishi hii nchi au wao wananchi nyingine huwaelewi Kabisa..
Mwisho unanyamaza tu kuwashangaa na hayo majib et ya kitaalam..
Hv unahisi wazungu wanawapenda sana Waafrika?sidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
vaa majani urudi enzi za ujima.Hv unahisi wazungu wanawapenda sana Waafrika?
Inaonyesha jinsi gani huna akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa unafikiri Bila wazungu tusingefikja huko mbona wazungu hawavia vitenge kama Waafrika kama wao ndio waligundua nguo.. Ukianza jiuliza maswali madogo kama hayo tutaanza ongea mambo mazitovaa majani urudi enzi za ujima.
Aliyemwachia kijiti mwendazake ni mfano wa kizalendo, wakuu wa mikoa wengi tu wamepita huko.Mbona unaruka swali bwana mkubwa, we nipe tu reference ya hao wanasiasa wakubwa duniani ambao walikuwa wanajeshi
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji817]Eti ni vita! Bado ana msongo wa mawazo huyu chakubanga.
Yaani hamjui hata adui yake anaepambana nae, badala ashauri nguvu za kupambana na korona anawaza vita na mabeberu tu ambao bahati mbaya nao wana pambana na korona hiyo hiyo!
Hawa jamaa waambiwe ujinga wa kutuaminisha vita na tupo vitani ili watupige hela na kutufanya wanyonge haupo tena
hizi akili zako za mwituni ndiyo zimesababisha juzi mmemzika Kinjikitile wenu huko chato.Inaonyesha jinsi gani huna akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa unafikiri Bila wazungu tusingefikja huko mbona wazungu hawavia vitenge kama Waafrika kama wao ndio waligundua nguo.. Ukianza jiuliza maswali madogo kama hayo tutaanza ongea mambo mazito
Machizi wote huwa wanawachukulia wengine hazimo kama unavyomfikiria slowslow🤔!sidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Kwahiyo unamdharau kinjekitile.. Mimi namjua kinjekitile mmoja tuu aliyepigana vita ya maji majihizi akili zako za mwituni ndiyo zimesababisha juzi mmemzika Kinjikitile wenu huko chato.
sidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Huna lolote Wewe mchawi, hata hiyo ‘hundred years to come’, uliyo maliza nayo, ni Kizungu!!Begani kwangu wewe unapajua?
Hata hao waliokudunga hayo machanjo ya begani walikuwa wajinga tu kama wewe ndio maana umeathirika akili!
You have been zombified and you think you are fine! Hata ukitaka kujamba unasikilizia kwanza mzungu amesema nini!
Ndio maana nchi inakuwa na mataahira wasioweza kutengeneza hata sindano mpaka waagize kutoka Chaina.
Ati chanjo ya bega!!
Wenzako wanatizama mbaaliii.... a hundred years to come!
Sawa, jiunge na huyo kivumishi kipumbavu, na mbunge wenu mzee kijana, mjitegemee, lakini Tanzania ya sasa ipo sambamba na ulimwengu!Mkuu umeongea pwenti. Hata mimi nawashangaa hawa wanaomlaumu huyo mbunge. Kwa kifupi anataka Tanzania wajitafutie dawa wenyewe baada ya kuona hizo chanjo za wazungu hazifanyi kazi na kibaya zaidi zinaleta side effects.
Hivi lini sisi waafrika tutaanza kujitegemea,tujaribu kujitegemea jamani sio kila kitu tutegemee kaka zetu. Tusiogope kukosea ndio kujuwa njia huko. Hawa hawa wanaopinga ndio was kwanza kulalamika ukosefu wa ajira na kuilamu serekali kwanini serekali haina ubunifu kulitatua hili tatizo. Hapa nachokiona watu wanakomenti kisiasa na kichuki. Huyo mbunge wanamchukia kwa hiyo mawazo yoyote atakayoyatoa hata yawe mazuri bado watampinga tu. Serikali inafaa kutambua huu ndo muda wa kuanza kujitegemea na kuunda upya mifumo ya elimu. Watanzania kwenye mambo ya msingi tuache siasa.
Corona ni local problem!!!local solution for local problem"
Huna jambo kubwa lolote, Wewe ni racist wa kawaida tu!Inaonyesha jinsi gani huna akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa unafikiri Bila wazungu tusingefikja huko mbona wazungu hawavia vitenge kama Waafrika kama wao ndio waligundua nguo.. Ukianza jiuliza maswali madogo kama hayo tutaanza ongea mambo mazito