#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

My God, ni msomi kiwango cja shahada ya pili. Anafikiria kiwanda kiwekwe jeshini! Huyu mtu ni hatari. Kwani raisi hawezi kutenguwa uteuzi wa mbunge aliyemteua?
Yupo sahihi kabisa [emoji817] na ujue ndyo maana ujenzi wa nyumba au kiwanda huwa wanazungushia uwigo... Ikiwa utajenga tu bila msingi wa usiri hujuma ni lazima... Pole pole anakili kubwa.. he thinked seven steps ahead...
 
Polepole acha ushamba, jeshi ndo kitu gani. Zama zimeshabadirika mambo ya kale ya kila kitu jeshi zineshapita, amka usingizini.

After all hawa wanajeshi wana a lot of limitations kwenye nambo mengine, wanajeshi tuwaache tu waendelee na mambo yao ya majeshini.
 
Sisi tunachojua dhalim hayupo tena duniani basi.
 
vaa majani urudi enzi za ujima.
Inaonyesha jinsi gani huna akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa unafikiri Bila wazungu tusingefikja huko mbona wazungu hawavia vitenge kama Waafrika kama wao ndio waligundua nguo.. Ukianza jiuliza maswali madogo kama hayo tutaanza ongea mambo mazito
 
Mbona unaruka swali bwana mkubwa, we nipe tu reference ya hao wanasiasa wakubwa duniani ambao walikuwa wanajeshi
Aliyemwachia kijiti mwendazake ni mfano wa kizalendo, wakuu wa mikoa wengi tu wamepita huko.
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji817]
 
hizi akili zako za mwituni ndiyo zimesababisha juzi mmemzika Kinjikitile wenu huko chato.
 
Dawa nyingi za hospitali zinatokana na mimea naona wazo lake ni zuri ikiwa serikali kupitia taasisi zake kuendeleza/ kuwezesha tafiti nadhani local solution yaweza kuwa nafuu, well thought Comrade Polepole
 
Huna lolote Wewe mchawi, hata hiyo ‘hundred years to come’, uliyo maliza nayo, ni Kizungu!!
 
Sawa, jiunge na huyo kivumishi kipumbavu, na mbunge wenu mzee kijana, mjitegemee, lakini Tanzania ya sasa ipo sambamba na ulimwengu!
 
Huna jambo kubwa lolote, Wewe ni racist wa kawaida tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…