Atakuwa kawapanga mapema watengeneza maigizo yaoAnza na hao wanaopokea cmu muda huo kujibu mambo ya ofisini hao ndiyo tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kawapanga mapema watengeneza maigizo yaoAnza na hao wanaopokea cmu muda huo kujibu mambo ya ofisini hao ndiyo tatizo
Mume wako akiwa kifuani kwako na Polepole anapiga simu utamshauri kipi aendelee nacho???Ni kazi mbele kwa mbele hadi kufikia maendeleo yaliyoahidiwa.... Mwaka huu hakuna atakayepata raha
Wale Mafala....Watanzania wote!
Mume wako akiwa kifuani kwako na Polepole anapiga simu utamshauri kipi aendelee nacho???
Kibarua kitaota nyasi mkuu, huwezi kumkatia simu katibu mkuu wa Ccm ukabaki salama.Wapumbavu ni hao watendaji
Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Hii muulize ummy mwalimu na sarakasi za Covd 19Mume wako akiwa kifuani kwako na Polepole anapiga simu utamshauri kipi aendelee nacho???
Saccos ndiyo nini ? Kwa saccos ndiyo imemtuma polepole kufanya maigizo?Mtu maskini unasema watu wasifanye kazi saa tatu usiku eti ni udikteta wakati matajiri wanafanya kazi saa 24. Watu wa SACCOSS hovyo sana hayo anayoyafanya Haraka haraka ni kwa manufaa ya taifa ikiwa pamoja na wewe mwenyewe, babu/bibi zako na wanjamii wanaokuzunguka.
Itaungwa mkono na 'Wapumbavu' wenzako tu na Mimi nasubiri niwaone hapa. ila najua 'Werevu' Wenzangu hapa JF na wanaonijua Watakudharau.Lililo wazi ni kuwa wewe ni MSHAMBA. Au umeingia mjini siku za karibuni na shule ndio iliyokuleta mjini. Mara nyingi watu wa aina yako ni tatizo sana kwani wanajihisi wanajua kuliko wengine wakati sivyo...
Unaacha Kuwaambia CHADEMA wako ( hasa Kurugenzi yenu ya Habari ) nao Wawe Wabunifu kama Wenzao wa CCM kwa kutumia kila Fursa katika Kujitangaza na kujiweka karibu hasa Kiimani na Kiitikadi za Kisiasa Wewe kilichopo Akilini mwako ni Majungu na Lawama tu pekee. Na ni Ubunifu kama huu anaofanya sana Polepole ndiyo unaing'arisha zaidi CCM na Kuaminika kwa Watu huku nyie mkilia lia kama 'Wehu' fulani vile.
Ingelikuwa mdomo unaendana na matendo HP aka Chakubanga angelidumu udc pale "Mousomer" lakini alibanduliwa kama kanyakuliwa na mwewe baada ya kuwaingiza king walima matikiti!Katibu mwenezi wa CCM na mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubahara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi...
Hilo ni toto fulani lisilojielewa. Ni kero.Katibu mwenezi wa CCM na mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubahara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi...
Hizo taabu mmejiandalia wenyewe na ziambatane na nyie. Hii miaka mitano kwangu itakuwa ni ya Raha Sana, no matter what.Ni kazi mbele kwa mbele hadi kufikia maendeleo yaliyoahidiwa.... Mwaka huu hakuna atakayepata raha
MfyuuuuuuuMwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Ni sawa lakini inategemeana na Kazi!Mtumishi wa umma anatakiwa awe tayari kufanya kazi any time.
Hao aliowapigia sio kuwa wanapaswa kuwa kazini nyakati zote?Ni sawa lakini inategemeana na Kazi!
Mkuu, tatizo njaa?Wapumbavu ni hao watendaji
Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wakati mwingine uwoga ukizidi inakuwa ni utumwa.Wapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Basi, ingekuwa hivyo msinge iba kuraWatanzania wote!
Unazima simu kabisa.Wapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?