Uchaguzi 2020 Polepole: Kuna mgombea mmoja amekimbia yupo nje ya nchi, ameona maji yamemfika shingoni. CCM tunafanya kampeni za kisayansi

Slow Slow anaongelea viwanja vya ndege viivyojengwa lakini anazunguka zunguka tu anashindwa kuutaja uwanja wa Chato ......!!
 

Yule wa 'kura 1' ameshajiengua?
 
We dogo tumia common sense. Lissu analeta upinzani gani kwa JPM? Kwa mkutano kama wa Bagamoyo jana unaweza kusema analeta challenge zozote.
Mkutano usio na fiesta, watoto wa shule Wala watumishi, bila kusomba na Malori na mabasi, bila kutoa hela na t-shirt bure

Mkutano ambao watu wanaalikana kwa wasap
 
Kwa kuwa hamtumii chopa basi ni figisu kwa wengine!
 
MGUFULI hana Mpinzani Yani Haka Ka Lissu kawe Kapinzani ka MAGUFULI kah Acheni Dharau
 
Hoja gani za msingi ambazo anazitoa huyu mgombea wa chama cha Mbowe? Inaingia akilini kuwaambia wananchi kuwa wasimchague JPM kisa atabadili katiba ili aongeze muda wa kukaa madarakani?

Ndio na hiyo ndio maana ya kampeni, lazima ujiuze ww na kutoa mapungufu ya mpinzani wako. Hoja ya Magufuli kuongezewa muda inaongelewa hadharani na hata bungeni. Kwenye kampeni ndio platform sahihi ya kuaddres hatari hiyo. Kama kuongezewa muda wa kukaa madarakani sio hoja ya msingi, mzee Mwinyi na mzee Pinda wasingetaka aongezewe muda, na huko bungeni lisingeongelewa zaidi ya mara moja, tena hadi kufikia kuzungumzwa na spika ndani ya bunge.
 
Barabara nijenge mimi halafu wapite humo huku wakinitukana!
 
NAOMBA NIMSAIDIE POLEPOLE JAMBO MOJA, KUHUSU MAGUFULI KUPEWA UENYEKITI WA SADC NI KUWA ILIKUWA NI ZAMU YA TANZANIA KWANI UENYEKITI WA SADC HUSHIKWA KWA MZUNGUKO WA NCHI WANACHAMA. HATA KAMA INGEKUWA KIBAJAJI NDIYE ANGEKUWA RAIS WA TANZANIA ANGEPEWA HUO ENYEKITI
 
Slow Slow anaongelea viwanja vya ndege viivyojengwa lakini anazunguka zunguka tu anashindwa kuutaja uwanja wa Chato ......!!
JANA TUMEAMBIWA NA MZEE MAKAMBA KUWA UWANJA WA NDEGE WA CHATO HAUJAJENGWA NA SERIKALI YA MAGUFULI BALI UMEJENGWA NA CCM.
 
Mkutano usio na fiesta, watoto wa shule Wala watumishi, bila kusomba na Malori na mabasi, bila kutoa hela na t-shirt bure

Mkutano ambao watu wanaalikana kwa wasap
Msiwe na hofu na kura za watumishi. Acha walazimishwe tu 'kuongeza idadi ya vichwa' Ila kwenye chumba cha kupigia kura hawatosindikizwa na greenguard.
 
Hivi kuna watu wanaweza kupoteza muda kumsikiliza Polepole?
Ndugai atafanya kampeni jimbo gani? Nani anamjua? kwa lipi? Wangekuwepo Mh. Sitta hapo sawa.
Sasa usipomsikiliza unawezaje kusema hafai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…