Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Polepole anachezea pesa za chama kulipa watu wenye hoja hafifu sana, Nape asingewapa hela za bure bure! Hizo pesa tunazotafuta kwa shida, afu watu hata hamfanyi kazi, unaandika tu, “Tundu Lisu hana akili”, ndo ulipwe elfu 7?Polepole ni zaidi ya Nape bwashee!
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Kaiba sana cha juu hata sasa polepole ni mwizi bado anapiga pesa kwa kisingizio cha kuiangamiza chademaHivi Polepole ni mzima kweli? kamanda Bashiru hivi huyu mtu mlimchukulia hatua gani kwa zile fedha alizowapiga wakati akijidai 'kuwashawishi' wabunge na madiwani 'kuunga juhudi'
Tumeccm NECCCM sasa ni chombo binafsi cha CCMMkurugenzi wa Tume ya uchaguzi inaipigia kampeni ccm. Ajiuzulu
CCM ya sasa imejaa mambo haramu ya kishetaniCCM ni sawa kabisa na "gangsters' paradise" ambapo roho zote chafu zenye kuhamasisha wizi, ufisadi, ushirikina, ufedhuli, udhalimu, ichu wa damu za watu, uonevu, dhuluma, uzinzi & uasherati, matendo ya kishoga, uongo, tamaa mbaya, ulevi wa madaraka na mambo mengine yenye kufanana na hayo.
NECCCM Tumeccm wanatembea na matokeo mifukoni mwaoMnataka kufanya kama kile cha uchaguzi wa serikali za mitaa, ushindi asilimia 98.....basi sawa sisi yetu macho.
CCM waulize KANU Walitumia Njia Gani Kukubali Maumivu ya Kushindwa?
Wewe ndio mwakilishi wa Wabelgiji wanaoliwa pesa zao? Sawa kabisa, upinzani umekufa kabisa ndio maana Mahera na akina polepole wanabweka kama rabid dogs.Upinzani umekufa kilichobaki ni show na kula pesa za Wabelgiji, Hamna kitu Upinzani. Mkusanyiko wa wafuasi wanaoelekezwa na kilaza kitu cha kufanya.
Kabisa mkuu. Hawa ni wa kunyongwa hapahapa nchini.This guy has some kind of syndrome !!!!!! Polepole hayuko sawa. Hawa ni wa kunyonga kutumia sheria zao walizotunga na jela walizoboresha. Kuwapeleka The HAGUE ni kuwapa gandhi wasiyokuwa nayo
When their time comes, they should all be arrested, and tried here. Majangili yote wakina slow slow, Judge mstaafu na wahuni wa Time ya uchaguzi
Kumbe ni nyie mlimtuma hiyo kazi ya kumwita Lissu?Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Hapa Polepole anatuthibitishia kuwa NEC imepewa maagizo na CCM, sasa endapo NEC hawatatekeleza maagizo watafikuzwa kazi, Polepole hajui kuficha siri.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Endelezeni uchochezi tu,kwani tunawajua ni wazalendo maslahi.Matokeo yake tutayavuna siku sii nyingi Kama mnavyo vuna matunda ya kukosa kuhakikisha,Uhuru,haki na maendeleo kwa wapiga kura hats wanewakataa ,Sasa mnaanza kuhubiri siasa chafuMwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!