Polisi anafanya kazi mbali na inapoishi familia yake. Askari Mgambo anatumwa kukamata watu wa mtaani kwake. Hii sio sawa hata kidogo....

Kwaiyo unataka mambo aliyezaliwa Katavi afanye kazi Ruangwa πŸ˜€

Mambo ni jeshi la akiba
Hao wanatumika pale wanapohitajika
Yaani ni akiba labda askari wakiwa na majukumu mengine, ndo unawatumia mgambo
Kulipwa wataliwa posho za siku hiyo
Mbona Polisi anatoka Gongo la Mboto kisha anaenda kufanya kazi Central Police Station??..

Kwanini msiwachukue Mgambo kutoka Kata A kisha mkawapeleka kufanya kazi Kata B au C ambazo ni jirani??

Kuwatuma Mgambo akakamate watu anaoishi nao mtaa/Kata moja sio sahihi hata kidogo kwa usalama wake binafsi pamoja na familia yake..
 
Kwaiyo unataka mgambo aliyezaliwa Katavi afanye kazi Ruangwa πŸ˜€
Ni Polisi gani/yupo anakaa Katavi na anafanya kazi Ruangwa kisha anaenda kazini na kurudi?? Mbona unatoa mifano iliyo irrelevant sana mkuu??..
 
Mgambo ni jeshi la akiba
Hao wanatumika pale wanapohitajika
Kuna adjustments zinaweza zikafanyika Mgambo wakawa sehemu ndogo ya Jeshi la Police. Ile dhana ya kuwa Mgambo ni Jeshi la akiba sasa inaweza kuondoka.

Kinachohitajika hapa ni utashi tu wa kisiasa. Haileti picha nzuri mtu anajitolea katika operations za kipolisi alafu CCP wanapelekwa watu wapya.
 
Sema na nyie migambo mna sifa sanaaa mnajiona kama mabrigadier mkitumwa na hao polisi , kuna mgambo mmoja aliniletea shobo kutaka kuzoeana nilikuja kumkataa vibaya baya kwa kifupi MGAMBO NI CHAWA WA POLISI.
 
kazi za laana hizo mgambo ndo kabisaa kazi ya walaaniwa na wenye nuksinza maisha
 
Nawapenda mgambo vile wanavyojishusha na kusalute kwa Askari yeyote kikubwa awe polisi ,Basi utakuta kakijana kametoka CCP Jana hakana hata cheo chochote Ila mgambo anakimbizana kubana matako.

πŸ˜€πŸ˜€
 
huku kwetu nimeshuhudia migambo waliokua vichaa wengine walikufa kwa sababu zisizo eleweka kisa kufanya kazi yao kwa dhuluma wengine wanavua nguo barabarani wakishalewa...... sijawahi ona mgambo mwenye maendeleo muda mwingine wanatia huruma ila ndio walilochagua kwenye maisha yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…