Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Mh jibu lake ni kiswahili tosha sana kwenye akili yangu,, Tunaishi kwenye tufe ili tufe
 
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
adc7684e7b5f47745028ccb004d3f1db.jpg


[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
Kati yetu sisi wananchi na wao mapolisi ni nani mwenye jukum la kutoa taarifa kwa mwenzie acheni ubabaishaji police

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sote hatuna uhakika na wala hakuna mwenye uhakika wa wauaji ni kina nani, kuwa na mikwaruzano na mtu halafu baadaye ukaja kufikwa na jambo baya. Huwezi kumtuhumu yule uliyekwaruzana naye ndiyo mhusika, kama hukumwona na huna ushahidi wowote.


Jamani Lisu alikwaruzana na serikali hata ikafikia yeye kawa ni mtu wa kuingia rumande kila wakati. Wengi wamedhani serikali ndiyo adui yake mkubwa, hivyo kukitokea jambo baya basi wao ndiyo wahusika wakuu.
Hebu tusiwaze mambo kimazoea, mengine uyaonavyo sivyo yalivyo. Dunia pana hii ina mengi tusiyoyajua, hivyo tusilo na uhakika nalo tusiruhusu hisia zetu ndiyo zitutawale. Mkumbuke nyinyi ni wanadamu na mapungufu mengi, mkumbuke pia si kila mkiwazacho chaweza kuwa kweli.


Sote twamjua Lissu kupitia siasa ila si upande wa maisha mengine, ana marafiki wampendao. Anaweza kuwa na watu ambao hawapo kwenye siasa au serikalini wakawa ni maadui zake tena hata bila ya kumkosea, wengine hatuwajui wasiyompenda Lissu.

Mtaanzaje kuhisi kirahisi tu na kuweka dhana mbaya juu ya kina fulani, jamani ifike mahali itikadi za kisiasa tusizifanye kama dini. Humjui mtu ana maadui wangapi ambao huko mnapowaza hawapo, mkumbuke yule ni binadamu na daima mwanadamu huwezi pendwa na watu wote hata wale waliyopo upande wako hujui nyoyoni mwao kuna nini.



IFIKE MAHALI MENGINE TUNYAMAZE, SI KILA MAHALI SIASA TU NDIYO CHANZO KISA TU IMEMKUTA MWANASIASA
 
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
adc7684e7b5f47745028ccb004d3f1db.jpg


[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]

Kweli nimeamini! Mmeshajua kuwa watanzania ni wajinga.
 
Sote hatuna uhakika na wala hakuna mwenye uhakika wa wauaji ni kina nani, kuwa na mikwaruzano na mtu halafu baadaye ukaja kufikwa na jambo baya. Huwezi kumtuhumu yule uliyekwaruzana naye ndiyo mhusika, kama hukumwona na huna ushahidi wowote.


Jamani Lisu alikwaruzana na serikali hata ikafikia yeye kawa ni mtu wa kuingia rumande kila wakati. Wengi wamedhani serikali ndiyo adui yake mkubwa, hivyo kukitokea jambo baya basi wao ndiyo wahusika wakuu.
Hebu tusiwaze mambo kimazoea, mengine uyaonavyo sivyo yalivyo. Dunia pana hii ina mengi tusiyoyajua, hivyo tusilo na uhakika nalo tusiruhusu hisia zetu ndiyo zitutawale. Mkumbuke nyinyi ni wanadamu na mapungufu mengi, mkumbuke pia si kila mkiwazacho chaweza kuwa kweli.


Sote twamjua Lissu kupitia siasa ila si upande wa maisha mengine, ana marafiki wampendao. Anaweza kuwa na watu ambao hawapo kwenye siasa au serikalini wakawa ni maadui zake tena hata bila ya kumkosea, wengine hatuwajui wasiyompenda Lissu.

Mtaanzaje kuhisi kirahisi tu na kuweka dhana mbaya juu ya kina fulani, jamani ifike mahali itikadi za kisiasa tusizifanye kama dini. Humjui mtu ana maadui wangapi ambao huko mnapowaza hawapo, mkumbuke yule ni binadamu na daima mwanadamu huwezi pendwa na watu wote hata wale waliyopo upande wako hujui nyoyoni mwao kuna nini.



IFIKE MAHALI MENGINE TUNYAMAZE, SI KILA MAHALI SIASA TU NDIYO CHANZO KISA TU IMEMKUTA MWANASIASA

Unadhani unaowatumikia wanashukurani. Ngoja siku watakapokugeuka ndio utajua ubaya wa unafiki
 
Kuna yule aliyeomba kibalii kule fb sijui ndo kapewa leoo?? Yani watu wanawivu kuskia mwenzao kaitwa nje akahutubie wanamfanyia mafekechee!!!! Na hatokufaaa ngooooo!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye matukio ya hivii ile intelejensiaa inagomagaaa kabisaaa. Lakin ile yakukamata kamataa vikao vya ndani iko vyemaa kuna watu wanajuaga kujivua nguo mnadani kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom