Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mimi ni mpinzani nashangaa unavyonichafua.
post using my macbook air using jamiiforums app
hata Dovutwa ni mpinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mpinzani nashangaa unavyonichafua.
post using my macbook air using jamiiforums app
whoelse would harm Lissu?
sawaWana chadema wenzake anaowafunika au la mawakili wenzake wanaompinga.
Unasoma langapi? Mkuuhata Dovutwa ni mpinzani.
Unasoma langapi? Mkuu
post using my macbook air using jamiiforums app
waanze na lile gari lililotajwa kumguatilia .Mwanasheria Tundu Lissu aliwahi kutoa taarifa kuwa kuna gari ilikuwa inafutilia kila siku akataja mpaka aina ya gari na namba za gari lakini Jeshi la Polisi hawakuchukua hatua zozote kwa sababu inawezekana walikuwa wanajua. Mungu yupo atamlinda Tundu Lissu siku zote hatoweza kumdhuru tena nimeshindwa mtaendelea kushindwa hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.
waanze na lile gari lililotajwa kumfuatilia .Mwanasheria Tundu Lissu aliwahi kutoa taarifa kuwa kuna gari ilikuwa inafutilia kila siku akataja mpaka aina ya gari na namba za gari lakini Jeshi la Polisi hawakuchukua hatua zozote kwa sababu inawezekana walikuwa wanajua. Mungu yupo atamlinda Tundu Lissu siku zote hatoweza kumdhuru tena nimeshindwa mtaendelea kushindwa hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.
Wanamjua mhusika mkuu halafu wanataka kusumbua wananchi 'eti mlete taarifa.. kwani kazi yenu ni nini?? No wonder Mange anatukana kama hana akili nzuri maana hawa majangili sisiemuuu mnaudhiNape alitolewa bastola na usalama hadharani kabisa, why washindwe kumvamia Lissu??
Lisikupe hasira mkuu,Yaani hili jeshi... Linatia hasira tuu
On point...walienda watu wazito Sauzi wakarudi kwnye caskette,kama 'uncle sam' wa Bongo angekua anahusika,they would have done it a long time ago and proffesionaly...Hi si mara ya kwanza kwa kuuwawa au mtu kujeruhiwa hapa Tanzania . Watu wasio na hatia wameuwawa kikatili kibiti mkoani pwani na jeshi kushilikiana na wananchi wakafanikiwa kuwakamata watuhumiwa wa mauwaji hayo. Sasa hili la Lissu Ni moja tu ya uhalifu ambao huwa unawatokea watu . So hamna jipya hapo . Na risasi zilivyopigwa inaonesha walikuwa wanampa onyo sababu Kama walikuwa wana Nia ya kumuua wangemua .
Kwa vile una chuki huwezi kuamua kwa usawa,I hate CCM na Serikali yake.