Ismail D
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 252
- 319
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mganga wa Kenya akitumika, waliopiga risasi watajipele wenyewe.Kwakuwa Jeshi la Polisi limealika uwasilishwaji wa taarifa kuhusu kushambuliwa kwa risasi kwa Lissu,mimi VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa naanza safari ya kuzisaka taarifa. Natoka hapa Kibiti,Pwani kwenda Dodoma.
Risasi 32 si jambo la kawaida. Kwa uzoefu,historia na fani yangu naamini nitapata la kulipata na kuliwasilisha polisi. Nakwenda Dodoma kwa kazi maalum. Ikinipasa,nitakwenda Singida,Dar na kwingineko. Naanza na Dodoma
Wasiojulikana watajulikana tu. Tuwe na subira. Mpunga hufukiwa lakini wakati muafaka unapofika huchomoza. Hakuna siri ya milele
Smg ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Kwakuwa Jeshi la Polisi limealika uwasilishwaji wa taarifa kuhusu kushambuliwa kwa risasi kwa Lissu,mimi VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa naanza safari ya kuzisaka taarifa. Natoka hapa Kibiti,Pwani kwenda Dodoma.
Risasi 32 si jambo la kawaida. Kwa uzoefu,historia na fani yangu naamini nitapata la kulipata na kuliwasilisha polisi. Nakwenda Dodoma kwa kazi maalum. Ikinipasa,nitakwenda Singida,Dar na kwingineko. Naanza na Dodoma
Wasiojulikana watajulikana tu. Tuwe na subira. Mpunga hufukiwa lakini wakati muafaka unapofika huchomoza. Hakuna siri ya milele
Smg ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
achana nae mkuu.. anafanya makusudi tuuBadala hata ya kujisitiri kidogo..
Ndio unazidi kuuanika upumbavu wako.
safi sana.. Haya Chadema kuna sehemu ya kuanzia.. mpeni kijana kaziNina uzoefu wa miaka 7 katika uchunguzi. na niko partners na Wakenya.... tupeni hiyo kazi within three weeks tunatoa majibu complete
safi sana.. Haya Chadema kuna sehemu ya kuanzia.. mpeni kijana kazi
Siko kama unavyofikiri... tena kwa sasa niko Kenya kwa kazi a namna hiyo....... nimefanya kazi sa investigation kwa muda sasa.....Unadhani hizo kazi mtu anapewa kama keki.....
Wewe umemuamini kwa kuwa kaaandika mtandaoni na FAKE ID......,!!??
What if na yeye ni mwanausalama wa tiss...!!?
Acha mihemko
Hivi hatuna spy drone camera air raidersMsipoteze muda kusubiri jeshi la police lifanye uchunguzi..
uko wapi uchunguzi wa Roma alivyotekwa.. Ben Saanane.. Mawazo alivyouawa.. Nape kutolewa Bastola.. Ofisi za Imma Advocate kurushiwa bomu.. wako wapi uchunguzi wa kuvamia Clouds kwa mitutu ya binduki.. uko wapi uchanguzi wa kuvamiwa kwa mikutano ya CUF na waandishi wa habari.. wako wapi walioshtakiwa kumuua dr Mvungi?
Chadema stuka.. tunachanga pesa kwa ajili ya matibabu ya Lissu na vile vile kwa ajili ya private investigator