Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you do not know where you are going any road will take you thereNajiuliza nakosa jibu je? Serikali haiwajui waliomshambulia TUNDU LISU?
Ikiwa haiwajui je? Walitumwa na nani? Na kwa masilahi gani?
What do you mean?If you do not know where you are going any road will take you there
LISU ni mpiga deal kama ulivyo wewe na CHADEMA wengine..... hali yenu ni mbaya...tafuteni pa kutokea.... MSALITI anayekebehi vyombo vya usalama kila siku na ajilinde mwenyewe...hahahahaha mkuu kma english hufaham si ukae kimya kma anavyofanya magu!! kwani ni lazma uongee english ili uonekane msomi??? kma english yenyewe ndio sifuri sembuse utamuelewa lisu??
nkirudi kwenye hoja ya msingi kwamba lisu ni msaliti labda niulize.... lisu kasaliti nni na wapi?? hyo ya bombardier alisaliti ama alituambia watanzania ukweli wa mambo yanayoendelea!!! kwani lisu ana mamlak gani kisheria kuzuia ndege???
nyie mtatafuta pa kumshikia lisu hamtopata na kumuua mmeshindwa ndio maana inawauma....shame on u
Uongo uwe na mwisho serikali za hovyo uunda mungiki kwaajili ya kutisha Raia wake.Ndiyo walivosema
Kuna haja ya sisi raia kuchukua hatua zaidiWanajulikana, mmoja alivaa miwani nyeusi na kapelo,. Nahisi alikuwepo pia Chamazi kwenye game la Azam vs Simba. Alikula miwani nyeusi na kapelo hivyhivyo.
😉😉😉😛😛😛
Usipo jua unako kwenda barabara yoyote itakupeleka usiko kujua ''ina maana utapotea'' Sometimes we need not to hammer on the nail instead we can use silent languages'' Thus why others are suggesting for independent inquiry on this matterWhat do you mean?
Bila ya kulipata gari huwezi kumpata muuaji!Hatuna shida na gari tuna shida na muuaji ili atuambie nia yake ilikuwa ni nini??
Mkuu umeshaambiwa taarifa zake zimeshakuwa "Classified".Its about time TRA waongelee hii gari ni ya nani
Ushasema muuwaji kisha unatataka kujua nia yake?Hatuna shida na gari tuna shida na muuaji ili atuambie nia yake ilikuwa ni nini??