uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,084
Swali lingine, je ni Toyota Premio au ni Nissan Patrol ??Which is which (T 460 OR 465 CQV)??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lingine, je ni Toyota Premio au ni Nissan Patrol ??Which is which (T 460 OR 465 CQV)??
Toyota ni kumfuatilia Lissu na Nissan ni siku ya tukio!!Swali lingine, je ni Toyota Premio au ni Nissan Patrol ??
Kabisa[emoji23]mkuu hiyo plate number imerudi china tayari
!Yves V!
....Ni sawa na kuukataa moshi hiku unataka moto ili uchome muhindiHatuna shida na gari tuna shida na muuaji ili atuambie nia yake ilikuwa ni nini??
Wapo busy kumbambikia kesi dereva wa Lisu ili kuficha uovu wao.Watu wanaotaka tuamini tofauti na tunavyoamini basi wajue kuwa hatutawaamini!!
Wao ndiyo walitaka Lissu Afe na sasa wanatafuta Mbuzi wa kumtoa kafara!
Lisu akirejea atafanyiwa kisomo kikubwa na viongozi wa Dini toka pemba na kwingineko nchini hao watu wasiojulikana watajikuta wanaropoka na kujulikana wote.!
!
Mpumzike kwa Amani wote ambao Mna Imani watu wasiojulikana watapatikana
Tumechoka Na mambo ya lissu leta hoja nyingine
KuuaKama mlijua mtachoka mlimshambulia ili iweje?
Hakufa sasa kwahiyo habari zake hazitakauka hapa wewe ajuzaKuua
Ila sidhani kama tutamaliza wiki..Hakufa sasa kwahiyo habari zake hazitakauka hapa wewe ajuza
You must be msukuma! Mmezoea kuua albino,sasa mnataka kuua kila anae ikosoa serikali.Tumechoka Na mambo ya lissu leta hoja nyingine
Kweli kabisa mkuuBoss kama hujui jambo kaa kimya hutaonekana mjinga. Serikali inatumia gari aina zooooooot. Ina hadi vits, suzuki kei hadi baiskeli. Huijui serikali ndio maana unasema hivyo. Hadi guta mkuu serikali inatumia
Boya...!!Tumechoka Na mambo ya lissu leta hoja nyingine
Hii gari imekuwa maarufu ghafla na ndio inayosemekana ilishiriki katika jaribio la kumtoa uhai Mwanasheria Tundu lisu, T 465 CQV nina mambo 10 yanayonijia kichwani haya hapa
1. Nape anafahamu kuwa gari ili linatumiwa na watu waliomsababisha kufukukuzwa kazi why kwa sabababu luliwahi kumfuatilia.
2. Inawezekana Gari hii ina namba mbili yaani moja ina usajili wa SU (serikali) na nyingine ina usajili wa T( watu binafsi) .
3. Inawezekana Baadhi ya vigogo wa TRA wanalifahamu gari hili
4. Magari aina ya Nissan yenye rangi nyeupe wanatumia sana watu wa usalama nenda hata kesho kwenye maofisi ya watu wa usalama wilayani na mikoani utayaona.
5. Inawezekana Tundu lissu ana information zote za hili gari kwa maana naamini alishawahi kulichunguza kwakuwa alikuwa akifuatiliwa so akiongea tutajua zaidi
6. Inawezekana anayosema mange kuwa usajili wa gari hili taarifa zake sasa ziko protected na wafanyakazi wa kawaida wa tra hawawezi kuaccess info zake
7. Inawezekana kuna connection Kubwa kati ya Mkuu wa mkoa(SIRI) na hili gari
8. Asilimia 90 ya watanzania wanajua sababu za lisu kuwindwa na gari hili
9. Mpiga risasi wa T 460 CQV ana taaluma ya ujeshi. Japo hakutumia execution style
10. Gari T 460 CQV inawezekana isije kuonekana tena machoni mwa watu hata taarifa zake zisionekane tena TRA tena na tena
Kwahiyo mtaleta tena filamu nyingine kama ya makinikia?Ila sidhani kama tutamaliza wiki..
Hadi boxer na bajaj pia inatumiaBoss kama hujui jambo kaa kimya hutaonekana mjinga. Serikali inatumia gari aina zooooooot. Ina hadi vits, suzuki kei hadi baiskeli. Huijui serikali ndio maana unasema hivyo. Hadi guta mkuu serikali inatumia
Kama mkenya wa Dr. UlimbokaWatu wanaotaka tuamini tofauti na tunavyoamini basi wajue kuwa hatutawaamini!!
Wao ndiyo walitaka Lissu Afe na sasa wanatafuta Mbuzi wa kumtoa kafara!
Kuna aliyeripoti polisi juu ya hayo umebwabwaja humu!?