Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Hii tabia ya wanasiasa kuwa wanatishia kusema/kutaja huwa inakera sana. Kama ni kusema/kutaja, sema/taja. Hakuna haja ya kutishiatishia. Ndiyo maana, siasa za aina hii huitwa za kutafutia kiki.