Polisi Marekani wawapiga maafisa, Profesa katika Chuo Kikuu cha Washington St. Louis, wamewavunja mbavu

Polisi Marekani wawapiga maafisa, Profesa katika Chuo Kikuu cha Washington St. Louis, wamewavunja mbavu

Kwa mimi ambaye siangalii mambo kwa lens ya wao na wale au huku na kule..., nilishasema na ninasema kila siku USA kutokana na division iliyopo ina a soft underbelly ni rahisi kupata an enemy within katika nchi yenyewe tofauti na sehemu kama Russia na China hata mambo yakiwa mabaya / mabovu kiasi gani watu wote ni rahisi ku-PERSEVERE....

Ndio maana nasema kila siku Tanzania tuna mtaji mkubwa sana ambao duniani wengi hawana (nao ni Utaifa) tatizo tu ni walamba asali na wapuuzi wachache wanaotaka kuondoa hilo kwa kutugawa kwa vijitofauti vyetu (ambavyo waasisi walijaribu kuviondoa) badala ya kuunganika kwa our common goals....

Anyway binafsi am all for Justice haijalishi injustice kaifanya nani lazima nitalaani...
Tanzania haina utaifa bali unafiki. Mara mzozo na Wazanzibari, mara CDF adai wageni wako kwenye nafasi za maamuzi, mara Sukuma Gang, mara Kaskazini au Wachaga kamwe hawawezi kuruhusiwa nafasi ya uRais, mara huko maendeleo yametosha sasa zamu ya wengine. Kauli zinazotolewa na viongozi wenye dhamana. Kinachoshikamanisha Tanzania ni utawala wa kiimla na matumizi ya vyombo vya dola kwa uwazi na kificho kudhibiti waleta chokochoko dhidi ya watawala. Tanzania hata upinzani rasmi (official opposition) ni uadui au usaliti.

Nyerere alidai kuwa enzi zake ukabila waliuzima LAKINI akatoa tahadhari kuwa lazima siku zote tuchukue hatua kuhakikisha haujitokezi. Kwamba tusijidanganye huku kwetu ukabila uko juu juu tu ukikwaruza ngozi kidogo tu unatokeza kama damu.

USA ni open global society. Watu wengi duniani wanatafuta uraia wa Marekani. Hilo ndilo changamoto lake kubwa; pia ndipo ilipo nguvu yake kubwa. Best brains za dunia zinaelekea huko. USA imeweka utawala makini wa sheria na taasisi imara kila nyanja kudhibiti maadui wa taifa na wamefanikiwa sana. Ingekuwa rahisi sana kuisambaratisha USA enzi za cold war lakini madikteta na magaidi wakuu duniani walishindwa. USA iko macho full-time kuimarisha mifumo yake na kufuatilia maadui wa ndani na nje 24/7. Wanajua demokrasia ni mapambano ya kudumu.

Hiyo unayoiita soft-underbelly ukimaanisha mgawanyiko nchini iko kila nchi. Hakuna nchi iliyopona hapo. Wengine wanatumia udikteka na vyombo vya dola (kama sisi) kuudhibiti. US wanatumia demokrasia, sheria na taasisi kuweka mambo sawa. Na kukuonyesha uimara wa mfumo wa USA, miaka ya 80-90 waliisambaratisha dola ya kiimla ya USSR na kuvutia (influence) mageuzi makubwa ya kisera nchini China kuingiza uchumi wa soko, umiliki binafsi wa mitaji, na uwekezaji wa nje yote chini ya udhibiti wa dola (command economy).
 
Kama watu wanafanya fujo wapigwe tu. Hakuna uhuru usio na mipaka. Wapigwe
Kuandamana ni vujo? Sasa mbona Marekani anatishia nchi nyingi zingine anaziwekea vikwanzo vikipinga maandamano?
 
Tanzania haina utaifa bali unafiki. Mara mzozo na Wazanzibari, mara CDF adai wageni wako kwenye nafasi za maamuzi, mara Sukuma Gang, mara Kaskazini au Wachaga kamwe hawawezi kuruhusiwa nafasi ya uRais, mara huko maendeleo yametosha sasa zamu ya wengine. Kauli zinazotolewa na viongozi wenye dhamana. Kinachoshikamanisha Tanzania ni utawala wa kiimla na matumizi ya vyombo vya dola kwa uwazi na kificho kudhibiti waleta chokochoko dhidi ya watawala. Tanzania hata upinzani rasmi (official opposition) ni uadui au usaliti.
Wewe unaongelea wanasiasa na watawala mimi naongelea wananchi / wabangaizaji wanavyoishi kitaa - nao wana utaifa
Nyerere alidai kuwa enzi zake ukabila waliuzima LAKINI akatoa tahadhari kuwa lazima siku zote tuchukue hatua kuhakikisha haujitokezi. Kwamba tusijidanganye huku kwetu ukabila uko juu juu tu ukikwaruza ngozi kidogo tu unatokeza kama damu.
Sasa nani kasema Tanzania hakuna makabila nimesema juu hapo kwa waasisi kufanya kazi kubwa tuna utaifa ni nchi chache sana ambazo mtu anapimwa kwa character yake na sio imani wala alipotoka na hapo tumefika kwa kutumia nguvu kubwa sana ya waasisi...
USA ni open global society. Watu wengi duniani wanatafuta uraia wa Marekani. Hilo ndilo changamoto lake kubwa; pia ndipo ilipo nguvu yake kubwa. Best brains za dunia zinaelekea huko. USA imeweka utawala makini wa sheria na taasisi imara kila nyanja kudhibiti maadui wa taifa na wamefanikiwa sana. Ingekuwa rahisi sana kuisambaratisha USA enzi za cold war lakini madikteta na magaidi wakuu duniani walishindwa. USA iko macho full-time kuimarisha mifumo yake na kufuatilia maadui wa ndani na nje 24/7. Wanajua demokrasia ni mapambano ya kudumu.
Aisee USA kuna division within achana na immigrants wanaokuja naongelea Blacks and whites Latinos n.k. Naongelea ubaguzi waliofanyiwa weusi mpaka leo kuna makovu..., naongelea USA being a multiracial / multicultural na tabia yake ya kuingilia nchi nyingine ni rahisi nchi hizo kupata sympathizers within the country...

Nimekuwekea video ya Obama hapo segregation bado ipo na kupigana vijembe na kuogopana vinaendelea na Trump akirudi ndio utagundua zaidi ni vipi its a Nation Divided....; Wakati wengine adui ni nchi ya mbali au jamaa wa nchi nyingine wewe adui yako ni jirani yako....
Hiyo unayoiita soft-underbelly ukimaanisha mgawanyiko nchini iko kila nchi. Hakuna nchi iliyopona hapo.
Not only mgawanyiko nchini ni kwamba ukitaka ku-infiltrate USA huitaji kuja na watu kutoka nje ndani mule mule utapata sympathizers kutokana na kuwepo na majeraha mengi ambayo huenda sio makosa ya kizazi hiki.... Maadui wa kesho Marekani huenda ndio hao leo wanasoma huko kwenye vyuo na wanaishi humo humo ndani na kujaribu kuwazima kwa mabavu hakusaidii bali kunaharibu..,
Wengine wanatumia udikteka na vyombo vya dola (kama sisi) kuudhibiti. US wanatumia demokrasia, sheria na taasisi kuweka mambo sawa.
Kwamba wanaweka mambo sawa kwa mentality ya mtu mweusi kuona USA imewaletea shida zote hizo kutokana na kuwadhibiti mababu zao au kuyaweka sawa kwa mtu mwingine kuona kwamba yeye anahangaika na kutafuta pesa alafu mtu mweusi anapewa favor kwa makosa ambayo yeye hakuyafanya ? Au kuyaweka sawa kwa kuona latinos wengi ni wezi, immigrants wabakaji wauza madawa na wananyonya hard workers ?

Shida kama hii kwao ni deep-rooted kitu ambacho sehemu nyingine hakipo......
Na kukuonyesha uimara wa mfumo wa USA, miaka ya 80-90 waliisambaratisha dola ya kiimla ya USSR na kuvutia (influence) mageuzi makubwa ya kisera nchini China kuingiza uchumi wa soko, umiliki binafsi wa mitaji, na uwekezaji wa nje yote chini ya udhibiti wa dola (command economy).
Aisee USSR isingeweze kuendelea kama vile Great Britain ilivyoshindwa kuendelea kuwa na colonies..., it was not working na times had passed - nothing to do with USA..., Na China ime-move kwenye Market Socialism na State bado ndio inamiliki big companies ambazo zimesambaa dunia nzima..., Na mtaji wa Russia na China hata mambo yakienda kombo watu wanafunga mikanda na kuelekea wanapoelekea USA Politicians na Lobbyist wataendelea kupiga talalila na Akija Democratic ni kuvunja vyote alivyofanya Republican na Republican vice versa.....

Mifumo inategemea muda na wakati..., ni kama Industrial Revolution ilivyoondoa Utumwa na ndivyo sasa Automation na Industrial Revolution itakavyoondoa Capitalism as we know it... Lakini mtaji mkubwa kuliko wowote ule ni utaifa na umoja wa watu (ni kama kipindi fulani kwa England; kabla ya kuingiliwa na Pakistan Community walikuwa na Uzalendo na Proud-ness ya kuwa British... hii inasaidia sana when things get tough...
 
Wanaukumbi.

Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St.
Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na kuvunjika mkono.
Daktari mmoja alimwambia kuwa ana bahati ya kuwa hai.

Ikiwa haya yangekuwa matukio ya Urusi, Uchina, Iran au nchi yoyote ya Kiarabu, vyombo vya habari vya Magharibi vingewaita waandamanaji mashujaa, na kulaani serikali kwa kukamatwa kwa watu wengi na ukandamizaji wa kikatili, huku wakitaka mabadiliko ya utawala.

Kwa kuwa matukio haya yanatokea katika makao makuu ya himaya hiyo, waandishi wa habari wanaotii katika nchi za NATO hawathubutu kufanya tathmini kwamba Marekani inahitaji mabadiliko ya utawala, licha ya Rais kuwapa silaha na kuwezesha mauaji ya halaiki, huku serikali za shirikisho na serikali za majimbo zikiwakandamiza kikatili wanafunzi wa Amerika. .


View: https://x.com/prem_thakker/status/1785397144515469402?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Safiii sana sana, na bado, Professor unashiriki migomo, dawa ni kupiga hadi afuate sheria, kwanza hawajapigwa kabisa wamevutana vutana tu kidogo, hawajapigwa, bahati yao ni huko U.S.A, ingekuwa hapa Bongo ulete migomo vyuoni, unapigwa fimbo moja unakojoa na damu inaruka juu na akili inakurudi haraka sana, hata kabla ya kuongeleshwa unasema NDIO, NDIO, na hutaona chuo maisha yako yote tena, ukakae kijijini kwenu hadi mvi zikuote, unaleta mgomo? nyoko zao
 
Hawa hamas wanaleta fujo kwa wanafunzi wayahudi. Sijui siku wayahudi wakileta fujo kwa Wapalestina hali itakuwaje.
Kuna siku tutasoma factors led to collapse u.s state .
1. Israel regime infiltration
2.poor leader ship
 
Wewe unaongelea wanasiasa na watawala mimi naongelea wananchi / wabangaizaji wanavyoishi kitaa - nao wana utaifa

Sasa nani kasema Tanzania hakuna makabila nimesema juu hapo kwa waasisi kufanya kazi kubwa tuna utaifa ni nchi chache sana ambazo mtu anapimwa kwa character yake na sio imani wala alipotoka na hapo tumefika kwa kutumia nguvu kubwa sana ya waasisi...

Aisee USA kuna division within achana na immigrants wanaokuja naongelea Blacks and whites Latinos n.k. Naongelea ubaguzi waliofanyiwa weusi mpaka leo kuna makovu..., naongelea USA being a multiracial / multicultural na tabia yake ya kuingilia nchi nyingine ni rahisi nchi hizo kupata sympathizers within the country...

Nimekuwekea video ya Obama hapo segregation bado ipo na kupigana vijembe na kuogopana vinaendelea na Trump akirudi ndio utagundua zaidi ni vipi its a Nation Divided....; Wakati wengine adui ni nchi ya mbali au jamaa wa nchi nyingine wewe adui yako ni jirani yako....

Not only mgawanyiko nchini ni kwamba ukitaka ku-infiltrate USA huitaji kuja na watu kutoka nje ndani mule mule utapata sympathizers kutokana na kuwepo na majeraha mengi ambayo huenda sio makosa ya kizazi hiki.... Maadui wa kesho Marekani huenda ndio hao leo wanasoma huko kwenye vyuo na wanaishi humo humo ndani na kujaribu kuwazima kwa mabavu hakusaidii bali kunaharibu..,

Kwamba wanaweka mambo sawa kwa mentality ya mtu mweusi kuona USA imewaletea shida zote hizo kutokana na kuwadhibiti mababu zao au kuyaweka sawa kwa mtu mwingine kuona kwamba yeye anahangaika na kutafuta pesa alafu mtu mweusi anapewa favor kwa makosa ambayo yeye hakuyafanya ? Au kuyaweka sawa kwa kuona latinos wengi ni wezi, immigrants wabakaji wauza madawa na wananyonya hard workers ?

Shida kama hii kwao ni deep-rooted kitu ambacho sehemu nyingine hakipo......

Aisee USSR isingeweze kuendelea kama vile Great Britain ilivyoshindwa kuendelea kuwa na colonies..., it was not working na times had passed - nothing to do with USA..., Na China ime-move kwenye Market Socialism na State bado ndio inamiliki big companies ambazo zimesambaa dunia nzima..., Na mtaji wa Russia na China hata mambo yakienda kombo watu wanafunga mikanda na kuelekea wanapoelekea USA Politicians na Lobbyist wataendelea kupiga talalila na Akija Democratic ni kuvunja vyote alivyofanya Republican na Republican vice versa.....

Mifumo inategemea muda na wakati..., ni kama Industrial Revolution ilivyoondoa Utumwa na ndivyo sasa Automation na Industrial Revolution itakavyoondoa Capitalism as we know it... Lakini mtaji mkubwa kuliko wowote ule ni utaifa na umoja wa watu (ni kama kipindi fulani kwa England; kabla ya kuingiliwa na Pakistan Community walikuwa na Uzalendo na Proud-ness ya kuwa British... hii inasaidia sana when things get tough...
Uzipoteze muda na maelezo mengi yasiyo na maana. Elewa tu kuwa demokrasia na uhuru wa kujieleza ndivyo vinayoiweka wazi Marekani. Na kwamba pamoja na kuwa open society hakuna mwenye jeuri ya ku-destabilise USA.

Wamefanikiwa kujiwekea mifumo imara sana. Ndio maana nchi kubwa na matajiri wa dunia hii wanatunzia utajiri wao huko.

Huwezi kudai eti Tanzania tuna afadhali kuliko nchi kama USA. Tumegawanyika sana. Kukithiri kwa umasikini nako kunatufanya tusiwe na nguvu yakuhangaikia haki zetu binafsi na za makundi. Kila mtu anasumbukia yake.
 
Wanaukumbi.

Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St.
Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na kuvunjika mkono.
Daktari mmoja alimwambia kuwa ana bahati ya kuwa hai.

Ikiwa haya yangekuwa matukio ya Urusi, Uchina, Iran au nchi yoyote ya Kiarabu, vyombo vya habari vya Magharibi vingewaita waandamanaji mashujaa, na kulaani serikali kwa kukamatwa kwa watu wengi na ukandamizaji wa kikatili, huku wakitaka mabadiliko ya utawala.

Kwa kuwa matukio haya yanatokea katika makao makuu ya himaya hiyo, waandishi wa habari wanaotii katika nchi za NATO hawathubutu kufanya tathmini kwamba Marekani inahitaji mabadiliko ya utawala, licha ya Rais kuwapa silaha na kuwezesha mauaji ya halaiki, huku serikali za shirikisho na serikali za majimbo zikiwakandamiza kikatili wanafunzi wa Amerika. .


View: https://x.com/prem_thakker/status/1785397144515469402?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Inawezekana labda HAMAS ndo wameyatenda hayo aisee...

Dunia imejaa wanafiki hii mpaka kichefuchefu
 
Unatofauti gani na hao? Wewe alipouwawa daudi mwangosisi uliona ni Jambo la sawa. Si mlilipongeza jeshi kwa kazi ya uuwaji wa mwangosi. Leo unaongea Upumbavu hapa. Wakati hauna tofauti yoyote na hao wanaouwa. Kama ulivyoshangilia October 7. Mabomu yalipoua wayahudi wanalipiza unabweka Kama mbwa asiyekua na mwenyewe. Hao wanaandamana kwa mlengo wa kidini.
 
Kike 200 haramu walivyoteka wanafunzi wa uliona serikali ya Nigeria ilikwenda kupiga na kuuwa watu ovyo? Putin alizuia chakula kisiingie? Acha kutumia mavi kufikili
Ingeendaje na milengo ya kidini imewajaa kwenye mioyo yao. Israel hawana Upumbavu wa mlengo wa kidini ukiuwa myahudi wanahesabu kafa myahudi na wanalipiza. Unafikili Wana Upumbavu sijui wa shiha na sunni hao. Lugha yao ni moja tu kafa myahudi.
 
Uzipoteze muda na maelezo mengi yasiyo na maana. Elewa tu kuwa demokrasia na uhuru wa kujieleza ndivyo vinayoiweka wazi Marekani. Na kwamba pamoja na kuwa open society hakuna mwenye jeuri ya ku-destabilise USA.
Hakuna wa kusumbuka kutoka nje kufanya hivyo destabilization wanafanya wenyewe.., usiongelee kutoka kwenye movies segregation in USA is real na uhuru wa kujieleza upo in so far as haungilii au kupinga mfumo wa wealthiest corporations au utakuwa branded a Communist na kupigwa propaganda...... Na wenye nguvu za ku-lobby watunga sera ndio wanachotaka kinakuwa.....
Wamefanikiwa kujiwekea mifumo imara sana. Ndio maana nchi kubwa na matajiri wa dunia hii wanatunzia utajiri wao huko.
Hivi unajua matajiri wa dunia hii wanatunza utajiri wao wapi ? Kwenye Tax Haven countries na hata waliopo hapo USA wasipohitaji kutafuta hizo nchi ni kutokana na lobbysists kuhakikisha kwamba kodi anayolipa tajiri wealthiest huenda ni ndogo kuliko hata messenger wake... kwahio sehemu kama British Virgin Islands, Cayman Islands, Bermuda, Netherlands, Switzerland, Luxembourg, Hong Kong, Jersey, Singapore hata UAE watu wenye pesa zao ndio wanazi-stush huko nothing to do with the country unity wala patriotism ya wananchi wao ni loopholes za kifedha wanazotumia hao wahusika


Huwezi kudai eti Tanzania tuna afadhali kuliko nchi kama USA. Tumegawanyika sana.
Afadhari kwenye nini ? Yaani unataka kuniambia ubaguzi na mgawanyiko uliopo kati ya Blacks, Latino na Whites USA ni sawa na huku ? Tena acha hio ya race na race kuna mgawanyiko baina ya gang bangers ambapo kwa mtu kupigwa risasi au kuuliwa ni jambo la kawaida na imetokea hivyo katika ghettos kutokana na sehemu hizo kusahaulika au administation kutokujisumbua nazo ndio maana hata mtu kama 2 Pac imechukua miaka kwa muhusika kushikwa no one wants to be seen as a snitch...
Kukithiri kwa umasikini nako kunatufanya tusiwe na nguvu yakuhangaikia haki zetu binafsi na za makundi. Kila mtu anasumbukia yake.
Sasa tumehamia kwenye Haki zetu na sio Utaifa ? Au all are one and the same ? Sisi huku wakati adui wa baadhi ya watu ni Chama Tawala kule wengine adui wao ni Taifa lenyewe / American Flag na sio people wielding the power kutokana na policies zake (Thus my statement a soft underbelly)

1714514607410.png
 
Back
Top Bottom