Hufahamu chochote wewe mlokole wakimbizi hawaruhusiwi kuandamana upo radhi kuongea uongo kuwatetea mabwana zako๐Hao sio asili ya ireland ni masalia ya middle east wamekimbia fujo kwao wanakuja kufanya fujo west wakipigwa mnakuja kulia humu ๐คฃ๐คฃ
Wanaimba death to america and allah is greatest ulitaka waachwe tu?
Acha waonyeshwe bikra 72 zinapatikanaje
Nimelaximika tu kuku quote ili kukupa taarifa kwamba hakuna tija kukujibu sababu kupitia reply yako hii ni dhahiri umeamua kuonyesha kwamba huna ujualo.Trump aliwekwa ndani miezi kadha nyuma?Are you day dreaming.Hiyo sio democracy ni witch hunting.Hakuna demokrasia ya kweli in the sense of democracy.Kuna selective democracy kwa wazungu na sio weusi au latinos.
Mweusi na mlatino hawana haki sawa na mzungu in general meaning ya haki.
Usidanganywe na show off.
Jifunze kuandika ueleweke.Rudia kusoma ulichoandika.Poor soul.Nimelaximika tu kuku wuote ili kukupa taarifa kwamba hakuna tija kukujibu sanabu kupitia reply yako hii ni dhahiri umeamua kuonyesha kwamba huna ujualo.
Sasa wewe hapa ndiyo, umejiona una ujuzi wa kuandika? Hata matumizi ya alama na spaces haujui halafu unataka kujifanya unatoa ushauri juu ya usichokijua!Jifunze kuandika ueleweke.Rudia kusoma ulichoandika.Poor soul.
Wamewavunja mbavu tu?Makosa.Wanaukumbi.
Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St.
Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na kuvunjika mkono. Daktari mmoja alimwambia kuwa ana bahati ya kuwa hai.
Ikiwa haya yangekuwa matukio ya Urusi, Uchina, Iran au nchi yoyote ya Kiarabu, vyombo vya habari vya Magharibi vingewaita waandamanaji mashujaa, na kulaani serikali kwa kukamatwa kwa watu wengi na ukandamizaji wa kikatili, huku wakitaka mabadiliko ya utawala.
Kwa kuwa matukio haya yanatokea katika makao makuu ya himaya hiyo, waandishi wa habari wanaotii katika nchi za NATO hawathubutu kufanya tathmini kwamba Marekani inahitaji mabadiliko ya utawala, licha ya Rais kuwapa silaha na kuwezesha mauaji ya halaiki, huku serikali za shirikisho na serikali za majimbo zikiwakandamiza kikatili wanafunzi wa Amerika. .
View: https://x.com/prem_thakker/status/1785397144515469402?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Machadema wanasemaje? Huko Demokrasia ipo au haipo? ๐๐๐๐๐Wanaukumbi.
Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St.
Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na kuvunjika mkono. Daktari mmoja alimwambia kuwa ana bahati ya kuwa hai.
Ikiwa haya yangekuwa matukio ya Urusi, Uchina, Iran au nchi yoyote ya Kiarabu, vyombo vya habari vya Magharibi vingewaita waandamanaji mashujaa, na kulaani serikali kwa kukamatwa kwa watu wengi na ukandamizaji wa kikatili, huku wakitaka mabadiliko ya utawala.
Kwa kuwa matukio haya yanatokea katika makao makuu ya himaya hiyo, waandishi wa habari wanaotii katika nchi za NATO hawathubutu kufanya tathmini kwamba Marekani inahitaji mabadiliko ya utawala, licha ya Rais kuwapa silaha na kuwezesha mauaji ya halaiki, huku serikali za shirikisho na serikali za majimbo zikiwakandamiza kikatili wanafunzi wa Amerika. .
View: https://x.com/prem_thakker/status/1785397144515469402?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Nyumbu Huwa wananifurahisha sana.Walienda kumshtaki Rais Samia kuwa anaminya demokrasia kakataza maandanamo ๐
๐ ๐ ๐ ๐Nyumbu Huwa wananifurahisha sana.
Wanakwambia wanaandamana maisha magumu,nawauliza maisha magumu wapi? Mbona gunia la Mahindi ni 30,00-60,000? Mbona bati la rangi bando ni 300k-450k kutegemea brand wanaingia mitini ๐๐๐๐
Saizi umeme ni bwerere badala wafanye kazi Wamekuja na hoja ya ubaguzi ๐๐๐
Kama wana support ugaidi na kuleta vurugu badala ya kusoma basi wapigwe tu maana Hamna namna.Wanaukumbi.
Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St.
Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na kuvunjika mkono. Daktari mmoja alimwambia kuwa ana bahati ya kuwa hai.
Ikiwa haya yangekuwa matukio ya Urusi, Uchina, Iran au nchi yoyote ya Kiarabu, vyombo vya habari vya Magharibi vingewaita waandamanaji mashujaa, na kulaani serikali kwa kukamatwa kwa watu wengi na ukandamizaji wa kikatili, huku wakitaka mabadiliko ya utawala.
Kwa kuwa matukio haya yanatokea katika makao makuu ya himaya hiyo, waandishi wa habari wanaotii katika nchi za NATO hawathubutu kufanya tathmini kwamba Marekani inahitaji mabadiliko ya utawala, licha ya Rais kuwapa silaha na kuwezesha mauaji ya halaiki, huku serikali za shirikisho na serikali za majimbo zikiwakandamiza kikatili wanafunzi wa Amerika. .
View: https://x.com/prem_thakker/status/1785397144515469402?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Magaidi Hamas lazima wadhibitiwe mapema maana wao ndio walianza uchokozi Oct 7 kwa kuuwa raia Zaidi ya 1400, kuteka pamoja na kubaka wanawakeKike 200 haramu walivyoteka wanafunzi wa uliona serikali ya Nigeria ilikwenda kupiga na kuuwa watu ovyo? Putin alizuia chakula kisiingie? Acha kutumia mavi kufikili
Usiwalishe maneno watoto wanaokufa Gaza ni magaidi?