Polisi Marekani wawapiga maafisa, Profesa katika Chuo Kikuu cha Washington St. Louis, wamewavunja mbavu

Hao sio asili ya ireland ni masalia ya middle east wamekimbia fujo kwao wanakuja kufanya fujo west wakipigwa mnakuja kulia humu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hufahamu chochote wewe mlokole wakimbizi hawaruhusiwi kuandamana upo radhi kuongea uongo kuwatetea mabwana zako๐Ÿ˜€
 
Ushuhuda wa kushtua kutoka kwa mwanafunzi aliyekuwa kwenye kambi ya UCLA jana:

โ€œTulishangazwa na uchokozi usio na msingi kutoka kwa Wazayuni waliokuja kwenye kambi hiyo. Walianza kutushambulia kwa nguvu, wakitupa vitu na fataki.
Damu mkononi mwangu inatoka kwenye fuvu la kichwa cha rafiki yangu. Alikuwa amesimama ghafla mmoja wao akamrushia ubao mkubwa wa kuni; liligonga kichwa chake moja kwa mojaโ€”niliweza kuliona fuvu lake la kichwa. Alizimia, na mara moja tukamkimbiza ili kupata matibabu. Ilionekana kama eneo la vita, na ninashukuru kuwa hai.โ€



View: https://x.com/suppressednws/status/1785754827542159599?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Nimelaximika tu kuku quote ili kukupa taarifa kwamba hakuna tija kukujibu sababu kupitia reply yako hii ni dhahiri umeamua kuonyesha kwamba huna ujualo.
 
Nimelaximika tu kuku wuote ili kukupa taarifa kwamba hakuna tija kukujibu sanabu kupitia reply yako hii ni dhahiri umeamua kuonyesha kwamba huna ujualo.
Jifunze kuandika ueleweke.Rudia kusoma ulichoandika.Poor soul.
 
Jifunze kuandika ueleweke.Rudia kusoma ulichoandika.Poor soul.
Sasa wewe hapa ndiyo, umejiona una ujuzi wa kuandika? Hata matumizi ya alama na spaces haujui halafu unataka kujifanya unatoa ushauri juu ya usichokijua!
 
Wamewavunja mbavu tu?Makosa.
 
Machadema wanasemaje? Huko Demokrasia ipo au haipo? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Walienda kumshtaki Rais Samia kuwa anaminya demokrasia kakataza maandanamo ๐Ÿ˜ƒ
Nyumbu Huwa wananifurahisha sana.

Wanakwambia wanaandamana maisha magumu,nawauliza maisha magumu wapi? Mbona gunia la Mahindi ni 30,00-60,000? Mbona bati la rangi bando ni 300k-450k kutegemea brand wanaingia mitini ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Saizi umeme ni bwerere badala wafanye kazi Wamekuja na hoja ya ubaguzi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
BREAKING:

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฒ Bunge la Marekani limepitisha kitendo ambacho kinapiga marufuku kabisa kuongea na kupinga Israel.

Hata ukihubiri sehemu za biblia zinazosema wazi siku ambazo Wayahudi walimuua Kristo utakamatwa.

Katika kukabiliana na maandamano ya chuo kikuu dhidi ya Israeli, Bunge linakimbilia kupiga kura juu ya mswada mpya, HR 6090. Mswada huu mpya utafafanua rasmi "Antisemitism" ili serikali ya shirikisho inaweza kuwashtaki, kuwashtaki au kuwawekea vikwazo watu zaidi, biashara na vyuo vikuu kwa madai ya ukiukaji wa sheria za haki za kiraia.

Mswada huu utafanya kuwa kinyume cha sheria kulinganisha sera za Israeli na sera za Nazi. Ingefanya kuwa haramu kuelezea Israeli kama ubaguzi wa rangi. Ingefanya kuwa kinyume cha sheria kumshutumu raia wa Marekani kuwa mwaminifu zaidi kwa Israeli kuliko Marekani.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1785872781667688776?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Magaidi popote walipo washughulikiwe, wawe ni wanafunzi au wakulima, wawe ni waamerika au waafrika, wawe ni mashia au masuni.
 
Kama wana support ugaidi na kuleta vurugu badala ya kusoma basi wapigwe tu maana Hamna namna.
Washughulikiwe bila kupepesa macho
 
Kike 200 haramu walivyoteka wanafunzi wa uliona serikali ya Nigeria ilikwenda kupiga na kuuwa watu ovyo? Putin alizuia chakula kisiingie? Acha kutumia mavi kufikili
Magaidi Hamas lazima wadhibitiwe mapema maana wao ndio walianza uchokozi Oct 7 kwa kuuwa raia Zaidi ya 1400, kuteka pamoja na kubaka wanawake
 
Magaidi Hamas lazima wadhibitiwe mapema maana wao ndio walianza uchokozi Oct 7 kwa kuuwa raia Zaidi ya 1400, kuteka pamoja na kubaka wanawake
Nilikuwa nakuona mkubwa kumbe bado mtoto vita vya Gaza vimenza Oct 7?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ