Muhimu.Picha zao please Ili wale waliokuwa wanaeneza picha za uongo Twitter washughulikiwe nao.
Uhalifu huanzia Mbeya mkuu, angalia hata wanasiasa wao.Naona akina Mwaisa wakutosha apo kwene mkeka
Jerry muro pingu alipata wapi?Na watueleze pingu walizipata wapi?
ConspiracyKwenye video walikuwa wangapi ? Naona kama idadi imezidi🐼
Wameokotwa kama kumbikumbi.Wamesomba cabinet nzima 😁😁
Mtoto wa Kichaga huyo anazingatia maokotoTaarifa si imesema wengine'walikula njama'.
Mfano Anitha Alfred Temba, miaka 27. Yaani binti wa miaka 27 ameshakula njama' za tukio la kibabe. Duh! Mjini chuo.
Kutekana ni drama.
Ndio hapo sasaSababu ya utekaji mbona haikutajwa