Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Inasikitisha sana kwa watu wasiokuwa na watetezi bingo,tutaweka wakili haki zao waliodhulumiwa uhai wao,ukiangalia comment ni uthibitisho watu walivo na chuki kwa jamii ambayo sio yao.
Sasa kweli huo muonekano wa huyo jamaa aliyevaa kofia na flana ya njano mpaka upoteze fedha eti unampatia wakili?
 
Kwahiyo kwa maelezo haya ya polisi ni sahihi wamewatoboa macho hao watuhumiwa?
 
Huyu mwenye Tshirt ya njano hii namba kabisa🀣
 
Shenzi zako wewe unatetea wezi..hao panya Road uko chamazi walimkata mkono mtoto wa miezi 6
 
Kama ni hivyo hongera zao polisi. Watu kama hao wanaohatarisha usalama wa wa raia, wafinywe tu.
 
Sio mtoto wangu tu, hata mzazi wangu kama ni muhalifu anapaswa kupigwa chuma. Wao wakija kukuibia wanatumia sheria ipi?? au unakaza fuvu tu madam??
Mimi nilishasema mwizi anayetumia siraha huyo ni wa kuua tu hata angekuwa mwanangu
Kuna jamaa huku mwanae alikuwa kibaka akamuonya sana ila mtoto hakusikia ila mama mtu alikuwa anamtetea sana mwanae
Mwisho wa siku mtoto dogo alidakwa mitaa ya bugarika raia tembeza kichapo mpaka dogo akafa baba mtu aligoma kabisa mwili usiletwe kwake dogo alizikwa na manispaa
 
Nalipongeza sana Jeshi la polisi ..Panya road ni majambazi yaliyochangamka kabisa dawa yao ni kuwapelekea maoto kabisa …ni moto tuu!

Kongole Jeshi la Polisi!
 
Acha waue hata kama ni baba , kaka au dada yangu.

Mtu anaeua nae auwawe.

Ubaya tu ni pale mtu anauawa mtu asie na hatia.
 
Inasikitisha sana kwa watu wasiokuwa na watetezi bingo,tutaweka wakili haki zao waliodhulumiwa uhai wao,ukiangalia comment ni uthibitisho watu walivo na chuki kwa jamii ambayo sio yao.
Hawa wajinga wamekula walichopanda chuma chuma chuma chuma πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«πŸ”«
 
Una uhakika gani hao vijana waliouawa ni panya road ?
Au unaandika usenge tu hapa kimhemuko bila kutumia akili ?
Vibaka na wahalifu mbona tunaishi nao kabisa kwenye jamii zetu na tunawajua kabisa mpaka na wazi wao
Tatizo linakuja huna mamlaka ya kuwawajibisha,na ndiyo maana likitokea gepu kadakwa kwenye wizi wananzengo wanaua tu
 
Nilikuwa na washangaa sana mwanzoni jeshi la polisi eti wanawakamata wanapeleka majambazi mahakamani …..chuma ndio ilikuwa dawa yao
Na nikuhakikishie tu asilimia 95 vibaka wote wanajulikana na polisi tatizo hata wakipelekwa mahakamani ushahidi unakosekana wanaachiwa wanarudi tena uraiani kusumbua
 
Kwa wote:

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…