Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Mimi nilishasema mwizi anayetumia siraha huyo ni wa kuua tu hata angekuwa mwanangu
Kuna jamaa huku mwanae alikuwa kibaka akamuonya sana ila mtoto hakusikia ila mama mtu alikuwa anamtetea sana mwanae
Mwisho wa siku mtoto dogo alidakwa mitaa ya bugarika raia tembeza kichapo mpaka dogo akafa baba mtu aligoma kabisa mwili usiletwe kwake dogo alizikwa na manispaa
Hiyo bugarika na Igogo ni maeneo ya hatarish sanaa
 
Kutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
Wahanga wa polisi au Panya road??
 
Hiyo bugarika na Igogo ni maeneo ya hatarish sanaa
Kuna igogo bugarika mabatini nyakato sokoni njoo mpaka temeke kuna mecco mitaa ya majanini mwananchi mtaa wa susuni mahina kuna sweya hiyo mitaa ina vibaka hatari sana
 
Kwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma!
Panya road shida umri na bangi vinawasumbua
 
Nature ya Jeshi letu la Police wakija kukukamata ukiwa na silaha yoyote hata jiwe tu, wanakuua kwanza.
Wakishakuua ndo wanakukamata[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakishakuua ndo wanakukamata[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanakupeleka Mochwari
 
Kuna igogo bugarika mabatini nyakato sokoni njoo mpaka temeke kuna mecco mitaa ya majanini mwananchi mtaa wa susuni mahina kuna sweya hiyo mitaa ina vibaka hatari sana
[/QUOTE Angalau Igoma imetulia kidogo
 
Mbon taarifa ya mwanzo inasema walifuatwa majumbani mwao.
Tumuamini nani?
 
Kutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
ngojea panya road wakuvamie hapo kwako wambake mke na watoto wako ndio ulete huo upumbavu wako wa sheria, umeambiwa walikataa kujisalimisha, wakaanzisha mapambano, ulitaka wakamatweje? pumbavu
 
Kwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma!
unawezaje kumkamata mtu mwenye panga ansetaka kukushambulia?
 
Back
Top Bottom