Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Haiingii akilini Polisi from nowhere wapige tu watu risasi tena Vingunguti! Kwa hili wanastahili pongezi otherwise watalaumiwa tena kwa kushindwa kuwadhibiti hao nguruwe pori!
Kwa hiyo kazi za polisi ni kupiga wahalifu risasi?
 
Ila polisi wamezingua.

1. "Walijeruhi watu wawili ambae ni Shommy maarufu Paka Pori na Beka."

2. "Miili miwili imetambuliwa kuwa ni Shommy na Beka ila wa tatu ambae ni Paka Pori hajatambuliwa"

Maelezo yanakinzana.

SItetei uhalifu ila kitengo cha mawasiliano cha polisi kiwe kina hariri habari zao ili kuondoka mkanganyiko na kuleta sintofahamu.
Sisi wananchi tulioumizwa sana na vitendo vya hawa wahalifu tumewaelewa sana Jeshi la Polisi. Kongole nyingi kwao.
 
Kwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????
Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.
Utakuwa panya road wewe.
Kwani hao panya road siyo wananchi? Mbona wanajichukulia sheria mkononi na hajalalamika? Acha kujitetea acha uhalifu vinginenyo utafanyiwa unachowafanyia wasio na hatia.
 
Hahaaaaa hilo ukikitana nalo limeshika panga mzee, namkabidhi Fedha na Simu. Uhai ni muhimu kuliko Pesa na Mali za duniani.
Utakabidhi vyote ulivyo navyo halafu suddenly unaulizwa mbona huna milioni mfukoni? Kabla hujajibu panga la utosi! Hayo maumbwa yasikie tu!
 
Utakuwa panya road wewe.
Kwani hao panya road siyo wananchi? Mbona wanajichukulia sheria mkononi na hajalalamika? Acha kujitetea acha uhalifu vinginenyo utafanyiwa unachowafanyia wasio na hatia.
Kwa hiyo uhalifu utaisha kwa kuua ? Hiyo ni kutengeneza magenge sugu
 
Tatizo watu wanajizalia ovyo kulea haiwahusu! Family planning ni muhimu sana kupunguza hizi takataka! Tunapokuwa na wazazi irresponsible matokeo ndio hayo!
Usiite watoto wa wenzio takataka... Huna uhakika wako watakua vipi irregardless unakua responsible vipi
 
Kwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma

Majitu hayana akili , awamu ya tano tulilia sana kuhusiana na matendo ya kishenzi ya utekaji , utesaji na mauaji ya kishenzi yaliyokuwa yanafanywa na jeshi la polisi na vibaka wa usalama wa taifa .
Leo hii utakuta ndio hao hao wanashabikia ushenzi kama huu
Hii nchi ina sheria na mahakama , hao hata kama waliua ,walipaswa kupelekwa katika mfumo wa sheria na sheria kuwashughulia na si kuwateka na kuenda kuwafanyia torture mbaya kama hiyo na kuwatoboa macho na kuwaua
Huu ni ushenzi
skiliza mkuu huna unachojua kuhusu mitaa au pengine unajua ila umeamua t kua kichwa ngumu..
hao watoto hawaogopi chchte zaid ya bunduki tu..
zikilia chuma kama ivo mnakaa milango wazi ata mwaka mzima mpaka wasahau kilichotokea wanapotea wote..
panya road haogopi jela wala polisi watakutieni vidole mpaka vya pua.
hao watoto wanaogopa kabuli tu basi.
 
Utii wa sheria bila shuruti...!

Wangetii bila shurutii wasingepigwa risasi, Sasa polisi wangefanyaje Kama waliamriwa kujisalimisha wakakataa?!
Na wana silaha baridi Kama mapanga?!

Au mlitaka polisi waende wakakatwe katwe mapanga Kama mishikaki, polisi hawezi kukupiga risasi Kama umetii sheria kwa kujisalimisha,

Tii sheria bila shuruti...!
 
Mob justice imeruhusiwa ?

What the meaning of law.

Matumizi ya nguvu bila akili ni hatari.
 
Kutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
Wewe utakuwa wa kishua hao madogo wanastahili chuma maana hawafai kuishi
 
Mtoto wako/ndugu yako akiwa mhalifu utakubali apigwe chuma? Au ushabiki maandazi.

Wahalifu washungulikiwe kwa mujibu wa sheria sio kuwajaza hao polisi kichwa waanze kuua watu hovyo! THIS IS NOT A POLICE STATE. Ni nchi ina sheria zake sema ujinga ujinga umetujaa wabongo
Mimi huku kwa ndugu yangu huko ni mbali sana hata awe mwanangu ntaomba police wanipe chuma nimtoe uhai Mimi mwenyewe
 
Mimi nafikiria kwa kutumia Ubongo, sifikirii kwa kutumia makalio kama ulivyo wewe.

Do you know the meaning of Administrative Laws and the Rule of Laws??? The Principle of Natural Justice?
Upo msingi wa Sheria unaosema kwamba "No one is to be Condemned Unheard."
Hizo porojo zako zitakuisha siku ukibahatika kupita vingunguti koloni kuanzia saa Tano usiku
 
Back
Top Bottom