Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
Utapigwa chuma weweDada wacha maneno mengi mume anakusubir mule mwaka mpya kitandani
Kama una ndugu mwizi jambazi leta aliwe chuma akaendeleze wizi kuzimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa chuma weweDada wacha maneno mengi mume anakusubir mule mwaka mpya kitandani
Kama una ndugu mwizi jambazi leta aliwe chuma akaendeleze wizi kuzimu
Kwa hiyo kazi za polisi ni kupiga wahalifu risasi?Haiingii akilini Polisi from nowhere wapige tu watu risasi tena Vingunguti! Kwa hili wanastahili pongezi otherwise watalaumiwa tena kwa kushindwa kuwadhibiti hao nguruwe pori!
Sisi wananchi tulioumizwa sana na vitendo vya hawa wahalifu tumewaelewa sana Jeshi la Polisi. Kongole nyingi kwao.Ila polisi wamezingua.
1. "Walijeruhi watu wawili ambae ni Shommy maarufu Paka Pori na Beka."
2. "Miili miwili imetambuliwa kuwa ni Shommy na Beka ila wa tatu ambae ni Paka Pori hajatambuliwa"
Maelezo yanakinzana.
SItetei uhalifu ila kitengo cha mawasiliano cha polisi kiwe kina hariri habari zao ili kuondoka mkanganyiko na kuleta sintofahamu.
Utakuwa panya road wewe.Kwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????
Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.
Ndiyo, na kazi yenu panya road kukatakata wasio na hatia.Kwa hiyo kazi za polisi ni kupiga wahalifu risasi?
Utakabidhi vyote ulivyo navyo halafu suddenly unaulizwa mbona huna milioni mfukoni? Kabla hujajibu panga la utosi! Hayo maumbwa yasikie tu!Hahaaaaa hilo ukikitana nalo limeshika panga mzee, namkabidhi Fedha na Simu. Uhai ni muhimu kuliko Pesa na Mali za duniani.
Kwa hivyo akili za polisi ni km panyaroad wavuta bangi! Wale vijana wanatakiwa wakamatwe wasaidiwe!Ndiyo, na kazi yenu panya road kukatakata wasio na hatia.
Tatizo watu wanajizalia ovyo kulea haiwahusu! Family planning ni muhimu sana kupunguza hizi takataka! Tunapokuwa na wazazi irresponsible matokeo ndio hayo!Mchuma janga hula na wa kwao.
Kwa hiyo uhalifu utaisha kwa kuua ? Hiyo ni kutengeneza magenge suguUtakuwa panya road wewe.
Kwani hao panya road siyo wananchi? Mbona wanajichukulia sheria mkononi na hajalalamika? Acha kujitetea acha uhalifu vinginenyo utafanyiwa unachowafanyia wasio na hatia.
Usiite watoto wa wenzio takataka... Huna uhakika wako watakua vipi irregardless unakua responsible vipiTatizo watu wanajizalia ovyo kulea haiwahusu! Family planning ni muhimu sana kupunguza hizi takataka! Tunapokuwa na wazazi irresponsible matokeo ndio hayo!
Kwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma
skiliza mkuu huna unachojua kuhusu mitaa au pengine unajua ila umeamua t kua kichwa ngumu..Majitu hayana akili , awamu ya tano tulilia sana kuhusiana na matendo ya kishenzi ya utekaji , utesaji na mauaji ya kishenzi yaliyokuwa yanafanywa na jeshi la polisi na vibaka wa usalama wa taifa .
Leo hii utakuta ndio hao hao wanashabikia ushenzi kama huu
Hii nchi ina sheria na mahakama , hao hata kama waliua ,walipaswa kupelekwa katika mfumo wa sheria na sheria kuwashughulia na si kuwateka na kuenda kuwafanyia torture mbaya kama hiyo na kuwatoboa macho na kuwaua
Huu ni ushenzi
Haki na usalama wa jamii overrides haki za panya road!Kwa hiyo kazi za polisi ni kupiga wahalifu risasi?
Wewe utakuwa wa kishua hao madogo wanastahili chuma maana hawafai kuishiKutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
Haya na tujue makundi ya wahalifu wanaotakiwa kupigwa risasiHaki na usalama wa jamii overrides haki za panya road!
Mimi huku kwa ndugu yangu huko ni mbali sana hata awe mwanangu ntaomba police wanipe chuma nimtoe uhai Mimi mwenyeweMtoto wako/ndugu yako akiwa mhalifu utakubali apigwe chuma? Au ushabiki maandazi.
Wahalifu washungulikiwe kwa mujibu wa sheria sio kuwajaza hao polisi kichwa waanze kuua watu hovyo! THIS IS NOT A POLICE STATE. Ni nchi ina sheria zake sema ujinga ujinga umetujaa wabongo
Jifikirie vizuri tena unaujua uchungu wa mtoto hata angekua nyoka road ziwezi kuwish afeMimi huku kwa ndugu yangu huko ni mbali sana hata awe mwanangu ntaomba police wanipe chuma nimtoe uhai Mimi mwenyewe
Hizo porojo zako zitakuisha siku ukibahatika kupita vingunguti koloni kuanzia saa Tano usikuMimi nafikiria kwa kutumia Ubongo, sifikirii kwa kutumia makalio kama ulivyo wewe.
Do you know the meaning of Administrative Laws and the Rule of Laws??? The Principle of Natural Justice?
Upo msingi wa Sheria unaosema kwamba "No one is to be Condemned Unheard."
Akishakuwa panyaroad sio mtoto Tena ni panya na ukicheka nae kunasiku atakutoa uhai wewe mwenyewe ndo uupate huo uchungu wa mtoto vizuriJifikirie vizuri tena unaujua uchungu wa mtoto hata angekua nyoka road ziwezi kuwish afe