Akishakuwa panyaroad sio mtoto Tena ni panya na ukicheka nae kunasiku atakutoa uhai wewe mwenyewe ndo uupate huo uchungu wa mtoto vizJifikirie vizuri tena unaujua uchungu wa mtoto hata angekua nyoka road ziwezi kuwish afe
Kwa hiyo uhalifu utaisha kwa kuua ? Hiyo ni kutengeneza magenge sugu
Kweli kabsa family plan muhimu.Tatizo watu wanajizalia ovyo kulea haiwahusu! Family planning ni muhimu sana kupunguza hizi takataka! Tunapokuwa na wazazi irresponsible matokeo ndio hayo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mtoto wangu tu, hata mzazi wangu kama ni muhalifu anapaswa kupigwa chuma. Wao wakija kukuibia wanatumia sheria ipi?? au unakaza fuvu tu madam??
Hahaaa Wakora wa Mungiki Kenya ,ni noma waleKuna mmoja mungiki wa kenya yumo humu anaitwa MK 254
Nahisi panya road walienda kuchukua course Kwa MungikiKuna mmoja mungiki wa kenya yumo humu anaitwa MK 254
Sasa utafanyeje njia ni chuma tu.Jifikirie vizuri tena unaujua uchungu wa mtoto hata angekua nyoka road ziwezi kuwish afe
Sijasupport vijana hao kuuwawa, ila kuwashambulia kwa risasi za mguu ni sawa kabisa kama hawakutaka kujisalimisha na wakaanza kuwashambulia askari, UNLESS HABARI IWE IMEPIKWA.Aisee inawezekana polisi wana akili kama hizi pia
Usiongee sana! Hujawahi kukutana na madhila ya hawa watu! Ni wana roho mbaya hatari! Omba yasikukuteInasikitisha sana kwa watu wasiokuwa na watetezi bingo,tutaweka wakili haki zao waliodhulumiwa uhai wao,ukiangalia comment ni uthibitisho watu walivo na chuki kwa jamii ambayo sio yao.
Kama panya road ni mtoto wako mkamate umsaidie. Kundi la watu 30 na mapanga unaanzaje kuwakamata Kama panya? Halafu unataka kuwasaidia Nini? Wanafaa wasaidiwe kufa tuu mbwa hawa.Kwa hivyo akili za polisi ni km panyaroad wavuta bangi! Wale vijana wanatakiwa wakamatwe wasaidiwe!
Siungi mkono vitendo vyovyote vya uhalifu vinavyofanywa na hao Panya Road, siungi mkono kabisa uhalifu wao ambao wamekuwa wakijihusisha nao.ngojea panya road wakuvamie hapo kwako wambake mke na watoto wako ndio ulete huo upumbavu wako wa sheria, umeambiwa walikataa kujisalimisha, wakaanzisha mapambano, ulitaka wakamatweje? pumbavu
Je, Una uhakika na hiki ulichoandika hapa???Utii wa sheria bila shuruti...!
Wangetii bila shurutii wasingepigwa risasi, Sasa polisi wangefanyaje Kama waliamriwa kujisalimisha wakakataa?!
Na wana silaha baridi Kama mapanga?!
Au mlitaka polisi waende wakakatwe katwe mapanga Kama mishikaki, polisi hawezi kukupiga risasi Kama umetii sheria kwa kujisalimisha,
Tii sheria bila shuruti...!
Atakuja dai mfumo Kristo umewanyima Elimu ndio maana wamekuwa wahalifu.Wezi wote ni ndugu moja Na Faiza
Umepoteza waumini wawili ujue!Ndiyo, na kazi yenu panya road kukatakata wasio na hatia.
Polisi unatafuta mwenyewe mahusiano nao.Kwa hiyo kazi za polisi ni kupiga wahalifu risasi?
Ghonoka kabisaWatu wa humu nimewavulia chupi haya waueni hao panya tuone km vibaka wataisha!
Usiku mzito wako na mapanga utaka polisi wawachekee polisi awawezi kukuuwa tu bila sababu lazima wanajuaHii sio sawa hao polisi siku wakikukuta kona wakasema wewe ni paka road nani atathibitisha ukweli... Japokua uhalifu unakera tusikubali mtego wa kukubali polisi kuua watu. Kutakua na mazishi kila siku.
Uporaji hata mbele upo na watu wanapelekwa mahakamani. Chuma ni pale ambapo hao panya wana silaha (kupambana) sasa hii chuma ya bongo inaonekana polisi hawataki kashikashi za mahakamani so wanatumia shortcut.
N.b siwezi kupendekeza mwanangu mhalifu apigwe risasi ila ashungulikiwe aende jela huko anaweza kutoka huko akawa mtu mzuri.
umesema kweli kabisa, polisi hawaamiiniki, lakini kukiwa na ushahidi wa wazi( hasa kutoka kwa jamii wanaowafahamu hao kuwa ni majambazi) wakiuwawa ni sawa, hao vijana wasingekuwa wahalifu ingejulikana tuSiungi mkono vitendo vyovyote vya uhalifu vinavyofanywa na hao Panya Road, siungi mkono kabisa uhalifu wao ambao wamekuwa wakijihusisha nao.
Aidha, kutokana na rekodi mbaya kabisa za vitendo vya uhalifu na ukiukwaji mbaya wa haki za binadamu ambavyo Polisi wa nchi hii ya Tanzania wamekuwa wakijihusisha navyo, KAMWE siungi mkono vitendo vya hao Polisi kujichukulia Sheria mikononi mwao kama walivyofanya kwa vijana hawa waliouawa. Polisi wa Tz hawana rekodi nzuri ktk kuzingatia Sheria na Haki za watu kwenye utendaji wao wa kazi. Wahalifu sugu hata kwenye nchi zingine za dunia ya kwanza zilizoendelea pia wamekuwa wakishughulikiwa kwa njia kama hizi zilizotumika hapa za kuwaua, malalamiko kutoka kwa umma au wananchi yamekuwa machache sana na wakati mwingine wananchi hawalalamiki dhidi ya Majeshi ya Polisi ktk nchi zao kutokana na sababu kwamba Polisi wao kwa kiasi kikubwa Wana rekodi nzuri ktk masuala ya utii wa sheria zao au kuwa na rekodi nzuri ktk masuala ya kuzingatia haki za binadamu. Polisi wao ni waadilifu, ukiona wameua mtu wananchi wanaelewa wazi kabisa kwamba Polisi wao wamefanya hivyo kwa "nia njema," ili kulinda maslahi mapana zaidi ya umma wa raia wema ktk nchi, wananchi wanakuwa watulivu na wanaridhika kwa sababu wanafahamu kwamba Polisi wamelazimika kufanya hivyo kwa ajili ya kulinda maslahi yao.
Sasa tujiulize, Je, Polisi wa Tz Wana rekodi nzuri kiasi cha sisi wananchi tuwaamini kwamba watumie njia hii ili kuwadhibiti watu wanaodai kuwa ni wahalifu hatari??? Kutokana na rekodi yao kuwa mbaya sana, Mimi nitakuwa mtu mwisho kuwaamini Polisi wa Tz ktk kutumia njia hii kuwadhibiti wahalifu.