Irrelevant argument...ukienda kujiandikisha halafu ukawa unabwabwaja na ukakamatwa na kuhisiwa umelewa ni muhimu kupimwa ili tujue umetumia kinywaji au dawa za hospitali kwani sio jambo la kawaida.Kwahiyo wewe ukienda kuandikisha kupiga kura utakubali kupima stool kama mwandikishaji atakutaka?
Hili ni jambo la kushangaza sana!
Ni kwa nini lissu aogope kupimwa mkojo ikiwa ni utaratibu wa kawaida sana kwa mtu anayehisiwa kuwa under influence of medication?
Gwajima alipimwa mkojo bila mtafaruku na akaachiwa bila shida.
Je lissu anaficha nini?
Kwa wataalamu wa afya watakubaliana na mimi kuwa mtu yoyote anayebwabwaja kiasi cha kukamatwa na polisi ni lazima apimwe ili kuondoa uwezekano wa yeye kuwa na chembechembe za ulevi.
Inashangaza sana kwa lissu kugomea kipimo cha kawaida kabisa ili kujisafisha na kuondoa doubts.
Nashauri Polisi wampeleke kwa mtaalamu wa afya ya akili ...psychiatrist ili kuondoa uwezekano wa ukichaa wa lissu...huku nako asije akagomea kwani itakuwa ni the so called "denial" au poor insight
wafuasi wa chama chakavu mmeishiwa hoja mmebaki vihoja.poleni sana hii Tanzania mpya wananchi tunajitambuaEeeeh
Kakataa kwa sababu anataka muda upite
Oyaaaaaaaaa
Soma bandiko langu vizuri ili uhusianishe uchochezi na uleviGwajima na wale wengine walisingiziwa kujihusisha na madawa ya kulevya wakati Lissu amezushiwa kesi ya uchochezi, sasa mkojo na uchochezi wapi na wapi
Irrelevant argument...ukienda kujiandikisha halafu ukawa unabwabwaja na ukakamatwa na kuhisiwa umelewa ni muhimu kupimwa ili tujue umetumia kinywaji au dawa za hospitali kwani sio jambo la kawaida.
Tumia akili, tangu lini umesikia Lissu ameshitakiwa kwa matumizi ya dawa za kulevya? Mahakama inawezaje kutoa maelekezo kwa kesi ambayo hawana mbele yao? Yaani mtu atuhumiwe wizi, halafu mahakama iamrishe apimwe VVU?Itatoka tu amri ya mahakama apimwe; na atuambie hao wanaomuuzia ni kina nani. kukataa means kuja jambo anataka kulificha.
Uhalifu gani umefanyika?Uwepo wa viwanda hauhalalishi uhalifu!
Yawezekan alitumia kichochezi kabla ya kuchocheaMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Kama ni mlevi wa pombe je?na kama alikuwa na harufu ya pombe je?Hivi kuna sheria inayompa DPP/Jeshi la Polisi mamlaka ya kumpima mtu yoyote mkojo ambae hajakutwa na madawa ya kulevya au kutuhumiwa kutumia madawa ya kulevya?
Polisi/DPP anaweza tu kwa utashi wake kuamua mtu fulani apimwe kama anatumia madawa ya kulevya?
DMtu ambae si teja na wala hajakutwa na madawa ya kulevya,unampimaje mkojo kama wewe sio daktari?
Sheria hapa inasemaje?
Kumbe na Wewe MuhengaNimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani