jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Irrelevant argument...ukienda kujiandikisha halafu ukawa unabwabwaja na ukakamatwa na kuhisiwa umelewa ni muhimu kupimwa ili tujue umetumia kinywaji au dawa za hospitali kwani sio jambo la kawaida.Kwahiyo wewe ukienda kuandikisha kupiga kura utakubali kupima stool kama mwandikishaji atakutaka?