Lissu kakaa sana sero na mtumia ngada hawezi kuhimili siku bila ngada lazima ataumwa tuHata Manji alibambikiwa?
Uwepo wa viwanda hauhalalishi uhalifu!Kwa akili za kijinga namna hii ndio Tz ya viwanda itakuja kweli!!
Weh weh weh, Tundu Lissu Siku hizi anakunywa bia si mchezoNimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani
Dah tuhuma za uchochezi na kupima mkojo kunahusiana vipi
Maamuzi kutoka Juu
Yawezekana aise, maana kuna maneno mengine yanayotoka kinywani kwake yanatutia mashaka, ilitakiwa Mdee na Bulaya nawo wapimwe aise...Kama anatumia dona basi kwisha kazi yake
Aliyekwambia ni nani?Polisi au porojo za twitter?Kama wanamtafutia keshi ya dawa za kilevya wamechemsha coz tumeambiwa ni mchochezi tunahitpaji ufafanuzi kipengele kwa kipengele kwenye hutuba yake neno gan la uchochezi sio kumtafutia kesi za kumkomoa demecrasia inasema hivi hoja zenye nguvu hujibiwa kwa nguvu ya hoja sio ubabe na udicteta
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kutoa mfano mkuu?Yawezekana aise, maana kuna maneno mengine yanayotoka kinywani kwake yanatutia mashaka, ilitakiwa Mdee na Bulaya nawo wapimwe aise...
Hama nchi hakuna aliyekulazimisha kuishi hapa uende huko kwenye nchi rahisi.Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Hamia congoMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli