Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Kwa hiyo walitaka wapime mkojo halafu wamchanganyie na madawa ya kulevya ili waje wampakazie kuwa anatumia madawa ya kulevya
 
Ngada mkuu!!
 
Dr wa chemia anataka kuufanyia analysis mkojo wa mwanaharakati
 
Lakn pia watu wakiamua kukuchafua kwa kutumia dola inawezekana kwa kuwa wataenda kumpima hata wasipokuta chochote wataandka kuwa alikuwa ametumia madawa na hivyo watamfungulia kesi inayohusiana na madawa ya kulevya ndyo maana hata yy hataki kupimwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamefanya jambo la maana, hawataki kumuhukumu bila kujua status ya afya yake. Utapata wapi jeshi lenye upendo na raia wake kama hili. Huwezi kupata kwingine hisipokuwa Tanzania tu!
Wange mpitisha na muhimbili wakacheck damu yake maana nawezekana ana group la damu ya uchochezi

Do you have confidence ?
 
Mhe. Tundu Lissu akataa Kupimwa mkojo baada ya kifikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili
Leo ndiyo nimeamini bila shaka yoyote kuwa polisi wanatumia nguvu nyingi akili kiduchu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…