Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kesi itakuwa ni zaidi ya kesi ya uchochez bro, ni zaidi ya unavyofikiria . Tuviachie vyombo vya dola vifanye kaz yaoMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Jinga weweBAADA KUTUMIA AINA HIZO ZA "KINACHOHISIWA", MTUMIAJI HUWA KATIKA HALI KUTOJITAMBUA NA KUPATA UJASIRI WA KUFANYA/KUROPOKA CHOCHOTE ANACHOFIKIRI NI SAHIHI. HEBU ANGALIA "MATEJA" WANAVYO JIAMINI MARA BAADA YA KUTUMIA HASHISHI/AFYUNI. MATOKEO YA KIPIMO CHA MKOJO HUONESHA KAMA MTU ANATUMIA VILEVI HIVYO. KWA HALI ILIVYO "INAWEZEKANA" HUYO ALIYETAJWA NI "TEJA MTANASHATI" TOFAUTI NA "MATEJA" WACHAFU WACHAFU MLIOWAZOEA
Tundu hatumii dawa ya aina yeyote hata sigara hatumii nimekaa naye Alabama America wakati anafanya utafiti wa kisheria chumba kimoja miezi saba sijaona hata akivuta sigara sasa nyie mnaosema kama anatumia unga kwanini msimuhisi na vitu vingine?Kama anatumia dona basi kwisha kazi yake
Tecknolojia imeongezeka kwa huku kwetu uchochezi huonekana kwenye mkojo...[emoji2]Tundu hatumii dawa ya aina yeyote hata sigara hatumii nimekaa naye Alabama America wakati anafanya utafiti wa kisheria chumba kimoja miezi saba sijaona hata akivuta sigara sasa nyie mnaosema kama anatumia unga kwanini msimuhisi na vitu vingine?
siku zote tundu ni mkweli na akisimamia ukweli yupo tayari kufa
waulizeni watafiti wa kisheria wanamjua vyema
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Hili jamaa sio kwamba ni mwanasiasa, bali ni kibaraka la wazungu. Mkojo kwanza,Lissu baadae.Siasa ni kitu kibaya sana unaweza hata kulazimishwa kula au kunywa kitu kumbe mtego.
Sent using Jamii Forums mobile app
what a dummyUnapokua mwanasheria unatarajiwa ufuate sheria na si kuvunja sheria. Sheria ni sheria. Lisu anajua fika who is the owner of law, au labda somo la 'what is law' lilimpita pembeni ndo maana amekua mropokaji/mkurupukaji.