Derick hana akili kabisa, kweli aziniye na mwanamke hana akili, Derick hata ukitoka huna akili na kwenye vikao usijeDerick unagombea mwanamke wa kilabuni kwa bastola.umemkuta kilabuni.yaani unataka kumuua mwenzio kwaajili ya mwanamke wa kilabuni? Ukizubaa SHETANI huwa anaondoka na fikra zote.saa hizi ndiyo amemrudishia Derick fikra zake
wengi wao ni mahayawani wa ccm hizo nafasi wamezipata kwa ujanjaujana tu hata hawajaliMtu anaejiheshimu hawezi kufanya ujinga huu. Ona sasa aibu inayomtokea, kisa pombe na mwanamke.
Mbeleko imekata?Wakuu,
Baada ya kuwepo kwa video zinazosambaa mtandaoni kuhusu mwanaume mmoja aliyedaiwa kuwa ni Afisa wa Usalama wa Taifa mwenye jina la Derick Junior kumpiga raia kwa kitako cha bunduki wakati akiwa kwenye 1234 club huko Masaki, Jeshi la Polisi hatimaye limetoa tamko.
Kwenye tamko lao, Jeshi La Polisi limethibitisha kumkamata mwanaume huyo na kusema kuwa kwa sasa wako kwenye mchakato wa kumpeleka kwenye hatua nyingine za kisheria.
Aidha Jeshi la Polisi lilisisitiza kuwa litamchukua hatua kali mtu yeyote anayemiliki silaha na kuitumia isivyopaswa.
Soma pia: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi
Asilimia kubwa wa watu wanaomiliki silaha ni washambaHivi huyu kweli ni Afisa kipenyo? Au ndio wale.... Au Basi ngoja ninyamaze...
Kuenjoy maisha ni uamuzi wa mtu, shida ni kuvunja haki na usalama wa raia wengine, shida ipo hapo tu!Ila hii dunia yani mtu mzima unahangaika na madisco na ulevi hadi asubuhi, ndio shida za hela za bure unakuwa kama mwehu tu
Ndio maana nimesema Mahakama ya Wahuni ndio inamfaa huyoHao Jamaa ni washamba sana, wazee wa unanijua mie nani, huyo alitakiwa anyooshwe mtaani tu
Huyu Derrick sema alikutana na jamaa yuko vyombo. Kwa jinsi alivyovyokuwa anamjia huyo dogo hana weledi wowote kwenye mapigano ya ana kwa ana angekutana na vijana wa Mjini akina Extrovert angepigwa Keleb za maana hata bastola asijue iko wapi.Hao Jamaa ni washamba sana, wazee wa unanijua mie nani, huyo alitakiwa anyooshwe mtaani tu
Nitaje na Mimi niko fit kwenye ngumi KakaHuyu Derrick sema alikutana na jamaa yuko vyombo. Kwa jinsi alivyovyokuwa anamjia huyo dogo hana weledi wowote kwenye mapigano ya ana kwa ana angekutana na vijana wa Mjini akina Extrovert angepigwa Keleb za maana hata bastola asijue iko wapi.
MENEMENE TEKERI NA PERESI mwanangu umefanya nimevuruga ukimia wa hapa kijiweni kwangu. Sasa mkuu kama uko vzuri fanya mpango tumtafute Derick mitaa yote ya Obay, Masaki na Msasani tumshikishe adabu.Nitaje na Mimi niko fit kwenye ngumi Kaka
Toka asubuhi baada ya kuona hii taarifa ,nimekuwa naulizia huko kwa kupiga simu kwa wanangy na ndugu zangu wa obey ikiwa wanamjua huyu jamaa kuwa niko tayari kwa pambano ila tutalificha kwa Kodi wasijesema anaharibu image ya taasisi .MENEMENE TEKERI NA PERESI mwanangu umefanya nimevuruga ukimia wa hapa kijiweni kwangu. Sasa mkuu kama uko vzuri fanya mpango tumtafute Derick mitaa yote ya Obay, Masaki na Msasani tumshikishe adabu.
nyboma wafundeni hawa vijana wanaharibu Image ya Kitengo